Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

siwezi tu kushare experience zangu baadhi ila sekta ya burudani ina mambo ya ajabu sana. Labda uwe na kazi ya kukupa kipato au back up ya kukusogeza la sivyo utaingia kwenye mambo ya ajabu sana
 
siwezi tu kushare experience zangu baadhi ila sekta ya burudani ina mambo ya ajabu sana. Labda uwe na kazi ya kukupa kipato au back up ya kukusogeza la sivyo utaingia kwenye mambo ya ajabu sana
Mfano? But muziki si sasa unalioa? watu kama chino kid naona ndani ya muda mfupi wamebadilika.
 
siwezi tu kushare experience zangu baadhi ila sekta ya burudani ina mambo ya ajabu sana. Labda uwe na kazi ya kukupa kipato au back up ya kukusogeza la sivyo utaingia kwenye mambo ya ajabu sana
Ukweli mchungu huu

Kwa kifupi mambo yapo ndivyo sivyo na yanavyoonekana nje
 
hiyo ngoma ya country ina miezi mitatu ameifanya ammy wave
 
Yombo za kiazi kipya bhana daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…