Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shelly aboubakaryJeff Jerry
Dj Maliz
D7
Kiss was the best.....
Switch aliifunga studio, muulize huyo kaifungua lini?kumbe jamaa yuko kwa switcher... ila nikisikiliza beat za lufa huwa nasikia zina mastering nzuri sana. kuanzia ile arosto, kababaye na nyingine kibao yani huwa nasikia vifaa viko well balanced.
Shelly aboubakaryWalikuwa na binti fulani alikuwa ana sauti nzuri kwenye show yao, alikuwa kama dj fetty wao.
Aisee muda unakimbia kipindi hicho nasoma nsumba mwanza A level miaka ya 2007-2009 now naelekea uzee
Kufungua yako ni nzuri lakini unaweza usipate deals kama ambazo unapata kupitia mwenye studio ambae ndio anakua godfathermacko chali naona yeye aliamua abaki tu mj wala si kufungua yake
Alikuwa na lisauti hivi ziitoo akiongea kidogo na jingle la nyau uwaaaaauuuu 🤣huyo huyo... sikuwahi mwona sura nilikuwa tu nimemjengea taswira kichwani
Zile zilikuwa nyakati bora sana kwa kizazi chetu tofauti na sasa vijana wanaimbishwa matusi tunilikuwa namkubali yeye na yule co host wa show time wa kidbway, glory robinson
siwezi tu kushare experience zangu baadhi ila sekta ya burudani ina mambo ya ajabu sana. Labda uwe na kazi ya kukupa kipato au back up ya kukusogeza la sivyo utaingia kwenye mambo ya ajabu sanaAcha kabisa Broo, enzi hizo natoa hadithi zangu gazeti la Mwananchi, nikilipwa napeleka Pesa Studio. Ukisharekodi kumfikia Baba Wawili pale Ebony au DJ Fetty na wengine sio rahisi. Japo kwangu kilichonishinda 'Maisha yaliyo kwenye muziki' niliona siyawezi kabisa.
Mfano? But muziki si sasa unalioa? watu kama chino kid naona ndani ya muda mfupi wamebadilika.siwezi tu kushare experience zangu baadhi ila sekta ya burudani ina mambo ya ajabu sana. Labda uwe na kazi ya kukupa kipato au back up ya kukusogeza la sivyo utaingia kwenye mambo ya ajabu sana
Tunabang ni Jose blazesiko sure lakini nadhani ni down town records na huenda ni chizan brain sijui alikuwa anaitwa hivyo. ila siko sure mkuu
Ukweli mchungu huusiwezi tu kushare experience zangu baadhi ila sekta ya burudani ina mambo ya ajabu sana. Labda uwe na kazi ya kukupa kipato au back up ya kukusogeza la sivyo utaingia kwenye mambo ya ajabu sana
Kwenye miaka ya 2010s baada ya kuhitimu chuo alihamia Dar es salaam.nataka nijue Amber bado anafanya kazi, studio bado ipo Iringa ?
anaendelea na production ?Kwenye miaka ya 2010s baada ya kuhitimu chuo alihamia Dar es salaam.
Ambha anadai kwamba alifanya production lakini hakutoboa akawa ameamua kufunga studio aachane na muziki maana nyimbo zilikuwa hazipigwi na hapati fedha. Sasa akiwa ashaamua kufunga studio, asubuhi kalala kaja yaki anamgongea dirishani anamwita ambha aamke kuwa kaja na faridah anataka wakarekodi. Kama mnakumbuka zama hizo faridah alikuwa ni msanii wa kike ambaye nyimbo zake kama pesa zilikuwa ikipigwa sana RFA ambayo ilikuwa kwenye peak zama hizo.
Basi ambha kusikia farida akaamuka na kwenda studio na yaki na farida ndipo wa karekodi wimbo unaitwa we ni wangu ulikuwa na beat ya crank na crank ndiyo ilikuwa mainstream.
Baada ya hapo akarekodi hits kibao hadi wasanii wakaanza kutoka dar wanamfuata iringa. Moja ya msanii aliyefanya ngoma naye ambazo mpaka leo nazikubali ni Rama Dee ambapo alifanya naye ngoma inaitwa kikao cha family na ngoma nyingine. Ambha anadai ngoma za rama dee zilikuwa zimejaa back vocal zake mwenyewe na rama dee alimkubali jamaa jinsi alivyokuwa anapika nyimbo zake.
Ila kati ya vijana ambao alifanya nao ngoma zikahit kutokea iringa ni yaki, roho saba, na vijana wengine.
View: https://www.youtube.com/watch?v=H6MWWxMkDhM&list=RDH6MWWxMkDhM&start_radio=1
View: https://www.youtube.com/watch?v=PihvQOA_gxo
View: https://www.youtube.com/watch?v=chdP7c91Qs4
Lakni my favorite ni yaki ya tonight.