Hasara ya Iran kuishambulia Israel ni kubwa. Kukaa kwao kimya si kwamba hawana akili. Russia, Korea na China...

Hasara ya Iran kuishambulia Israel ni kubwa. Kukaa kwao kimya si kwamba hawana akili. Russia, Korea na China...

Mrusi ana akili sana anajua akiingia Trump vita Ukraine itaisha ila atawapelekea moto waislam pale mashariki ya kati kwa hio na yeye anaangalia manufaa yake,,,isitoshe pale Lebanon Israel anapigana na waislam wa Hezbollah ambao ni wapalestina waliopewa hifadhi enzi hizo Lebanon kipindi hiko Lebanon ni nchi ya kiarabu ila ni ya kikristo,,,,wapalestina kusaidiwa Lebanon wakaja kuzaliana na kutaka kuwapiku wenye nchi yao na kuanzisha Hezbollah..........kwahio kwa upande wa wagalatia ambae hata mrusi yupo humo Israel kushinda ipo kwenye manufaa yake,,,,,democrats na wakina Bidden ndo walifocus sana ukraine kuliko mashariki ya kati ndo maana hadi Netanyahu akamaind akaenda nae kufanya maongezi na mrusi,,,,Plan kwa sasa vita ya Ukraine iishe kupitia Republicans ambae ni Trump ndo maana wanahangaika sana kumuua Trump,,, akishaingia Trump hata Iran anaweza akachapwa huku mrusi anamuangalia tu maana yeye kazi yake Ukraine kamaliza kwa msaada wa haohao wayahudi
Israel hawawezi kumpiga Ukraine hata dak 1 ni ndugu wale
 
Israel wakati wowote wako tayari kwa vita
Ktk maisha yako yote ushawahi kuona Israel anafanya military parade sjui anawaonesha makomando,wakipasua mawe baba magogo na kuonesha silaha

Ova
 
Russia na China ni washirika wakubwa wa Irani. Wanajua intelejensia. Wanamwambia kila mara Irani atulize kipago Israel aachwe kama alivyo.

Vita ya 3 ya Dunia itaanzia Mashariki ya Kati. Israel Taifa kubwa ndilo litasababisha vita hiyo. Ni Taifa dogo kwa eneo na idadi ya watu lakini Kihistoria na mamlaka lina ukubwa wake.


Irani ana vinu vya nyuklia. Israel ameshategesha makombola yake kuelekea Vinu hivyo. Taarifa za Russia zinawaambia Irani kuwa the day wanajaribu kurusha ndo the day Irani yenyewe inashambuliwa na Nyuklia.

Kuna mataifa ya Kiarabu ambayo kwa kweli yanafurahia kile ambacho Israel inakifanya Mashariki ya Mbali. Yanataka hali hiyo ibaki kama ilivyo. Mnakumbuka vita ya Ghuba? Iraq chini ya Saddam ilipokuwa inauwa Waislamu wenzie? Makafiri ndo walienda saidia. Mataifa mengine ya Kiarabu yalinyamaza.

Russia inashindwa kutoa full support kwa Iran maana naye ana kijipu uchungu cha Ukraine kinamsumbua.so ana wasiwasi sana.

Marekani na washirika wake amekaa anatizama kinachoendelea but akipata pa kuingilia kuingia miguu yote ataingia.akipata sababu. Putin mjanja ashagundua. Siku hizi hamumsikii akitoa vitisho kwa NATO. Toka marehemu yule jangili alipotaka ingia Russia kumuondoa Putin jamaa aligundua. Hayupo strong kama alivyodhani.

Mnawasikia Korea? Kuduku. Mnamsikia akibwabwaja? Ukiona mwenzio ananyolewa wewe kasuke rasta. Hata zile show off za kuonesha silaha. Mnaziona sana siku hizi? Mnawaona Marekani wakionesha? Hawafanyi hivyo

Mlishawahi zisikia Bunk Busters? Sidhani. Wanasema zipo silaha nyingine hazijulikani Duniani. Zimekaa tu standby kusubiri sababu ya kutumika.
Mkuu, nadhani ulitaka kitufahamisha kuwa "Israel haleti utulivu hapo MASHARIKI YA KATI" na sio "MASHARIKI YA MBALI"
 
Nilijua watakuwepo watu kama wewe, ambao hawajui, sio watu wa kutafuta maarifa na watabisha. Hatimaye umejitokezq
Haya elezea hao wayahudi walioleta maendeleo China.

