Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

[emoji23][emoji23] akili za kivulana usipoachana nazo zitalugharimu. Wanaume wenzio wanakiri wewe umekaza. Ni huyu huyu mleta mada mwenzenu alikua analeta dharau ndoani pake mpk hali iliyofikia hivi sasa. And seemingly mkeo anateseka sana kama umeoa kwa akili na mawazo kama haya. Kujipa umalaika tu huwa hamjambo. Lawama ziende kwa wababa zetu kwa kutotimiza majukumu yao ndo matokeo yake kama hv
Unaonekana wewe ni muhanga.

Hata ukivuta nyuzi zangu sijawahi kuji mwambafai kumdharau mke wangu so usinichanganyie mambo yako
 
Siwezi kuvaa viatu vyako ila maisha hayako hivyo.

Kwa sababu ya mjinga mmoja ndio uchukie wanawake wote? Kula maisha mzee usimpe nafasi binadam mwenzako akutese. Mwache aende na wewe endelea na yako.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Sure japo kwenye kuoa sitifanya haraka ivi
 
Usihuzunike sana mzeee pisi kali zinahitaji hela kwa maana alifata hela sasa zimeisha inabidi aangalie upande wa pili,hiyo ndo maana halisi ya pisi kali
Wakati na mdate hakua pisi kali inayojua mji ila baada ya kumnonesha ndo ameleta dharau
 
Pole Mkuu,

Nimepitia hayo miaka michache iliyopita, awali nilikuwa na hofu ya Maisha yajayo hasa kwa upande wa watoto.
nilikwenda Mahakamani na walinishangaa kwamba mwanaume anaomba kumtaliki mke, sasa niko huru.Na uchumi umefurika mpaka nashangaa kwa nini sikufanya maamuzi haya tangu 2015 huko. Upande wa pili mbali ya kazi ya serikali, biashara na wanaume wa hapa na pale lakini naona yuko hoi!

mchungaji wangu, alisema "hakuna kipindi kigumu kwa mwanadamu kama kutafuta mtu wa kuishi naye kwani waweza chagua rafiki wa maisha yako au msalaba wako"

nyakati hizi za uchumi mgumu, ndoa nazo ni ngumu

“Hakuna kipindi kigumu kwa mwanadamu kama kutafuta mtu wa kuishi naye kwani waweza chagua rafiki wa maisha yako au msalaba wako”

HASA KIZAZI HIKI CHA WAKATI HUU.
 
Hahahahahaha mchepuko hauwezi kumtunza tena? Baadhi ya KE hawa ni wapuuzi sana. Jamaa limeshapiga papuchi vya kutosha sasa linamtema kiaina.
Jamaa Hana maisha sema ni vile Mimi Nina majukumu makubwa kifamilia.
Sasa kipindi yupo kwangu si ilikua mseleleko kwake kwakua mahitaji muhimu yote yaliishia kwangu...

Ila mi naona bado labda ananu act'ia tuu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Atarudi kwako huyo huku uso ukiwa umemshuka au akiwa na kiburi ataamua kuhamia kona bar akafute wateja.
Jamaa Hana maisha sema ni vile Mimi Nina majukumu makubwa kifamilia.

Sasa kipindi yupo kwangu si ilikua mseleleko kwake kwakua mahitaji muhimu yote yaliishia kwangu...

Ila mi naona bado labda ananu act'ia tuu
 
Unaonekana wewe ni muhanga.

Hata ukivuta nyuzi zangu sijawahi kuji mwambafai kumdharau mke wangu so usinichanganyie mambo yako
Hayo sasa yako. Na ni juu yako. Umekosea ila mkeo amechemka sana. Njia alizotumia akiamini anakukomoa anajikomesha mwenyewe. Kurudi najua atarudi tu akiwa hoi. Ameshindwa kuwa mjanja kbs. Kiujumla nachoweza sema hakuna mapenz tena kati yenu. Ulimzingua kwa wakati wako na ye anafanya sasa kwa wakati wake. Kosa moja halihalalaishi kosa lingine. Na wewe usifikiri kukiwasha unakomoa mtu. Kama wanao unawapenda wapende kwa kutoshambulia mbususu ovyo. Itakugharimu zaidi. Kama mama tu hana uchungu wa kulea wanae wewe ukayakwaaa maradhi huko kimebaki nini. Ni hayo tu, haikuhalalishii wewe kuwa malaika.
 
Pole kwa yaliyokukuta mkuu! Huna budi kukubaliana nayo na kujipa muda siku utampata mama mwingine bora mtakayewalea watoto wenu pamoja kwa upendo, kuhusu pesa nadhani kuna wanawake wanaweza vumilia waume zao na kuwaombea Mungu aruhusu baraka za kipato ktk familia, si wote wanaonuna na dharau eti sababu mume amefulia.

Pia tujitahidi kuwa na vyanzo vingi vya mapato ili ukikosa huku unapata sehemu nyingine maisha yanaendelea. Itasaidia kuepusha kisirani
Asante kwa kututia moyo... Haya mambo haya ndio maana wanaume wengi wanawahi kufa.
 
Back
Top Bottom