Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
Hamna namna๐๐Kasi ya ubachelor inaongezeka speed kudadadeki ๐ ๐ ๐ maana majuto kashakuwa mjukuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna namna๐๐Kasi ya ubachelor inaongezeka speed kudadadeki ๐ ๐ ๐ maana majuto kashakuwa mjukuu
Hahahah ni kweli atakayejipendekeza sahizi dah namuonea huruma maana atachezea kipigo kibaya sana cha moyo ๐ ๐ ๐ ๐ ๐๐๐ Retaliation is a must!Angalizo hasira za kuvunjika ndoa yako tafadhari usiende kuziamishia kwa wanawake wengine, maana huwaga hamuna huruma baada ya hapo
Una roho ngumu wewe.Wanawake hawanaga huruma jaman na mtu....labda mama yako tu...nakumbuka nilipomaliza chuo ile misoto ya mtaan..nikaachwa na mtu ambae tulidate for karibia 4 yrs ..pika pakua...kisa yeye alipata kaz mapema TRA...ila sasa toka hyo 2014...kaja kuolewa2021...nayeye kuachana kwetu alisema yeye anataka ndoa...hyo ndo changamoto yenu wadada..sio wavumiliv....sasa hiv kila kukicha anafatilia status zangu...mara kuniwish bday.mara anataka nikienda mkoa alipo tuonane.....kwa jinsi nilivyo jeur na ego kama zote...niliwai kutana nae mwaka jana hotelin mkoa aliko...halaf tukala chakula tu akiexpect tungepasha kiporo ila hakuamin jinsi nilivyomkwepa...mim nna kinyaa cha ajabu.yaan nilale nawew.halaf nijue umeenda lala na mtu mwingne..aisee..naweza tapika kabisa...labda kwa penz jipya
Demu ukimfanyia hvo aisee...anakuheshimu na kukuamin balaa..huyo demu huwez amin haiwez pita mwez hajanipigia simu tunaongea hata 30min.Hahahah ungemkaza tu mzee baba hapo umeniangusha! Unamkaza af unamlia Ubuyu tu no beibe beibez!
Nimejifunza kitu hapa nduguPole mkuu. Lia kama ambulance, unalia huku unachapa mwendo.
Dah huyo dem atakuja akupe K tu siku moja ๐ na utaila ni swala la muda tu! Hayo mazungumzo hayataisha kirahisi ila mie ningemtafuna na kumpotezea! Staki mazoea na msengeDemu ukimfanyia hvo aisee...anakuheshimu na kukuamin balaa..huyo demu huwez amin haiwez pita mwez hajanipigia simu tunaongea hata 30min.
Ishu zake zote ananambia..kaolewa mwaka huu lakin alinambia y anaolewa
Katika ke 100 utapata 01We umeamua kuja kumkejeli bradha au sio? Aliyekwambia kuna wanawake wanaovumilia dhiki sikuhizi ni nani? Tukianza na wewe, unaweza kuishi na mwanaume ambaye hana kipato kwa muda flani? Hebu kuwa mkweli tu maana swala la hela limekuwa kipengele sana sikuhizi kiasi kwamba watu wamekosa utu kabisa yani usipokuwa na hela huthaminiki. Wewe unaweza kuishi kwa adabu na heshima na mume ambaye hana sh.10 bila makelele na kumnyanyasa?
Wasikutishe babe mimi nipo tofauti na wao lipa mahari hiyoo tunachelewa kupeleka watoto shule ujue๐Dah wakuu mbona tunatishana aisee ๐ ๐ ๐ nafikiria nikamlipie financial services mahari ila sasa mbona hivi tena?
Yani ni ngumu sana hii hali imepelekea uoga sana wa watu kuoa aisee! Maana mtu unatamani uoe ila kipato hafifu unaona ntaenda kuteswa tu na huyu mwanamke!Katika ke 100 utapata 01
Hahaha wanantisha bebe,,, nataka nikaze roho ๐ ๐ ๐Wasikutishe babe mimi nipo tofauti na wao lipa mahari hiyoo tunachelewa kupeleka watoto shule ujue๐
Hahahha..mim nikimla ,,mim ndo nakua looser....ila nikimtesa hiv anajua..yaan dah hili jamaa linaniona mim takataka tu...yaan mim nataka ateseke kama alivyonitesa mim.....kuna siku ananambia amenunua kiwanja kisiri mmewake hajui...anataka nimsaidie ujenzi..yaan nimsimamie ujenz...nikawaza nkasema huyu bwege nimpige pesa niin had ajute..ila roho yangu ikagoma sabab siko hivyo.....ila kiukwel had mwenyew ana admit kua namtesa sana..hahahah.mim nacheka tu kimoyo moyoDah huyo dem atakuja akupe K tu siku moja [emoji23] na utaila ni swala la muda tu! Hayo mazungumzo hayataisha kirahisi ila mie ningemtafuna na kumpotezea! Staki mazoea na msenge
Hahahahahah huyo dem ni devil aisee! Yani kanunua uwanja mumewe hajui aisee? Mi lazma ningemchapa kwenye ujenzi hapo mamaye ๐ ๐ ๐ si aliniacha kiboya namie nampiga tu mifuko ya simenti.. sema kanaonekana kanakumiss sana hako ka mmbwa, endelea kukapa adhabu za kiakili maninaHahahha..mim nikimla ,,mim ndo nakua looser....ila nikimtesa hiv anajua..yaan dah hili jamaa linaniona mim takataka tu...yaan mim nataka ateseke kama alivyonitesa mim.....kuna siku ananambia amenunua kiwanja kisiri mmewake hajui...anataka nimsaidie ujenzi..yaan nimsimamie ujenz...nikawaza nkasema huyu bwege nimpige pesa niin had ajute..ila roho yangu ikagoma sabab siko hivyo.....ila kiukwel had mwenyew ana admit kua namtesa sana..hahahah.mim nacheka tu kimoyo moyo
Unyago uliuelewa vizuri, pongezi kwako na familia yako na kizazi chako[emoji120]Usiseme huwezikuta mwanamke anamsema mme wake positively, wapo kama mimi hata kama mume wangu ana mapungufu ni lazima nimfunike kwa public, ntamsema vizuri, ntamfanya aonekane mwanaume kamili. I never speak negative about my husband, tatizo mnajumlisha jinsia yote!! Unaambiwa kama umekuta na aliyekengeuka ni huyo cyo wote!!
HahahaHahahahahah huyo dem ni devil aisee! Yani kanunua uwanja mumewe hajui aisee? Mi lazma ningemchapa kwenye ujenzi hapo mamaye [emoji28] [emoji28][emoji28] si aliniacha kiboya namie nampiga tu mifuko ya simenti.. sema kanaonekana kanakumiss sana hako ka mmbwa, endelea kukapa adhabu za kiakili manina
NINAKATAA.. KWANI WANAGAPI NDOA ZAO ZIMEVUNJIKA NA WANA HELA???Asalaam,
Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida.
Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.
Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.
Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.
Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.
Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Hebu kuwa mkali mkuu.....yaani hawara yake anapata wapi ujasili wa kukutumia sms mkubwa? Mbona hiyo dharau imezidi eti umeshindwa mtunza mke wako wewe umeshindwaje kumjibu kama umeshindwa so what?.......Hawara wake ananitumia msg kwamba ni meshindwa kumtunza na kumjali mke wangu yaani jinsi alivyokolezwa