Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Nadhani hoja ya mtoa mada ni kufanya kufuru kwakutokubali uwepo wa Mungu na hukumu ya haraka sana baada ya kukufuru.
Hoja sio kifo bali nikifo cha haraka sana baada ya kuona kwamba hakuna ukuu wa Mungu na mamlaka yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2962][emoji2962]Biololgy and laws of universe zinakupinga
 
Mungu gani?

Hutaki habari za mantiki katika Mungu wakati wewe kuniuliza swali tu kuhusu Mungu ni lazima ushatumia mantiki.

Unaelewa unachoandika? Au unaandika tu?

Kumbe huna hoja ya kuthibitisha hakuna Miungu.

Unafikiri hiyo akili ya kujua mantiki sijui nini kakupa nani? Kwanini mbuzi hawajui habari za mantiki?

Unakwepakwepa tu.

Utakuwa ulipitia magumu ndio maana unaona hakuna Mungu.
 
Walimdhahaki Mungu yupi.Mungu wa waislamu au wa wa wakiristo?
Wakristo wana trinith waisilami wana mungu mmoja. Waisla wanamdhihaki mingu yesu kila siku nao wakiristo wanamdhihaki mtume na mungu wake.
Hata JF watu wa dini tofauti wanadhihakiana kila siki.
Katika vitsbu vyote vys mungu sijawahi sikia Mungu akiahidi au kuonya kuwa atawadhuru wale wanaodhihaki bali mafikio yao yatakuwa jehanamu au moto wa milele huko mbinguni.
Tunafanyiana matuki mabaya kisha tunamsingizia mungu au shetani. Sisi binadamu ndio mashetani wakubwa, tunamatendo mabaya sana dhidi ya wengine na Mungu.
Kuna watu wanaunda sumu za kuua wengine lakini bado hatuwaoni kuwa ni wabaya.
 
Hawa walikufa mapema kaa sababu gani?
1.Steven Kanumba
2.Sharo Milionea
3.Bruce Lee
4.Tupac Shakur
5.Malcom X
6.Paul Walker
7.Bob Marley
8.Kobe Bryant
9.Michael Jackson
10.Princes Diana.
11.Whitney Houston
12...
13....
..
.
 
Thibitisha
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao viumbe wake anaowapenda wanakufa, wakati wao wanapenda kuishi, ni contradiction.

Unaelewa hilo?

Unaelewa contradiction ni nini?

Kilanga hizo sifa za Mungu ni za kweli kabisa na hakuna kufa bali kilichopo ni kuhama ulimwengu wa kimwili kurudi ulimwengu wa kiroho kama ilivyo kua awali kabla hujaja. Hiyo safari ya kuhama ina maajabu yake Wakati anapo hama mmoja wetu kutoka ulimwengu wa kiroho kuja ulimwengu wa kimwili walio tangulia humpokea kwa furaha na vigerere mno
Anaporudi ulimwengu wa kiroho waliobaki husikitika na vilio vingi.
Kwa hiyo Kilanga bear in ur mind there is no death as a death u think so but reality is a shifting from point A to point B that so.
 
Nadhani hoja ya mtoa mada ni kufanya kufuru kwakutokubali uwepo wa Mungu na hukumu ya haraka sana baada ya kukufuru.
Hoja sio kifo bali nikifo cha haraka sana baada ya kuona kwamba hakuna ukuu wa Mungu na mamlaka yake
Hawa walikufa mapema kwa sababu gani?

1.Steven Kanumba
2.Sharo Milionea
3.Bruce Lee
4.Tupac Shakur
5.Malcom X
6.Paul Walker
7.Bob Marley
8.Kobe Bryant
9.Michael Jackson
10.Princes Diana.
11.Whitney Houston
12...
13....
..
.
 
