Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Hainihusu ila basi tu namtetea samia angalau ana utu kuliko yule shetwani mwendazake.Mmh, Sasa Kama wewe upo chadema na kuna wanaccm wanaomchukia mwenyekiti wao wewe inakuhusu nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hainihusu ila basi tu namtetea samia angalau ana utu kuliko yule shetwani mwendazake.Mmh, Sasa Kama wewe upo chadema na kuna wanaccm wanaomchukia mwenyekiti wao wewe inakuhusu nini?
Tumia akili zako ulizopewa na Mungu bure kufikiria sawasawa.Tatizo la Mbowe sijui hiyo katiba mpya alikua ana haraka nayo ya nini kwenye awamu hii, katiba ya zamani haifutwi sasa unadhani hiyo mpya wata ifuata? Nadhani Mbowe ana taka madaraka tu.
Kingine ni kwamba alikua ana pima kina cha maji, wakati wa Magu alikua kimya.
Namuombea atoke ili aendeshe siasa za kistaarabu.
Mwendazake bado anakuchapa hata baada ya kufa?Hainihusu ila basi tu namtetea samia angalau ana utu kuliko yule shetwani mwendazake.
Hao unaofikri wanamchukia wataungana nae kukupelekea moto wewe, lisu na chadema 2025!Sijahama ila maccm wanaomchukia Samia ni maadui zangu.
Masikini Lisu!Ikizidi sana kunywa sumu ufe huyo ndio rais mpaka 2035
Ndio hayo maajabu sasa, wewe upo chadema na huko kuna kiongozi ana miezi 5 yupo jela kwa kosa la kubambikizwa. Aliyembambikiza unasema ana utuHainihusu ila basi tu namtetea samia angalau ana utu kuliko yule shetwani mwendazake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama anawanyoosha sukuma gang! Katafuteni shughuli za kufanyaMwendazake bado anakuchapa hata baada ya kufa?
Samia na ccm wote wataungana kuwapelekea moto 2025 au nyie mmeshamtelekeza Lisu mmeungana na mama?
Kama katiba ya sasa haifuatwi, mbona Samia kapata Urais kwa Katiba hii hii ..... pamoja na uvunjaji wa sheria bado katiba wanaifuata. Tatizo ni mamlaka makubwa waliyojipa kwenye hiyo katiba .... yakiondolewa wataifuata hiyo katiba.Tatizo la Mbowe sijui hiyo katiba mpya alikua ana haraka nayo ya nini kwenye awamu hii, katiba ya zamani haifutwi sasa unadhani hiyo mpya wata ifuata? Nadhani Mbowe ana taka madaraka tu.
Kingine ni kwamba alikua ana pima kina cha maji, wakati wa Magu alikua kimya.
Namuombea atoke ili aendeshe siasa za kistaarabu.
Mimi siteseki namkubali sana huyu rais nyie mnaoteseka poleni
Akili yako haina akili.Ikizidi sana kunywa sumu ufe huyo ndio rais mpaka 2035
Angekomesha hao tu ingekua sawa, Ila kageukia Hadi kina mbowe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama anawanyoosha sukuma gang! Katafuteni shughuli za kufanya
Kwani Magu na ubabe wake Yuko wapi Siku hizi?Tatizo la Mbowe sijui hiyo katiba mpya alikua ana haraka nayo ya nini kwenye awamu hii, katiba ya zamani haifutwi sasa unadhani hiyo mpya wata ifuata? Nadhani Mbowe ana taka madaraka tu.
Kingine ni kwamba alikua ana pima kina cha maji, wakati wa Magu alikua kimya.
Namuombea atoke ili aendeshe siasa za kistaarabu.
Mbowe atatoka tu ni suala la mudaAngekomesha hao tu ingekua sawa, Ila kageukia Hadi kina mbowe.
Na wewe ni sukuma gang mama anawanyoosha? [emoji23][emoji23][emoji23]Akili yako haina akili.
Umekua kizazi cha hovyo na akili za hovyo:
Rais wako nae ni wa hovyo..!
Pambana na hali yako. Samia shikilia hapo hapo [emoji1787][emoji1787]Masikini Lisu!
Ona mifuasi yake!
Hadi atoke si atakua kishakomeshwa?Mbowe atatoka tu ni suala la muda
Wenye akili fupi kama zakwako mnajua kakomeshwaHadi atoke si atakua kishakomeshwa?
Una shida kweye kichwa chako?Wenye akili fupi kama zakwako mnajua kakomeshwa