Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Na yeye alipe kodi kutoka kwenye mshahara wake, posho zake zipunguzwe pamoja na watawala wenzake, na mishahara yao minono ipunguzwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binafsi simtakii chochote chemaSawa tunamtakia birthday njema
Hata mimi nimetuma email kwa viongozi wa 3 hazijibiwi, na number ya Tamisemi waliyotoa watsaap nayo haijibiwi, very sad, hepi bethidei mama yetuHua naiona email tu ambayo haijibiwi
Mkuu umehama chadema?Ikizidi sana kunywa sumu ufe huyo ndio rais mpaka 2035
Inge jam!Rais angekua na hotline tuwe tunaongea naye moja kwa moja
Huyuhuyu? Labda wapo wawiliNi afadhali tuna mtu ana fanya maamuzi baada ya kutafakari
Wewe unayempenda bila shaka ukoo wako tayari umefika nusu ya alipofika. Hongereni.Habari njema ni kuwa ye anafurahia mno hali hiyo ya kutopendwa na wewe kuliko ungempenda! Alipofika ukoo wenu utamaliza maisha yao hapa duniani bila kufikia hata robo
Yeye ana shida gani kwani? Hata bei ya sukari haijui.Ni ukichaa kulitakia happy birthday fisadi linalohamasisha ufisadi kwenye Serikali yake!🤡🤡🤡
View attachment 2096849
Sijahama ila maccm wanaomchukia Samia ni maadui zangu.Mkuu umehama chadema?
Kijiba cha moyo changu. Yeye mwenyewe anajua kuna wasiompenda. Cha ajabu unaumia wewe! Aisee! Kwani yeye ni mama yako aliyekuzaa!? Chawa wewe.Na wewe nani anakupendaa utakufa nacho kijiba cha Moyo .Ukimpenda Usimpende ndio Raisi wetu wewe ni katika qaumu ya Firauni na muko wengi sana lkn hamuwezi kufanya chochote chuki zenu ndio maradhi yenu.
Mmh, Sasa Kama wewe upo chadema na kuna wanaccm wanaomchukia mwenyekiti wao wewe inakuhusu nini?Sijahama ila maccm wanaomchukia Samia ni maadui zangu.
Sina kawaida ya kuwachukia waliofanikiwaWewe unayempenda bila shaka ukoo wako tayari umefika nusu ya alipofika. Hongereni.
Mbowe sio gaidiMnamo tarehe 27 Januari 1960 Rais wa Awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan alizaliwa huko Makundichi Zanzibar
Duh[emoji15]binafsi simtakii chochote chema
Kufanikiwa kwake inawezekana kuna faida kwako, lakini inawezekana hakuna faida kwa wengine kwa hiyo kutompenda ni haki yao.Sina kawaida ya kuwachukia waliofanikiwa
sawa ila kumbuka umri unavozidi kuongezeka na kaburi linazidi kukusogelea.Mnamo tarehe 27 Januari 1960 Rais wa Awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan alizaliwa huko Makundichi Zanzibar.
...