Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Emu nikumbusheni ile albadiri ilikuwaga lini, sio baada ya lisu kupigwa lisasi kweli....
 
Asikudanganye mtu hakuna phase 1 , 2 wala 3
Njoo uone tumavyojazana humu ndani ya mwendokasi...

Na ndio maana hata asubuhi ya leo ilivyotokea taharuki ndani ya mwendokasi pale katikati ya kituo cha Kagera na Mwembechai...basi ilileta hitilafu ikafuka moshi basi raia wakaanza kuvunja vioo na kutorokea dirishani.

In short hakuna phase 3
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Dkt Remmy Ongala aliimba wimbo ule "Kifo".
akatuambia namna kifo kilivyokwenda na rafiki yake chidumule hatimaye kifo kikamfyeka nayeye Dr Remmy...kifo hakichagui mtoto, mzee, kijana nk kinafyeka tu...

Tuombe, tusali na kujiombea mwisho mzuri, kifo kipo na kinaanza na yeyote...tupendane..
Samahani ndugu yangu Chidumule bado mzima hajafa usimchulie
 
Pole sana yaani hili umelijua leo? Yaani ukiona covid imetangazwa kwa mbwembwe zote jua kuna anae ondoka.

Hivi umejiuliza tangu mwezi wa tatu alivyofariki covid ikaenda likizo sasa hivi imerudi kwa nguvu bado macho hayajafunguka? Wake up!!!!
Daah umenikumbusha kitabu cha kufa na kupona cha marehemu Musiba "kila unapomuona lulu kwenye jukwaa akionyesha mitindo ya mavazi na watu wakishangilia jua kuna mtu anakufa" kila simaanishi na stori hii
 
Naam! Wakati wa kisasi cha Mungu umewajia.

Walitutesa, wakatunyang'anya hela zetu, wakatufunga kwa hila, wakaua ndugu zetu, wakatunyang'anya haki zetu, wakatufanya wakimbizi ndani ya nchi yetu, wakatuondolea uraia wetu kwa hila [emoji3064]
Ndipo tulipomlilia Mungu akasikia toka patakatifu pake, nae amekuja kutaka damu zao kama walivyotwaa damu za ndugu zetu.

Tubuni enyi mlioshiriki maovu ya yule muovu wa awamu ile kabla hamjaangukiwa na ghadhabu ya Mungu Mwenyezi.
Spika ndugai ameshupaza shingo hakika naiona menemene tekel na persin sebuleni kwake muda c mrefu mtakuja kuikumbuka hii msg.
 
unaweza kukuta lenyewe lina madhambi tele na muda wa kujiombea na kuyaacha linao sasa linabaki linapambana na Marehemu asiyeweza kujitetea..

Hii mijitu chief ni mijinga sana aisee...nimeamini siku za karibuni kuwa ni mijinga na tukiiendekeza inaweza kusababisha maafa makubwa sana kwenye nchi hii...

JPM alivyokuwa hai ilishindwa kupambana naye, amekufa eti ndio inajifanya kupambana na marehemu na kuendelea kumsumbua mama ambaye amejaribu kuwa muungwana kwao..
Kwenye madhambi Jiwe n a Genge lake walikithiri ndio maana Mungu kaamua kuwapukutisha. Maana sio kwa uhalifu ule aisee.
 
unaweza kukuta lenyewe lina madhambi tele na muda wa kujiombea na kuyaacha linao sasa linabaki linapambana na Marehemu asiyeweza kujitetea..

Hii mijitu chief ni mijinga sana aisee...nimeamini siku za karibuni kuwa ni mijinga na tukiiendekeza inaweza kusababisha maafa makubwa sana kwenye nchi hii...

JPM alivyokuwa hai ilishindwa kupambana naye, amekufa eti ndio inajifanya kupambana na marehemu na kuendelea kumsumbua mama ambaye amejaribu kuwa muungwana kwao..

Nimecheka kwa nguvu ulichoandika hapa, huyo marehemu watu walikuwa wanampa ukweli wake huku mitandaoni, labda kama ulikuwa huingii mitandaoni, na hata sasa mama anaambiwa humu humu mitandaoni. Au kuna mahali umeona huyo mama watu wakizuia asipite barabarani?
 
Swali la kujiuliza ni kwanini ni inner circle tu ya mwendazake? Na yule alieponea mtungi wa hewa naona ameanza kutembea na mguu wa kuku kiunoni siku hizi.. kwanini atembee nao wakati analindwa?

Mkuu hao waliokufa walipigwa risasi kama Lisu, mpaka huyu kaamua kutembea na huo mguu wa kuku?
 
Ukikua utaacha
Naam! Wakati wa kisasi cha Mungu umewajia.

Walitutesa, wakatunyang'anya hela zetu, wakatufunga kwa hila, wakaua ndugu zetu, wakatunyang'anya haki zetu, wakatufanya wakimbizi ndani ya nchi yetu, wakatuondolea uraia wetu kwa hila [emoji3064]
Ndipo tulipomlilia Mungu akasikia toka patakatifu pake, nae amekuja kutaka damu zao kama walivyotwaa damu za ndugu zetu.

Tubuni enyi mlioshiriki maovu ya yule muovu wa awamu ile kabla hamjaangukiwa na ghadhabu ya Mungu Mwenyezi.
 
kuna watu hawajui kwanini mpaka leo nchi iko salama, wanafikiri wanavyolala na kula bata basi watu wote wanakula bata na kulala...

Usalama wa nchi ni kitu cha siri sana na mamlaka tu ndizo zinajua...UMEMUULIZA SWALI ZURI SANA KWANINI YUKO SALAMA HAJATEKWA WALA KUPOTEA...

Kama huo usalama ni wa hivyo watu wasingetekwa na kutupwa kwenye viroba. Ana tungewajua hao watekaji. Hii mikwara eti kuna watu hawalali huwa inanichekesha sana. Ukiona mtu halali usiku ujue hiyo ndio kazi aliyoichagua, na analipwa na sio uzalendo kama unavyotaka ionekane. Hao watu unaowasifia hawalali walikuwa wapi mpaka watu wakajiunganisghia bomba la mafuta? Acha kutoa sifa za kijinga boss.
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu, watu Hawa hawana raha kabisa, bidii ya kazi imeshuka sana baada ya kusoma mchezo unavyoendelea hapa nchini, -1. Cdf , 2. IGP, 3. Lukuvi, 4. Majaliwa, 5. Kabudi, 5. Mpango etc.

Wakati watu wanatekwa, kuuwawa, kuachwa na vilema vya maisha na kubambikiziwa kodi, hawa uliowataja walikuwa na msaada gani? Kuendesha nchi kikatili ndio ari ya kazi?
 
Back
Top Bottom