Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hapo ni sawa na wewe useme kwa kuwa hakuna kiwanda cha BMW Tanzania, basi BMW limetengenezwa na Mungu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imani si tamko lenye asili ya kiarabu.

Dhana ya imani ilikuwepo kabla ya kiarabu kuwepo.

Hjaelewa hata nilichokuuliza ni nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo jamaa hata kusoma kwa ufahamu hajui, kajaa mabaki ya ukoloni wa kiutamaduni.

Namuuliza imani ni nini, anaanzia kwa Waarabu, kama vile kabla ya Waarabu hakukuwa na imani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni bora ukaijadili vyema hoja iliyopo na uachane hizo habari za uarabu na hiko unachokidhania. Ama wataka tuanze kuifukua hiyo dini yenu ya kiislam!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani mimi nimekuuliza "tamko imani ni nini" au nimekuuliza imani ni nini?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Hutaki habari za mantiki katika Mungu wakati wewe kuniuliza swali tu kuhusu Mungu ni lazima ushatumia mantiki.

Unaelewa unachoandika? Au unaandika tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajuaje huyo anayesemwa kaona muandiko wa Mungu kaona muandiko wa Mungu kweli na hajachezewa shere na watu tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna Mungu kwasababu mimi ndio Mungu wa kweli

Sasa ni kazi yako kuthibitisha mimi sio Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe fala sana,kwa hiyo unataka kuleta Upinzani gani hapa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora hata uwaumbue lol.
 
Mimi nakuuliza dhana inayopita lugha, wewe unajibu neno la lugha moja.

Hiyo ndiyo tofauti yangu na wewe.

Ni kama tofauti ya guluguja na mtu mwenye aliyekamilika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa walikufa mapema kaa sababu gani?
1.Steven Kanumba
2.Sharo Milionea
3.Bruce Lee
4.Tupac Shakur
5.Malcom X
6.Paul Walker
7.Bob Marley
8.Kobe Bryant
9.Michael Jackson
10.Princes Diana.
11.Whitney Houston
12...
13....
..
.
Watakuambia waliingia u Freemasons, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thibitisha hilo.
 
wewe jamaa ni mwongo mwongo sana Eti
Stephen Hawking alimkana huyo Mungu ndio akapata ugonjwa wa ajabu hivi hizi stori hua manazipata wapi?
Hebu Rudi kasome historia ya maisha ya huyo nguli ndio urudi hapa utupige Kamba zako!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…