Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Huu Uzi bila
DR Mambo Jambo ni batili na yule mwingine nimemsahau jina mje mtusaidie tujifunze
DR Mambo Jambo ni batili na yule mwingine nimemsahau jina mje mtusaidie tujifunze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipi hapo ni shutuma??Shutuma sio uthibitisho.
Sio sawa, ila kwann mambo anayotaka kuwaambia watu wake anayaingiza kweny quran alaf anamsingizia allah, anasema yametoka kwa Allah wakati ni yeye mwenyew 😂 😂 😂Mfano ww watu waje kupiga story kutwa zima kwako bila kwenda kutafuta riziki unaona sawa?
Mtume kila atakacho waasa watu kilikuwa ni wahayi kutoka kwa Allah kupitia kwa Malaika Jibril.Sio sawa, ila kwann mambo anayotaka kuwaambia watu wake anayaingiza kweny quran alaf anamsingizia allah, anasema yametoka kwa Allah wakati ni yeye mwenyew 😂 😂 😂
Kuwa na adabu usinilazimishe nipigwe banHuyo rasta hajielewi hija zake nyepesi sana.
Pia si mzanzibar ni mmakonde wa ntwala
Bangi hiyo Rasta itamtia wendawazimu ...............Tunaosoma kundalini tunaweza kumuelewa kuwa trik za dunia zipo nyingi kuhusu dini.
View attachment 2993084
Hata ile sheria iliyokuja wakati muafaka kabisa alipotaka kumuoa mkwe wake zaynab(mke wa mtoto wa kufikia zayd)Mtume kila atakacho waasa watu kilikuwa ni wahayi kutoka kwa Allah kupitia kwa Malaika Jibril.
Kama wewe hutaki kukubali endelea kutokukubali.
Nawew unaamini kweli ilishushwa? 😂😂😂Qur'an inajisema yenyewe ilishushwa.
Anataka ushahidi gani?
AsanteJibril alimshukia mtume Mohammad Saw kwa ithini ya Allah na kumpa maneno ya Qur'an kwa nyakati na masiku tofauti tofauti then baadae sana maswahaba wa mtume wakaanza kuandika Qur'an kweny mawe,ngozi,magome ya miti etc kwa lugha ya kiarabu etc ili kuihifathi Qur'an.
Mpaka sasa watu wanaandika kwa lugha yoyote hata kimasai ukipenda wanaita msahafu sasahv
Sijajua Msimamo wa Rasta 😅😅Huu Uzi bila
DR Mambo Jambo ni batili na yule mwingine nimemsahau jina mje mtusaidie tujifunze
Wewe si unawajua hao jamaa?.Mbona utabiri mbaya sana huu Ndugu, kulikoni hadi iwe hivyo? Mungu amlinde, Amina.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Nawew unaamini kweli ilishushwa? 😂😂😂
Swali lako halieleweki.Asante
Na inakuwaje msahafu kujengwa kutokana na vitabu vya Biblia(Injili, Sheria, Zaburi) ikiwa vitabu hivi viliandikwa na watu tu? Huku unaniambia Muhammad alishukiwa kwa nyakati tofauti?
Tatizo ni pale unaamini uwepo wake halafu unalazimisha watu wengine waamini kama wewe, unawachinja wakihoji....
Amini matambiko yako, yafanye bila kulazimisha watu, kama vipi wahubirie kwa amani wachague wenyewe....dini moja imekua kero duniani kote hakukalilki. brazaj
![]()