Sjui kama umeelewa ulichosomaMtu ili ujilikane unabidi kuwa na mchango chanya katika Jamii na Taifa kwa ujumla .
Unaweza kuwa wewe baba yako ni rais Ila kwakuwa hauna impact chanya katika Jamii Basi hakuna mtu utaendelea kukuzingatia.
Mtu Kama Joel Nanauka mnamuonaje je? Angekuwa ndo mtoto wa rais watu wasingemzingatia
Zingatia hoja iliyopo mezani.Hata Jesca haukumuona?
Aliwatafutia kazi serikalini ambazo ziliwafanya wawe bize
Wataje na nafasi zaoTena kazi za maana.
Nyumba ndogo ulikuwa ukipelekewa moto ww au mama ako.?Udikteta hadi nyumbani, pia nyumba ndogo kama zote!
Watoto wa viongozi hasa Magufuli Kama hawana impact ya ku-offer katika Jamii bado hata wangejulikana isingesaidia Jambo lolote.Sjui kama umeelewa ulichosoma
Juzi kati Rais Tinubu wa Nigeria kamtimua mtoto wake wa kiume kwenye kikao chake na Wafanyabiashara. Mzee alichukia kuwa hata kama yeye ni Rais, mwanae hana mamlaka ya kuhudhuria kikao chake ambacho hajaalikwa!Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Mseven huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wananafasi gani hapo serikarini
Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri
Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais
Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu
Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watotobnao wanataka kuwa ndo kama ni makamo wa Rais?
Hii hapana
JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Nyumba ndogo anamshinda Mzee wa Msoga kweli!Udikteta hadi nyumbani, pia nyumba ndogo kama zote!
Kwani Abdul ana impact gani zaidi ya kubebwa na Mama yake!Mtu ili ujilikane unabidi kuwa na mchango chanya katika Jamii na Taifa kwa ujumla .
Unaweza kuwa wewe baba yako ni rais Ila kwakuwa hauna impact chanya katika Jamii Basi hakuna mtu utaendelea kukuzingatia.
Mtu Kama Joel Nanauka mnamuonaje je? Angekuwa ndo mtoto wa rais watu wasingemzingatia
Kura tumpe Samia, Abdul ndio awe mwakilishi wake, hii hapana aiseeJuzi kati Rais Tinubu wa Nigeria kamtimua mtoto wake wa kiume kwenye kikao chake na Wafanyabiashara.Mzee alichukia kuwa ata kama yeye ni Rais,mwanae hana mamlaka ya kuhudhuria kikao chake ambacho hajaalikwa!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Jesca alijulikana baada yakugundulika kuwa wakati Magufuli anavunja ile course ya ualimu pale UDOM ya form 4 zilizofeli na Jesca alikuwa muathilika la tukio ilo maana nae alikuwa mwanafunziJesca mlimjua sababu pamoja na baba yake kuwa rais ye aliendelea kusoma vyuo vya serikali..lakini hata picha yake hatuijui.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Mjomba ni mamaDotto ni mtoto wa JPM??
Ubishi wa kiha mi siuweziNauliza tena, Dotto ni mtoto wa JPM?
Habari ya mjomba achana nayo mkuu, uthibitishe tu iwapo ni mtoto mtu basi!
Hata wale wanaosoma aliwatafutia kazi? Tumia basi akili yako japo kidogo.Aliwatafutia kazi serikalini ambazo ziliwafanya wawe bize
Huyo wa Mama yenu ana mchango gani?Mtu ili ujilikane unabidi kuwa na mchango chanya katika Jamii na Taifa kwa ujumla .
Unaweza kuwa wewe baba yako ni rais Ila kwakuwa hauna impact chanya katika Jamii Basi hakuna mtu utaendelea kukuzingatia.
Mtu Kama Joel Nanauka mnamuonaje je? Angekuwa ndo mtoto wa rais watu wasingemzingatia
Huna akili,kwan kifungu gani cha katiba kinazuia hayo!Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Mseven huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wananafasi gani hapo serikarini
Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri
Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais
Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu
Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!
Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?
Hii hapana
JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!