Upo sahihi japo watu wanakupinga ni wafinyu wa fikra
Kuna wengine Hawa hapa Stephen Hawking mwanasayansi nguri yeye baada kubukua vitabu akasema hakuna Mungu aliishia kuumwa gonjwa la ajabu Sana ,na gadafi wakati yupo Uganda aliwahi kusema Biblia ni makaratasi siyo maneno Mungu akakitupa chini na kukanyaga kilichobaki watu wake aliowalisha asali na maziwa wakamtoa uhai
NB Mungu anatokea kwa namna ambayo binadamu hawezi kutambua

Stephen Hawking
 
wewe jamaa ni mwongo mwongo sana Eti
Stephen Hawking alimkana huyo Mungu ndio akapata ugonjwa wa ajabu hivi hizi stori hua manazipata wapi?
Hebu Rudi kasome historia ya maisha ya huyo nguli ndio urudi hapa utupige Kamba zako!
 
Kufa sio hatia kufa ni wajibu kwa kila mtu iwe wenye hatia na wasio na hatia wote tutakufa tukio linaweza kuwa moja lakini likiwa ni muunganiko wa matukio mengine pengine hata huyo mtu asingesema hayo maneno ajali ingetokea na watoto wangekufa vilevile. Mleta mada kachukua tukio kwa kuangalia katika angle fulani kwa sababu kila angle inajaribu kutoa funzo.
Jichukulie wewe ndo mmiliki wa hicho chombo/meli na ukasema maneno hayo ya kujiamini na kujiaminisha alafu mwisho wa siku chombo chako kikazama unafikiri baada ya hilo tukio ungekuwa na mtazamo gani?
 
Mimi nakuuliza dhana inayopita lugha, wewe unajibu neno la lugha moja.

Hiyo ndiyo tofauti yangu na wewe.

Ni kama tofauti ya guluguja na mtu mwenye aliyekamilika.
Hii tabia ya kukwepa maswali utaiacha lini ? Nilipo toa maana ya tamko Imani niliishia kwenye asili pekee au nikaarifisha tamko husika ? Ungekuwa umejikita humo unapo dai usingeingia katika mlango ambao huwezi kutoka. Ukajitia ujuaji ukaacha maana ukajadili asili ya neno hui ndiyo ujinga wako ulipo,na ulipo kuja kwenye asili ukashindwa kujitetea.

Maana niliyo kupa imekusanya zama zote juu ya tamko hilo.

Sasa jibu swali nililo kuuliza thibitisha ya kuwa tamko Imani si lenye asili ya Kiarabu.
 
Umeelewa nini?
Nimemuelewa kwamba licha ya wengine kufa pia pasipo kumdhihaki Mungu lkn mifano aliyotoa ya vifo vilivyotokea baada ya watu hao kumdhihaki Mungu ni tofauti kwa kuwa kwanza vimetokea ghafla mara baada ya kumdhihaki Mungu.Mfano ni hayo mayai yaliyosalimika wakati gari lilipinduka na kuua watu wote,huoni huo ni muujiza? Lkn huyo mwingine aliyeungua kiajabuajabu!! Na huyo rais aliyekufa bila kuapishwa huoni ukuu wa Mungu?
 
Una point sana, ila shida ni kuwa ume base sana kwenye "kudhihaki" kuwa ndio chanzo cha shida ilihali maisha ya hapa duniani, whether you are doing bad or good shida ni ngumu kuziepuka..
 
Mtoa post unaonekana kabisa wewe ni mdini lakini hata dini yenyewe huna ujuzi nayo, katika hao wote uliowaorodhesha hapo juu hakuna aliyehukumiwa na huyo mungu kwasababu ya kumdhihaki.

Labda nikukumbeshe kitu kimoja, kifo sio adhabu kwa maana huyo mungu mwenyewe kupitia maandiko yake kasema kuwa kila mtu kapangiwa siku yake ya kufa.

Sasa ikitokea leo mimi namdhihaki alafu anihukumu kwa kifo hapo ataonesha wazi kuwa hana msimamo, pia fuatilia alichokisema mkuu SCARS kwenye comment ya #3.

Sio ukristo tu hata uislamu utakufa, kadri siku zinavyokwenda watu wa dini wanaachana na hizi dini baada ya kugundua kuwa hizi dini ni za michongo.
 
Umejuaje haya yote, wakati hujawahi kufa?Yote haya uliyoandika ni mambo ya kusimuliwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…