Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Pole kwa yaliyokukuta mkuu! Huna budi kukubaliana nayo na kujipa muda siku utampata mama mwingine bora mtakayewalea watoto wenu pamoja kwa upendo, kuhusu pesa nadhani kuna wanawake wanaweza vumilia waume zao na kuwaombea Mungu aruhusu baraka za kipato ktk familia, si wote wanaonuna na dharau eti sababu mume amefulia.

Pia tujitahidi kuwa na vyanzo vingi vya mapato ili ukikosa huku unapata sehemu nyingine maisha yanaendelea. Itasaidia kuepusha kisirani
Pesa pesa pesa..... Tuache tu kwa kweli.
 
Nina rafiki yangu wa karibu, sio kuhadithiwa ni kushuhudia, alifanyiwa vituko hivo vya kufanya tendo la ndoa mpaka siku za hedhi kwa miezi 8 mfululizo. Siku walipoachana yule mwanamke akamtumia kipimo chake alichopima miezi 8 nyuma cha HIV kikisoma ameathirika pamoja na tarehe. Na akamuambia
Binadamu wa ajabu sana. Malipo ya kumpenda mtu na kumuheshimu inakuwa ni kukukomoa ili hali hujamfanyia baya lolote.
 
Yap now am single father ambaye nachukia kitu kinaitwa mke

Kwahiyo akitokea mwanamke akakutunuku mbunye wakati huu utaiacha? Au utapiga hivo hivo? Maisha yaendelee wanaume hatuchukii mademu wewe tafuta mwingine anza kula mtunyenye ujiliwaze ukiwawaza sana wanawake utapoteza muda wako mwisho ufe mapema
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida.
Pole sana lakini kumbuka hata wenye pesa ndoa zao zinavunjika
 
Pole sana ndugu yangu.

Ukipata mwingine usimfungulie biashara, kwani wengi wameharibu ndoa zao baada ya kufunguliwa biashara. Fungua biashara yenu mtakayomiliki wote, tena wewe ndo uwe final kwenye maamuzi.

Wanawake walio wengi (naheshimu uwepo wa wachache) wanadhani tunawaonea na kuwatumikisha hivyo wakipata nguvu ya kiuchumi huharibu ndoa zao.
 
pole sana mkuu, lakini mimi kaa mtaalamu wa mambo ya ndoa na mambo kaa hayo, nimesikia upande wako tu, siwezi kusema lolote kabla sijasikia toka kwa aliyekuwa mwenza wako, i mean your x, i am someone who never ever allows my emotions to overide my knowledge and intelligence, so ningependa sana kwanza kusikia toka kwa your x kabla ya kusema lolote, naona watu wanakupa pole, lakini mimi i came to conclusions and make rulings after i hear from both parties, its unfair to hear from only one side

Kwahiyo tukupe namba ya mke wa jamaa akupigie akuelezee na yeye upande wake ndio utoe hitimisho ndugu hakimu? Ushaambiwa mchizi mawe yalikata ndio manzi kaamua kumlipua au kuna zaidi?
 
Nashukuru saana kwa ushauri hata hivyo Mungu mwema maana nilikua napitia mateso saana kwa huyu mwanamke Mungu ameniweka huru.

Kuhusu mke mwingine hapana wanangu ni wadogo saana

Usichukie mbunye wewe tafuta chombo cha kuanza kukilipua kitandani utaomboleza hadi lini? Chapa kazi sana, tafuta pesa kama ulivosema huku unamtu wa kulipua mara moja moja
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida.
Atarudi kwako tu ipo siku wewe msahau Ila alichokifanya kwako atakifanya huko pia ndio atashindwa kuvumiliwa hata robo mwisho ni kukupigia magoti
 
Pole sana ndugu yangu.
Ukipata mwingine usimfungulie biashara, kwani wengi wameharibu ndoa zao baada ya kufunguliwa biashara. Fungua biashara yenu mtakayomiliki wote, tena wewe ndo uwe final kwenye maamuzi.
Wanawake walio wengi (naheshimu uwepo wa wachache) wanadhani tunawaonea na kuwatumikisha hivyo wakipata nguvu ya kiuchumi huharibu ndoa zao.
Mzeee huyo usimwache aisee, jitoe tu sadaka usipokufa Leo utakufa kesho, kwani umebahatika kumjua alipo?
Huu si ushauri mzuri. Au umesahau analea watoto na pengine kuna ndugu wanamtegemea?
Muda utafika atakuja ona ni kawaida huku maisha yakisonga vizuri na pis zingine kali kuliko huyo kibibi aliyevunja ndoa yake. Na hizo msg ukute ni mwanamke mwenyewe anazituma kupitia sim ya jamaa.

395e08235575c0c828697b82e30bdc8e-3.jpg
 
Pole kwa yaliyokukuta mkuu! Huna budi kukubaliana nayo na kujipa muda siku utampata mama mwingine bora mtakayewalea watoto wenu pamoja kwa upendo, kuhusu pesa nadhani kuna wanawake wanaweza vumilia waume zao na kuwaombea Mungu aruhusu baraka za kipato ktk familia, si wote wanaonuna na dharau eti sababu mume amefulia.

Pia tujitahidi kuwa na vyanzo vingi vya mapato ili ukikosa huku unapata sehemu nyingine maisha yanaendelea. Itasaidia kuepusha kisirani
Unajua matatizo yakianza huwa yanaongozana, hata uwe na vyanzo vingi vya mapato, likianza hili huwa linakuja lile mpka unajikuta juu ya mawe.

Kikubwa nadhani toka mwanzo uhusiano unapaswa kujengwa katka misingi ya upendo na kuvumiliana.

Mi ndo maana huwa namuogopa sana mwanamke ambaye ukimwambia hali yako sio nzur na usimpe hela basi ananuna na zile baby sijui my zinakauka, huwa nawaza huyu hapa hata sijamuoa, akiingia ndani je!?

Mimi nina kaka angu alikuwa njema sana, ana kazi, biashara, nyumba ya kupangisha etc. Majanga yake yalianza kwa kupata ajari, gar ikafa akakaa hospital 6 months, amepona kaz akapunguzwa, mke akamkimbia tena aliyezaa naye watoto wawili, akaanza kuuza kitu kimoja baada ya kingine, biashara zote zikafa.

Leo miaka 8 imepita jamaa hataki kabisa kusikia habari ya kuoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom