Kuna Uzi ulianzishwa wa kupiga wanawake Kuna mwanaume akaenda kupiga mpenzi wake mahusiano yakafa akaja humu Analia lia na kujuta kudaganyika kisa Uzi, huwezi ishi kwa zama hizi na mwanamke ka enzi za mababu kamwe yatakushinda. Pia kila tukifamyacho huwa na matokeo kikiwa kizuri kitakuwa na positive results, na kikiwa kibaya obvious kitakuwa na negative results.Eeh, yaan kama hujachanga na zako umeisha. Jueni mbinu zenu za kizamani wanaume zimepitwa na wakati. Sema KARMA iheshimiwe sana. Inakujaga muda hata hutegemei na hujajiandaa. Ukiwaona wanavyotukandia na kutusimanga sasa.. mxieew.
Mkuu hakuna siku hujatype three some humu jf [emoji23][emoji23][emoji23]Ulibugi men...ulitakiwa umgegede alafu baadae una muomba mfanye threesome
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji26][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah huyo dem atakuja akupe K tu siku moja [emoji23] na utaila ni swala la muda tu! Hayo mazungumzo hayataisha kirahisi ila mie ningemtafuna na kumpotezea! Staki mazoea na msenge
Muhimu sana Wanaume tuwajibike,Daah, what a sad story..
Yaani huwa naamini 95% ya migogoro ya kifamilia huwa mwanaume ndo muasisi. Yaan lazima alishapiga matukio ya kutosha mke anaangalia tu. Sasa ukomo wa uvunilivu ukifikaga ndo mbaya. Yaani mwanamke anakua jeuri haijapata tokea.
Nawaangaliaga wanaume mitandaoni wanavyoongea ongea nasema hawa wajinga hawa waache. Nachosikitika ni aina gani ya kizazi tunalea. Kama nyie vijana wa kiume mnapinga haya sijui ndoa kwa tabia zenu mbovu na kukwepa majukumu ya kifamilia tunalea aina gani ya kizazi cha baadaye hasa wavulana? Vijana wa sasa ni tatizo sana. Hawataki kiwa responsible kwa uchafu wao. Daima ni kuwa bitter na kuwaona wenzao ndo wabaya. Yaan wanaume ni malaika kila uendako... madai yao tatizo ni ke. Hapohapo hawapo responsible kwa maisha yao wenyewe achilia mbali ya partners wao na familia kwa ujumla.
Niwaase wanawake wenzangu kuchagua partners walio responsible na kujielewa. Hii tabia ya kufanya mwanamke ndo awe baba qa familia wa familia ifike mahali wanaume mujitafakari sana sana sana. Tamaa mbaya sana. If u wanna be a real man then be one. Tabia za kudanga danga kama mvulana wa chuo achaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni nomaWanawake hawanaga huruma jaman na mtu....labda mama yako tu...nakumbuka nilipomaliza chuo ile misoto ya mtaan..nikaachwa na mtu ambae tulidate for karibia 4 yrs ..pika pakua...kisa yeye alipata kaz mapema TRA...ila sasa toka hyo 2014...kaja kuolewa2021...nayeye kuachana kwetu alisema yeye anataka ndoa...hyo ndo changamoto yenu wadada..sio wavumiliv....sasa hiv kila kukicha anafatilia status zangu...mara kuniwish bday.mara anataka nikienda mkoa alipo tuonane.....kwa jinsi nilivyo jeur na ego kama zote...niliwai kutana nae mwaka jana hotelin mkoa aliko...halaf tukala chakula tu akiexpect tungepasha kiporo ila hakuamin jinsi nilivyomkwepa...mim nna kinyaa cha ajabu.yaan nilale nawew.halaf nijue umeenda lala na mtu mwingne..aisee..naweza tapika kabisa...labda kwa penz jipya
Hakuna chauchawi wala ushirikina pale.Tafuta hela na Omba Mungu! Inawezekana anguko lako la kifedha ni uchawi na ushurikina wake! Wanaume tuna hali ngumu sana bila kushika Imani!
Jitahidi sana kuwa mtu wa sala na kumfuata Mungu, otherwise utakuja kufa kwa mawazo na stress, Mungu na a kusaidia!
Mbili za huyo Mama Sio za Mda mrefu, atakuja tu kukwama, Hakuna namna! Usijali, watoto watakuwa tu, Mungu ndiyo hutupa riziki!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umempa za uso kabisaJamaa mzinguaji unakuaje na kibamia afu mke mkali tako tako ...Apo ilitakiwa utafute ka mke kabovu shapeless .. msaidiane shida zenu avumilie kiba100 chako na wewe uvumilie sura personal.
Afu ukishakua mhuni acha wivu nk...na uwe tyari kwa outcomes za uhuni wako.
Hii meza Ni ngum kuipindua
Nimeacha mkuuSasa mkuu we huwatafuni..?
