Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali

Mtoto kautaka!
 
ISRAEL ISRAEL😂😆😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💯💯🤣🤝🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏TUPO NA TAIFA TAKATIFU LA ISRAEL , TAIFA TUKUFU LA MUNGU
BARIKI ISRAEL NA WATU WAKE BARIKI WAZIRI MKUU MTUKUKA BENJAMINI NETANYAHU ,BARIKI JESHI SHUPAVU LA ISRAEL SOTE TUSEME AMMEEN
 
Bila shaka Ariel Sharon alokuwa zaidi, maana nakumbuka kipindi fulani akiwa waziri wa ulinzi aliwamwagia kokoto waandamaji wa kipalestina akitumia helkopta. Pia Israel ilovamiwa wakati wa sherehe kubwa ya Yom Kipur aliingia front peke yake kuwasimamisha wamisri huku General Zwinker akiwakabili Syria milima ya Golan.

Huyu Sharoni sera yake ilikuwa mipaka ya Biblia opatikane na Yerusalem moja hakuna mashariki na magharibi
 
Walikiwa kila mataifa yakipinduka na habari za mipaka na anawaambia mnapoongelea habari za mipaka hakikisheni ni ile iliyotajwa kwenye Biblia na si vinginevyo.
 
NAANGALIA AL JAZEERA KAZIZ TETE
KAZINKWAISRAELKUNAKAZI
HATAREE
 
Hii ni biashara hakuna cha kafiri wala nani, muhimu uwe na silaha za kudungua ndege
Wanaoielewa vita wanajua kwanini kuna umuhimu baadhi ya silaha ujue kutengeneza mwenyewe pesa tu bila maarifa vitani utafanyiwa umafia,,, ndo maana mrusi,marekani ,china , israel japo pesa wanayo ila hawabweteki kusema watanunua kwa mwingine kwa usalama wao wanajua lazima zana zao za kivita watengeneze wenyewe,,,,,,Iran angekua anatengeneza vitu vyake mapema rais wao asingepata ajali kwenye ajali ya helicopter bell inayotengenezwa na mmarekani..........mwarabu kabweteka halafu anaitaka vita anadhani pesa ya mafuta itampeleka mbali vitani,,,,silaha zote wananunua aidha kwa mmarekani ,china au mrusi siku hao jamaa wakiamua kumalizana dili zao juu kwa juu mwarabu kaumia maana hata hizo ndege zenyewe unaweza kuamka asubuhi hata haziwaki
 
Duh!
 
Wote wawili ikiwemo huyo aliyetangulia mbele ya haki, mikono yao imejaa damu za maelfu ya Waarabu/Wapalestina.
 
sasaivi hawatakiwi hata kupanda magari, manake myahudi akiamua analipua radio zao kwenye magari, analipua simu zao apendavyo. wanajificha kwenye mahandaki tu.
 
Iran bado wanatumia Helicopter? Israel wana uwezo wa ku jam avionics system ya ndege yoyote ile wakijua inaruka kwa kutumia Satellite system yaani wanaichoma kwa Satellite Laser Weapon, hapo unaungua na kufa hata kabla ya kufika ardhini..!! Wayahudi watu hatari sana
 
Unconfirmed reports that Mohammed Abdulsalam, the spokesperson of the Yemeni Houthi terror oganization, was killed in a helicopter accident en route from Yemen to Tehran.
 
Wahooo wahoooo walah jamaa atakua ashawatoa mabinti bikra kama saba mpka sa hiv.alaf wenye macho mithili ya vikombe,, ni raha Kwa kwenda mbele mida chakula anaenda kula meza moja na mtume SAW
 
Kinachofuata ni marufuku ya kutumia vyombo vya usafiri vya kisasa badala yake watatakiwa kutumia Punda au Farasi tu na baiskeli za miti.
Netanyahu atawalisha hao Punda mabomu baada ya kilometres kadhaa linalipukaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…