Unaifahamu historia ya China kwa udogo tu ?
 
Russia na China ni washirika wakubwa wa Irani. Wanajua intelejensia. Wanamwambia kila mara Irani atulize kipago Israel aachwe kama alivyo.

Vita ya 3 ya Dunia itaanzia Mashariki ya Kati. Israel Taifa kubwa ndilo litasababisha vita hiyo. Ni Taifa dogo kwa eneo na idadi ya watu lakini Kihistoria na mamlaka lina ukubwa wake.


Irani ana vinu vya nyuklia. Israel ameshategesha makombola yake kuelekea Vinu hivyo. Taarifa za Russia zinawaambia Irani kuwa the day wanajaribu kurusha ndo the day Irani yenyewe inashambuliwa na Nyuklia.

Kuna mataifa ya Kiarabu ambayo kwa kweli yanafurahia kile ambacho Israel inakifanya Mashariki ya Kati. Yanataka hali hiyo ibaki kama ilivyo. Mnakumbuka vita ya Ghuba? Iraq chini ya Saddam ilipokuwa inauwa Waislamu wenzie? Makafiri ndo walienda saidia. Mataifa mengine ya Kiarabu yalinyamaza.

Russia inashindwa kutoa full support kwa Iran maana naye ana kijipu uchungu cha Ukraine kinamsumbua.so ana wasiwasi sana.

Marekani na washirika wake amekaa anatizama kinachoendelea but akipata pa kuingilia kuingia miguu yote ataingia.akipata sababu. Putin mjanja ashagundua. Siku hizi hamumsikii akitoa vitisho kwa NATO. Toka marehemu yule jangili alipotaka ingia Russia kumuondoa Putin jamaa aligundua. Hayupo strong kama alivyodhani.

Mnawasikia Korea? Kuduku. Mnamsikia akibwabwaja? Ukiona mwenzio ananyolewa wewe kasuke rasta. Hata zile show off za kuonesha silaha. Mnaziona sana siku hizi? Mnawaona Marekani wakionesha? Hawafanyi hivyo

Mlishawahi zisikia Bunk Busters? Sidhani. Wanasema zipo silaha nyingine hazijulikani Duniani. Zimekaa tu standby kusubiri sababu ya kutumika.
"Irani ana vinu vya nyuklia. Israel ameshategesha makombola yake kuelekea Vinu hivyo. Taarifa za Russia zinawaambia Irani kuwa the day wanajaribu kurusha ndo the day Irani yenyewe inashambuliwa na Nyuklia."

Nimeishia kusoma tu hapa kwanza kuandika hujui unachangana R na L kingine unaandika uwongo uwongo tu, Israel ana makombora gani aliyoyaelekeza Iran?Nchi iliyowahi kuelekeza makombora ni Cuba tu wacha kupotosha watu
 
Haya elezea hao wayahudi walioleta maendeleo China.

Unaifahamu historia ya China kwa udogo tu ?
Huwezi kutaja mafanikio ya China bila kutaja Chama Cha Kikomunisti cha China (CCP) , na mmoja ya chief architect waliofanikisha kuundwa kwa chama hiko ni myahudi Gregori Voitinski.

Mikhail Borodin, alikuwa mshauri wa mwanafalsafa na kiongozi wa kwanza wa Jamhuri ya China,Sun Yat-sen
 
China mimi ni RAFIKI YANGU ni mjanja sana yule macho madogo hata umpidid hapigan, anajua gharama za vita

Na anaogopa sana kuwatumbikiza raia wake kwenye mateso ya vita
Kaa kimya dogo , huujui mziki wa China kwenye vita ,kaangalie walimfanyia nini mmarekani kwenye Korean war .
Au unafikiri ile north and south Korea ilitokea miracles Tu kuwa vile .
Fuatilia pia usome historia yao kwenye vita ya Vietnam , vietcongs silaha na trainers walikuwa ni wachina na walifanya hivyo kumnyoosha mmarekani na walifanikiwa .

