Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dah, mitano ya kwanza kwa mwenda zake anakiwashaaaa tu[emoji23][emoji23] mauno paka chongo na kibamia chake
[emoji2]eti na kibamia chake,

Sio vizur dada angu unamsema mwenzio ujue.

Unamuongezea sonona[emoji4]
 
Hahahaha kwahiyo bado hujapata mchepuko mwingine? Maana uliapa hutaacha
Mmh!
Yaliyopita si ndwele dada angu.
Alikua SHETANI yule[emoji85][emoji85][emoji85]

Kwasasa, NIMEACHA KABISAAA.

Sitaki kuskia cha mchepuko wala mpuuz wake mchepuko.

Nmetulia tuli na familia yangu[emoji4]
 
Pole kwa yaliyokukuta mkuu! Huna budi kukubaliana nayo na kujipa muda siku utampata mama mwingine bora mtakayewalea watoto wenu pamoja kwa upendo, kuhusu pesa nadhani kuna wanawake wanaweza vumilia waume zao na kuwaombea Mungu aruhusu baraka za kipato ktk familia, si wote wanaonuna na dharau eti sababu mume amefulia.

Pia tujitahidi kuwa na vyanzo vingi vya mapato ili ukikosa huku unapata sehemu nyingine maisha yanaendelea. Itasaidia kuepusha kisirani
Naomba nikuoe...
 
Kwa uzoefu nilionao, wanandoa wanapoacha kila mmoja wao hutoa lawama kali dhidi ya mwenzake. Hakunaga anayekubali makosa na kusema wazi kuwa yeye ndiye mkosaji.

Wewe umetuambia madhaifu ya aliyekuwa Mkeo. Ingependeza zaidi kama tungemsikia na Mkeo naye atueleze madhaifu yako ili tupime kwa haki.

By the way nakupa pole kwa kuvunjikiwa kwa ndoa yako. Ushauri wangu kwako ni huu :

"Kabla ya kutoa lawama kwa Mkeo, hebu kaa chini na ujitafakari wewe mwenyewe. Mimi naamini kilicho muondoa Mkeo kwako siyo "pesa" pekee. Lazima kuna mengi sana nyuma ya pazia".
Soma kuanzia post #190 kuna makaburi yamefukuliwa huko.[emoji4]
 
Mkuu Oa haraka acha uzembe
Kuoa ni mambo ya duniani tukienda mbinguni nakuona biashara za kuoana
Hivyo oa upesi na haraka na chap
Kuoa kupa lakini si kwa haraka ovyo ataangukia kwa kenge wa bluu tena avute sibla
 
Mmh!
Yaliyopita si ndwele dada angu.
Alikua SHETANI yule[emoji85][emoji85][emoji85]

Kwasasa, NIMEACHA KABISAAA.

Sitaki kuskia cha mchepuko wala mpuuz wake mchepuko.

Nmetulia tuli na familia yangu[emoji4]
Hahaja hongeraaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]muosha huoshwa mkuu
Aisee wewe jamaa unamoyo mimi nisingeweza kurudiana naye kabisa maana ningekuwa kila ni wazapo alichokua anakifanya na mchepuko wake ningekua napandisha hasira na ghadhabu lazima tu ningempa talaka tena hata watoto ningeenda kupima DNA asijekua alikuwa ameanza tangu kitambo

Mimi hua sikai na mwanamke akinisaliti tena hua sitaki ushauri wa mtu
 
Mi nadhani wanaume sometimes tuwajibike kwa madhambi yetu pindi na wenzetu wanapoamua kurudisha mashambulizi.

Uyu mtoa mada alikua mchepukaji mzuri Sana,
Bahati mbaya mwenzie nae alipoanza kuchepuka IMEMUUMA MNO mpaka anatangaza kuvunja Ndoa.

Kisingizio anacholeta Ni pesa, WAKATI UHALISIA anaujua.

This is KARMA

cc: mawardat, Extrovert, financial services, RReigns, Evelyn Salt, @mbalizi1View attachment 1827299View attachment 1827300
Huyu naye anatuzingua kama yule dada wa jana kumbe[emoji849][emoji849]
 
Ni ajabu pale unaishi kwa ku-compare compare wanadamu wawili wana-fight everyday for your attention

Mama yako utamfananishaje na mke au dem unaejamiiana nae au kuzaa nae watoto?

Ni ukoswaji wa akili tu....

Kuna mama wangapi wana-sabotage their own children?Wapo...Na hao tuwaiteje?