HewalaaaUmetapikwa bara bara....
Uvumilivu mpk kufkia hapo nnaimanj unao wa kutosha.Na Mungu aniepushie hayo yoote... zaidi anipe uvumilivu na busara.
Kitakachomponza zaidi ni kujitia maskini jeuri wakati upuuzi kaanzaa yeye.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halaf nashindwa elewa kwanini anashupaza hv shingo. Ama ukute hata siyo yeye ameomba utengano bali ni mke aliamua baada ya kuvumilia ufala wake[emoji23][emoji23] yeye anataka comforting lies tu. Kibamia kitamgharimu sana. [emoji23][emoji23] na kuwa kote kule fundi wa kibamia baado akaachwaaaa... poooh mbakaa.
Kwann asiombe tu msamaha huyu jamaa? Sema tabia nayo ni kama ngozi. Haibadilikagi asilani...
Ngoja kwanza, mwanamke hajamlaza mahabusu? Yaan akamsamehe tu? Yaan kipimo cha kunyanyua mkono wako tuu kabla udeal na wazazi wangu utaanza na mm...Kuna Uzi ulianzishwa wa kupiga wanawake Kuna mwanaume akaenda kupiga mpenzi wake mahusiano yakafa akaja humu Analia lia na kujuta kudaganyika kisa Uzi, huwezi ishi kwa zama hizi na mwanamke ka enzi za mababu kamwe yatakushinda. Pia kila tukifamyacho huwa na matokeo kikiwa kizuri kitakuwa na positive results, na kikiwa kibaya obvious kitakuwa na negative results.
Mahusiano mapya ni chamgamoto,Ooh[emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059] am soo happy for u brother.ujana ni maji ya moto sana. Unajikuta kichwa ngumu sana. Kwangu nachukia mno kuanza mahusiano mapya. Nachukia mnooo... maana dah...
Nikikutaga threads za kuwananga single mothers humu nawadharaugi sana. Unasema hawa wote wavulana hawa. Utafikiri mama zao ni malaika. Stuppid kbs.Muhimu sana Wanaume tuwajibike,
Aya mambo ya kila sehemu unamwaga mbegu zako hutaki kuwajibika.
afu unakuja jf kuanzisha nyuzi za wasimanga Single mother sio ishu kabisa.
Uvumilivu una ukomo wewe[emoji23] ni miaka hiyo tulikua tukiamini kwamba watu wote ni wema kumbe si kweli. Tumelelewa mazingira tofauti. Kila mtu ampate w kufanana nayeUvumilivu mpk kufkia hapo nnaimanj unao wa kutosha.
Busara ni muhimu sana, Mungu akuongoze[emoji106]
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo comeback inaizidi ole ya malaga na dortmund 2013 mkuu. Yaan unaweza kufaaaa.... meza inapinduliqa kibabe na venye hina cha kufanyaKitakachomponza zaidi ni kujitia maskini jeuri wakati upuuzi kaanzaa yeye.
Mwanamke kwa mazingira yale sidhan kama alikua na haja ya talaka yake,
Maana ake kitendo cha kwenda kuhama nyumban na kwenda kutembea na mtu anayefahamiana na mumewe iyo tayari keshajichukulia hatua mkononi.
Haina haja ya talaka.
Tunapaswa kumfariji sana mwenzetu,Tunaomba aje na thread mpya. Ila hapa ndo tunamsaidia kupona. Ila tunaomba asije kujiua tu maana naogopaaa kuwa sehem ya kumbully muhanga... mimi mwenyewe si mkamilifu. Mungu anisamehe tu.
Mkuu, its never late, naomba tu utubu. Na i am here. I will be a sister. U arw going to be fine. Ni muda tu. Utasimama na utakua imara. Huenda pia mkeo akarejea kwa vilio pia maana nyinyi muna agano. Plz, ulajisikia mnyonge sana we gonna chat pm. I love u brother
Ndo maana mada za kuwakashifu single mothers sipendagi kuzichangia.Exactly. Tunayavumilia mnooo. Yotw hayo ni matumaini mtabadilika na kuwa na huruma kumbe ndo tunazidi wajaza kiburi... tukisema tufunguke kila mtu atakimbia...
Yaan hakuna raha kama kuanza zero na partner wako. Yaan wote mnakua level moja. Ukishakua na vitu vyako unashindwa elewa huyu mtu ananipendea mali zangu ama ananipenda mimi?Mahusiano mapya ni chamgamoto,
Na hasa hasa kama tayar ulishaoa na ukapata mafanikio flani flani kiuchumi kwenye ndoa.
Watakaofata akili yao itakua kuchuma tu jasho lako na ex wako,
Hawatokua na huruma na wewe kama yule wa mwanzo.
Ndo maana wengi wanaoaga mke wa pili kwa shinikizo la wa kwanza kuondoka, asilimia kubwa huwa wanafeli.
Nishajifunza sana ilo.