Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Angalizo hasira za kuvunjika ndoa yako tafadhari usiende kuziamishia kwa wanawake wengine, maana huwaga hamuna huruma baada ya hapo
Hahahah ni kweli atakayejipendekeza sahizi dah namuonea huruma maana atachezea kipigo kibaya sana cha moyo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Retaliation is a must!
 
Una roho ngumu wewe.
 
Hahahah ungemkaza tu mzee baba hapo umeniangusha! Unamkaza af unamlia Ubuyu tu no beibe beibez!
Demu ukimfanyia hvo aisee...anakuheshimu na kukuamin balaa..huyo demu huwez amin haiwez pita mwez hajanipigia simu tunaongea hata 30min.
Ishu zake zote ananambia..kaolewa mwaka huu lakin alinambia y anaolewa
 
Demu ukimfanyia hvo aisee...anakuheshimu na kukuamin balaa..huyo demu huwez amin haiwez pita mwez hajanipigia simu tunaongea hata 30min.
Ishu zake zote ananambia..kaolewa mwaka huu lakin alinambia y anaolewa
Dah huyo dem atakuja akupe K tu siku moja πŸ˜‚ na utaila ni swala la muda tu! Hayo mazungumzo hayataisha kirahisi ila mie ningemtafuna na kumpotezea! Staki mazoea na msenge
 
Katika ke 100 utapata 01
 
Dah huyo dem atakuja akupe K tu siku moja [emoji23] na utaila ni swala la muda tu! Hayo mazungumzo hayataisha kirahisi ila mie ningemtafuna na kumpotezea! Staki mazoea na msenge
Hahahha..mim nikimla ,,mim ndo nakua looser....ila nikimtesa hiv anajua..yaan dah hili jamaa linaniona mim takataka tu...yaan mim nataka ateseke kama alivyonitesa mim.....kuna siku ananambia amenunua kiwanja kisiri mmewake hajui...anataka nimsaidie ujenzi..yaan nimsimamie ujenz...nikawaza nkasema huyu bwege nimpige pesa niin had ajute..ila roho yangu ikagoma sabab siko hivyo.....ila kiukwel had mwenyew ana admit kua namtesa sana..hahahah.mim nacheka tu kimoyo moyo
 
Hahahahahah huyo dem ni devil aisee! Yani kanunua uwanja mumewe hajui aisee? Mi lazma ningemchapa kwenye ujenzi hapo mamaye πŸ˜… πŸ˜…πŸ˜… si aliniacha kiboya namie nampiga tu mifuko ya simenti.. sema kanaonekana kanakumiss sana hako ka mmbwa, endelea kukapa adhabu za kiakili manina
 
Only the dead see the end of the war ( waliokufa pekee ndio wanaouona mwisho wa vita)

Son" km upo hai , vita haijakwisha....... pambana. .. Mungu anaongea na wewe kwa lugha usioijua., tunza huu uzi wako, na hii post yangu, nitaomba unipe mrejesho miaka 10 ijayo, tuombe uzima na afya njema.
 
Unyago uliuelewa vizuri, pongezi kwako na familia yako na kizazi chako[emoji120]
 
Hahaha
 
NINAKATAA.. KWANI WANAGAPI NDOA ZAO ZIMEVUNJIKA NA WANA HELA???

HUKUA NA MKE, ULIKUA NA MALAYA TU NDO UNAISHI NAYE.

KUZAA NA MWANAMKE, KUSIKAE KUKUFANYA UJUTIE MAISHA YAKO ,UWAJUTIE WANAO.

NIAMINI, HUYO ANAPIGWA MUWA SABABU TU MPIGAJI ANAONA DEMU NAYE ANA KIBIASHARA KAKE.

HAWEZI KUOLEWA HUYO MBWA, NIAMIN, HATOOLEWA KAMWEEEEE ,HAWEZI KUOLEWAAA.

AKIOLEWA, UJUE YEYE NDIO ALIYEOA, NAHIVO ITAMLAZIMU KILA KITU AKIENDESHE YEYE ILI KUMUWEKA MUME WAKE .( AKINA SHISHI).

MKUU, HAUNA NGUVU?? HAUNA AKILI???

SASA FANYA HIVI, KAMA BABA NA MAMA YAKO WAPO HAI, WAPELEKE WATOTO WALELEWE HUKO, ALAFU WEE PAMBANA.

FANYA KUHARAKISHA KABISA, HIYO NDOA IVUNJIKE HARAKAAAA KADRI INAVYOWEZEKANA.

[emoji101]SAIZI ANAONGOZWA NA MWILI TU NA HOMONI, KWAIVO HAWEZI KUKUELEWA.

[emoji117]ACHA KABISAA KUJARIBU KUMPAMBANIA, SIJUI UMRUDISHE ,ACHAAAAAA.

[emoji117]KWA UFUPI, MPAKA ANAKUAMBIA ANA MWANAUME, BASI HUYO HAFAI.

[emoji117]SISI WANAUME HATUZEEKI, FANYA MAISHAZ TAFUTA MWANAMKE MBICHIIIIII. OA ..OA MWANANGU.

[emoji117]UMESHAMZALISHA WATOTO WAWILI... KAMA NI INJIN YAKE, IMESHAANZA KUCHOKA, HUYO HATA KM AKIOLEWA, BASI AKIZAA NI KATOTO KAMOJA.

[emoji117]HUYO MWANAUME WAKE ALIYEKUPORA MKE, TAMBUA KWAMBA ,HATA YEYE HATOWEZA KUMWAMINI HUYO DEMU .

[emoji117]HAKIKISHA MWANANGU, HAKIKISHAA HUYO MBWA AJUI WATOTO WAKO NI WAPI WALIPO. WANAKULA NN, WANAVAA NN, WANAISHIJE ISHIJE , NAHATA KMA ANAJUA SHULEN WALIPO, NENDA UWAMBIE WALIMU, WASIKAE KAMWEE KUMRUHUSU AWAONE.

[emoji116]
Huwa nataman sana Wanaume wenzangu muwe na Mioyo kama moyo wangu.... Aiseeee nina Moyo wa Chuma, Yaaan mwanamke ??? Mwanamke kiumbe Dhaifuu ivi ndio kinipande kichwan????. ASALALE.
 
Hawara wake ananitumia msg kwamba ni meshindwa kumtunza na kumjali mke wangu yaani jinsi alivyokolezwa
Hebu kuwa mkali mkuu.....yaani hawara yake anapata wapi ujasili wa kukutumia sms mkubwa? Mbona hiyo dharau imezidi eti umeshindwa mtunza mke wako wewe umeshindwaje kumjibu kama umeshindwa so what?.......

Mungu amekujalia moyo wa upole sana nawewe naona ni mtaratibu sana mkuu, hizo mambo binafsi ningekuwa nimeishamtafuta huyo hawara wa wife kumuwek sawa na ningetafuta njia ya kuweka ubao wa matokeo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…