Fanya hivi....failure kwenye relationships zetu na wenzi wetu ni weakness zetu wenyewe na tupo responsible kwa hilo 100%,hii ku-compare watu kwamba huyu ni better than huyu ni kutafuta sababu za kukwepa majukumu ya makosa yetu wenyewe!

Unakuta jitu zima,lipo mbele ya mke wake,and still linaongea kwamba mama au mke wake ni bora zaidi ya mke au mama yake...

Wanawake wawili,wote wanataka attention yako,na wote wana-fight maisha yao kua na wewe,cha ajabu unajifanya kupendelea huyu zaidi ya yule kwa wazi,wewe unategemea huyo mke wako will take in that bullshit?

Fanya hivi,regardless ya sijui huyu ni mama,sijui ni mke,sijui ni nani,wote ni wanadamu wanawake na wote wana ego,wote will do any crazy ego-driven actions to survive for your attention regardless.

Usiongoze haya magari mawili yaka-collide.
Point muhim sana[emoji120]
 
Ni ajabu pale unaishi kwa ku-compare compare wanadamu wawili wana-fight everyday for your attention

Mama yako utamfananishaje na mke au dem unaejamiiana nae au kuzaa nae watoto?

Ni ukoswaji wa akili tu....

Kuna mama wangapi wana-sabotage their own children?Wapo...Na hao tuwaiteje?

Fanya hivi....failure kwenye relationships zetu na wenzi wetu ni weakness zetu wenyewe na tupo responsible kwa hilo 100%,hii ku-compare watu kwamba huyu ni better than huyu ni kutafuta sababu za kukwepa majukumu ya makosa yetu wenyewe!

Unakuta jitu zima,lipo mbele ya mke wake,and still linaongea kwamba mama au mke wake ni bora zaidi ya mke au mama yake...

Wanawake wawili,wote wanataka attention yako,na wote wana-fight maisha yao kua na wewe,cha ajabu unajifanya kupendelea huyu zaidi ya yule kwa wazi,wewe unategemea huyo mke wako will take in that bullshit?

Fanya hivi,regardless ya sijui huyu ni mama,sijui ni mke,sijui ni nani,wote ni wanadamu wanawake na wote wana ego,wote will any crazy ego-driven actions to survive for your attention regardless.

Usiongoze haya magari mawili yaka-collide.
Exactclyyy mkuu. Yaan nashindwaga waelewa hawa wanaume wanaowakandia wake zao kutwa kutukuza mama zao wanasahau hata hao mama zao ni wake za baba zao. Ni akili za kivulana kutaka kulazimisha kuwe na fight kati ya mke na mama. Mwanaume ama mtu anayejitambua hata siku moja hawezi tengeneza mazingira ya partner wake kuchagua sides. Mke atabaki kuwa mke na mama atabaki kuwa mama. Kila mtu na nafasi yake.
 
Exactclyyy mkuu. Yaan nashindwaga waelewa hawa wanaume wanaowakandia wake zao kutwa kutukuza mama zao wanasahau hata hao mama zao ni wake za baba zao. Ni akili za kivulana kutaka kulazimisha kuwe na fight kati ya mke na mama. Mwanaume ama mtu anayejitambua hata siku moja hawezi tengeneza mazingira ya partner wake kuchagua sides. Mke atabaki kuwa mke na mama atabaki kuwa mama. Kila mtu na nafasi yake.
Jamaa kaongea point sana,
Mwenye masikio na asikie, ukianza kutengeneza sides unatengeneza daraja la ubaguzi kati yao.

Na dhambi ya ubaguz haijawahi kumuacha yeyote salama.

SOMETIMES,
WE ALWAYS DIG OUR OWN GRAVES
 
Jamaa kaongea point sana,
Mwenye masikio na asikie, ukianza kutengeneza sides unatengeneza daraja la ubaguzi kati yao.

Na dhambi ya ubaguz haijawahi kumuacha yeyote salama.

SOMETIMES,
WE ALWAYS DIG OUR OWN GRAVES
Kwa maana nyingine yaani ni hivio, na yeye atabaguliwa na wanae pia mbeleni tena wa kiume against mkewe[emoji23]
 
Makosa ni yako acha kutafuta huruma, kwanza ulioa ukiwa mdogo… pili huna HELA. Why! Kwanini!!

Tuwaambie mara ngapi kutafuta HELA?
 
Back
Top Bottom