Kaa Utulie ww.Eti Maandiko.Eti Biblia.Unaifahamu Biblia wewe?Unayafahamu Maandiko Wewe?Unaifahamu Rozari wewe?Eti maandiko! Nitajie mahali kwenye Biblia ilipoandikwa "rozari" na " kumuomba Bikira Maria"
WeWE umeona viatu tuu? Mpaka boksa wanavaa sareUpadrisho ndo nini? Mbona viatu sare?
Kuna wakristo walisema yule sio padri ni mchizi wake padri ila laini alisajili kwa jina la padri, leo mchizi wa padri kasimamishwa na kanisa kutoa hudumaIs not guilty until court prove he is guilty.
Kanisa limemsimamisha kutowa huduma za kichungaji wameacha mahakama ifanye kazi yake.
Hakuna aliyemtetea, na ndiyo maana kasimamishwa kufanya shughuri za kipadre ili kuvipisha vyombo vya kisheria kufanye kazi yake..!!! Kosa ni kosa tu hata lifanywe na padre.Ila yule padri wenu mliyejitahidi kumtetea kazingua sana, atauaje albino.
Mkuu huyo Morning_star ni wa kumpuuza au tumfungia novena ya mama bikira Maria ili apate wongofu.Kaa Utulie ww.Eti Maandiko.Eti Biblia.Unaifahamu Biblia wewe?Unayafahamu Maandiko Wewe?Unaifahamu Rozari wewe?
Hivi mnajua maana ya kuwekana wakfu kweli??Prostration is mentioned numerous times throughout the Bible, often as an act of humility during significant moments. In Genesis 17:2-3, for example, Abram falls face down upon being told by God that he will establish a covenant between them. In Matthew 17:6, the disciples fall prostrate in terror upon hearing God’s voice during Jesus’ transfiguration. And in Matthew 26:39, Jesus himself “advanced a little and fell prostrate in prayer” during his agony in the garden.
Edit sehemu, kwa ulivyoandika hapa hujasema sinagogi ni nini, kuna mtu aliniingiza chaka eti biblia imeandika sinagogi ni msikitiSinagogi na mahekalu ya Wayahudi.
Jamaa wakishashindwa kushindana na jabali ndiyo huanzisha chokochoko kama huto tuswali.Anaweza kutoka na mstari mmoja wa biblia na kuanzishia dhehebu kabisa.WeWE umeona viatu tuu? Mpaka boksa wanavaa sare
Psalms 99:9 “Exalt Jehovah, our God, and prostrate yourselves to his holy hill, because holy is Jehovah, our God. Isaiah 27:13 “prostrate themselves to Jehovah in the holy mount at Jerusalem. ' Isaiah 66:23 “all flesh shall come to prostrate themselves before my face, says Jehovah.Hivi mnajua maana ya kuwekana wakfu kweli??
Tatizo lenu wakatoliki mnakalilishwa vifungu bila kuvisoma na kuvielewa
Mi sijaona mahusiano yoyote ya ayo maandiko na kuwekwa wakfu
Aphocrypha books hazikuingizwa kwenye Biblia kwa sababu zao church fathers.Kwahiyo ni kama waislam walivyo na hadithi?
Hebu tueleze wote tunaosoma uzi huu tuelewe;Kuwekwa wakfu maana yake ni nini?Hivi mnajua maana ya kuwekana wakfu kweli??
Tatizo lenu wakatoliki mnakalilishwa vifungu bila kuvisoma na kuvielewa
Mi sijaona mahusiano yoyote ya ayo maandiko na kuwekwa wakfu
Unafika mbali sasa, ukiulizwa boksa umeionaje utajibu nini?WeWE umeona viatu tuu? Mpaka boksa wanavaa sare
Tumalize hili la kulala kwanza, then hilo lako tutalifungulia uzi
Kwa sababu nimewahi kushiriki kwenye kuwaandaa mashemasi kuwekwa wakfu. Unasemaje?Unafika mbali sasa, ukiulizwa boksa umeionaje utajibu nini?
Kuna majibu huwa yanafaa sana kwa maswali fulanifulani.Unamtangulia mbele ili asisumbue.Unafika mbali sasa, ukiulizwa boksa umeionaje utajibu nini?
Umeamua kutoona, lakini unafahamu maana ya "kuanguka kifudifudi?" Ni mara yako ya kwanza kulisikia?Umemezeshwa sumu vibaya na pasta wa kijita.Hivi mnajua maana ya kuwekana wakfu kweli??
Tatizo lenu wakatoliki mnakalilishwa vifungu bila kuvisoma na kuvielewa
Mi sijaona mahusiano yoyote ya ayo maandiko na kuwekwa wakfu
Abrahamu alimuangukia nani ?Ishara kubwa ya kujitoa rasmi kumtumikia Mungu mazima,Kuna jambo kubwa Sana linaendelea apo
Kwa mfano, katika kitabu cha Mwanzo 17:2-3, Abramu anaanguka kifudifudi baada ya kuambiwa na Mungu kwamba ataweka agano kati yake na Mungu.
Hakuna dhehebu la Kikristo kuanzia Orthodox, Lutheran, Anglican, SDA na hawa ma Pentecostal churches ambao historia yao haina Roman Catholic Church. Unabisha kwa vile huelewi na hutaki kuelewa.Roma Catholic hawajawahi kuwa wa Kristo na hawatakuja kuwa wa Kristo na wala hawakuanzisha Ukristo
Ukristo haujawahi kugawanyika hata siku moja;
Ukristo ni lifestyle sio dini wala kanisa; utaitwa Mkristo ikiwa utaishi sawa sawa na mafundisho ya Yesu Kristo