Unapoongelea China usidhani unaongelea least developed country ,China ni military power kubwa na wako well equipped kwemye espionage kuliko unavyoweza kudhani , kama unafuatilia mambo ,fuatilia espianage activities na spying za mchina kule Marekani na kwingineko , wamedukua mpaka public infrastructure za Marekani na washirika wake ,na inaaminika hata na wamarekani wenyewe kwamba miundombinu ya nchi yao iko vulnerable kwa mchina .
Hadi kampuni kubwa zimedukuliwa na hao watu , wana mamilioni ya wanafunzi wameingia kule kufanya spying miaka mingi ,kiufupi wanajua inside out ,si wajinga wale
 
Huwezi kutaja mafanikio ya China bila kutaja Chama Cha Kikomunisti cha China (CCP) , na mmoja ya chief architect waliofanikisha kuundwa kwa chama hiko ni myahudi Gregori Voitinski.

Mikhail Borodin, alikuwa mshauri wa mwanafalsafa na kiongozi wa kwanza wa Jamhuri ya China,Sun Yat-sen
Ujinga Sun Yat sen hakuwahi kuwa muanzilishi wala muasisi wa ukomunisti China Li dazhao huyu ndie unayeweza mtaja na wenzake wakina Mao hivi unajua hata ukomunisti umeingia lini China ?

Jamhuri ya China failed Republic iliyo pelekea mpaka civil war ndio maendeleo ?

Chama cha kikomunisti cha China kiliundwa na vijana wa kichina waliovutiwa na itikadi ya ukomunisti hakuna cha architect wala upuuzi gani

Nimekuuliza Unaifahamu historia ya China hata kidogo ila unaandika ujinga

Naweza kukutajia wanachama wote wa mwanzo walio hudhuria kikao kikuu cha mwanzo kilicho idhinisha kuanzishwa kwa chama cha kikomunisti cha China na humo hakuna myahudi hata mmoja

Kuizungumzia China kimaendeleo bila kujali utajiri wa historia yake inayobeba maendeleo yote ya China ni ujinga.

Unazungumzia vipi maendeleo ya China bila kuzungumzia successful dynasties unakuja kuzungumzia failed Republic?

Acha kuhusudu wayahudi mpaka kupitiliza unaandika ujinga.
 
Ujinga Sun Yat sen hakuwahi kuwa muanzilishi wala muasisi wa ukomunisti China Li dazhao huyu ndie unayeweza mtaja na wenzake wakina Mao hivi unajua hata ukomunisti umeingia lini China ?

Unafahamika hata Sun Yat-sen alikuwa kiongozi wa jamhuri gani China ? Na hiyo Jamhuri ilidumu kwa muda gani ?

Chama cha kikomunisti cha China kiliundwa na vijana wa kichina waliovutiwa na itikadi ya ukomunisti hakuna cha architect wala upuuzi gani

Nimekuuliza Unaifahamu historia ya China hata kidogo ila unaandika ujinga

Naweza kukutajia wanachama wote wa mwanzo walio hudhuria kikao kikuu cha mwanzo kilicho idhinisha kuanzishwa kwa chama cha kikomunisti cha China na humour hakuna myahudi hata mmoja

Acha kuhusudu wayahudi mpaka kupitiliza unaandika ujinga.
Umeelewa nilichoandika? Soma tena
 
Hakuna sehemu nimesema ni muanzishili wa ukomunist bali chama cha ukomunist china.

Kutokea Jamhuri ya China ndio ikaja Jamhuri ya watu wa China. Huwezi kufuta historia. Hata kaka ilikuwepo kwa muda mfupi

Nikija kwa point yako, Mao kajifunza kwa wayahudi Karl Marx na Lenin.
 
Sawa, kwanza siku muanzishili wa ukomunist bali chama cha ukomunist.

Nikija kwa point yako, Mao kajifunza kwa wayahudi Karl Marx na Lenin.
Hivi hata Li dazhao unamfahamu kweli ? Na nafasi yake CPC ?
 
Back
Top Bottom