Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Pumba.Unamjua Abd Allah ibn Sa'd?? Ex-muslim wa kwanza.
View attachment 2993806
Alikuwa mwandishi mkuu wa Muhammad. Baada ya kuona makosa ya kiuandishi kweny Quran, na Muhammad kufanya mabadiliko ya mara kwa mara. Alitoroka kutoka Medina kwenda Makka akaacha uislamu akamkimbia muhammad.
Alibainisha kuwa Quran ni uzushi na sio kutoka kwa mungu. Muhammad aliamuru auliwe 😂 😂 😂
Soma historia yake vizur utajifunza mengi usikaririshwe tuu na waarabu, Abd Allah ibn Sa'd is a real historical figure Sijamtunga
https://en.m.wikipedia.org/wiki/Abd_Allah_ibn_Sa'd
Thibitisha wapi Qur'an na hadithi zimeeleza hii habari.