Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hapo ni sawa na wewe useme kwa kuwa hakuna kiwanda cha BMW Tanzania, basi BMW limetengenezwa na Mungu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imani si tamko lenye asili ya kiarabu.

Dhana ya imani ilikuwepo kabla ya kiarabu kuwepo.

Hjaelewa hata nilichokuuliza ni nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo jamaa hata kusoma kwa ufahamu hajui, kajaa mabaki ya ukoloni wa kiutamaduni.

Namuuliza imani ni nini, anaanzia kwa Waarabu, kama vile kabla ya Waarabu hakukuwa na imani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni bora ukaijadili vyema hoja iliyopo na uachane hizo habari za uarabu na hiko unachokidhania. Ama wataka tuanze kuifukua hiyo dini yenu ya kiislam!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani mimi nimekuuliza "tamko imani ni nini" au nimekuuliza imani ni nini?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimemuelewa kwamba licha ya wengine kufa pia pasipo kumdhihaki Mungu lkn mifano aliyotoa ya vifo vilivyotokea baada ya watu hao kumdhihaki Mungu ni tofauti kwa kuwa kwanza vimetokea ghafla mara baada ya kumdhihaki Mungu.Mfano ni hayo mayai yaliyosalimika wakati gari lilipinduka na kuua watu wote,huoni huo ni muujiza? Lkn huyo mwingine aliyeungua kiajabuajabu!! Na huyo rais aliyekufa bila kuapishwa huoni ukuu wa Mungu?
 
Hutaki habari za mantiki katika Mungu wakati wewe kuniuliza swali tu kuhusu Mungu ni lazima ushatumia mantiki.

Unaelewa unachoandika? Au unaandika tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajuaje huyo anayesemwa kaona muandiko wa Mungu kaona muandiko wa Mungu kweli na hajachezewa shere na watu tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna Mungu kwasababu mimi ndio Mungu wa kweli

Sasa ni kazi yako kuthibitisha mimi sio Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakupa list ya wachungaji na masheikh ambao hawakumdhihaki Mungu na walipata shida na kufariki

1. TB JOSHUA
2. MAMA LWAKATALE
3. STEPHEN AKNOLA
4. ISSA TURAY
5. WILSON BADEJO

Sheikh nooren mohammed hakumdhihaki Mungu lakini alikufa kwa ajali mbaya sana.

Sheikh Saeed bin nahynan huyu kafa siku nne zilizopita naye kwa ajali mbaya sana na hakumdhihaki Allah

Rashid bin Mohammed naye alikufa kwa shambulio la moyo na hakuwahi mdhihaki Mungu.

Na sio tu hao wapo wengi sana wamekufa na wengine wakipata shida pasipo hata kumdhihaki Mungu.

Kinachokufanya uone hao watu uliowataja kua wamepatwa na shida kutokana na wao kumdhihaki Mungu ni kipi? Nani asiyepata tabu hapa ulimwenguni?

Huyo Mungu wako historia ya dini inaonesha yeye ndio alikua muanzilishi wa kupata tabu baada ya vita yake na shetani ambapo shetani alizua utata huko juu mpaka akafanikisha kusepa na robo tatu ya malaika unafikiri tabu aliyoipata huyo Mungu ilikua ndogo?

Kwa hiyo nayeye tuseme alimdhihaki nani mpaka ikamfika hiyo tabu?
Wewe fala sana,kwa hiyo unataka kuleta Upinzani gani hapa?
 
Mtoa uzi inaonekana ni conservative.. sijui kama familia yake inafuraha nae. Kaja na mada za ajabu sana. Yaani mtu kama huyu anaweza kuwa muongo hata kwa familia yake au kuitesa kwa mafikirio yake.
Kwanza namba sita kaijazia tu ili awe na watu wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
1. Jonh lennon alikua assasinated mwaka 1980 december 8 sio 1966

2. Tancredo pia aliumwa hata kabla.. alikua anasumbuliwa na maradhi hayo muda mrefu. Na alipendwa na wabrazil hajawahi kutamba hivo

3. Marilyn monroe alijioverdose..huyu alikua mla unga kweli kweli.. pisi kali ila ni sex machine.. yaani huyu ngono ilikua damuni na anasa zote.

4 huyo hewit unatupiga changa la macho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora hata uwaumbue lol.
 
Mimi nakuuliza dhana inayopita lugha, wewe unajibu neno la lugha moja.

Hiyo ndiyo tofauti yangu na wewe.

Ni kama tofauti ya guluguja na mtu mwenye aliyekamilika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa watu wanihisi kifo ni matakwa ya mungu[emoji1787][emoji2962][emoji2962] hivi wanajua kuwa maisha ya viumbe yapo kwasababu seli hai zinafanya kazi . Tukimueleza kuwa kuna cancer cell haziwaji kufa(seli zenye kansa kutoka kwa mwanamke henrietta lacks a.k.a hela cells) sasa atasema nani anaamua kifo mungu au just biological processes [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa walikufa mapema kaa sababu gani?
1.Steven Kanumba
2.Sharo Milionea
3.Bruce Lee
4.Tupac Shakur
5.Malcom X
6.Paul Walker
7.Bob Marley
8.Kobe Bryant
9.Michael Jackson
10.Princes Diana.
11.Whitney Houston
12...
13....
..
.
Watakuambia waliingia u Freemasons, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo sahihi japo watu wanakupinga ni wafinyu wa fikra
Kuna wengine Hawa hapa Stephen Hawking mwanasayansi nguri yeye baada kubukua vitabu akasema hakuna Mungu aliishia kuumwa gonjwa la ajabu Sana ,na gadafi wakati yupo Uganda aliwahi kusema Biblia ni makaratasi siyo maneno Mungu akakitupa chini na kukanyaga kilichobaki watu wake aliowalisha asali na maziwa wakamtoa uhai
NB Mungu anatokea kwa namna ambayo binadamu hawezi kutambua

Stephen Hawking
View attachment 2053040
Thibitisha hilo.
 
wewe jamaa ni mwongo mwongo sana Eti
Stephen Hawking alimkana huyo Mungu ndio akapata ugonjwa wa ajabu hivi hizi stori hua manazipata wapi?
Hebu Rudi kasome historia ya maisha ya huyo nguli ndio urudi hapa utupige Kamba zako!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom