Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Kumbe mnazungumzia Zanzibar? Endeleeni
Ya kuna Mwamba fulan hapo juu alisema kwamba raisi Samia miradi yote kaihamishia Zanzibar kana kwamba Zanzibar haina raisi.

So ndo nilitaka anioneshe prove ya kile alichosema au alichoandika.
 
Hatii saini yoyote anafanyia gizani tu maana anayafanya kihalifu
Toka Lowasa alivyochafuliwa mwaka 2008 na kusafishwa mwaka 2015, sina tena muda wa kuamini maneno ya vijiweni kama haya bila kuoneshwa fact.
 
Umelewa ugoro wewe sio bure bralifakeni[emoji846]
 
Ya kuna Mwamba fulan hapo juu alisema kwamba raisi Samia miradi yote kaihamishia Zanzibar kana kwamba Zanzibar haina raisi.

So ndo nilitaka anioneshe prove ya kile alichosema au alichoandika.
Huyo ni mnafiki mwenye chuki na wazanzibar na waislamu mkuu achana naye.
Juhudi kubwa ya mama ipo katika mkoa iliyosahauliwa kwa maksudi na MARAIS waliopita kama vile Kigoma na mkoa ya kusini. Mama anaupiga mwingi hao wachumia tumbo achana nao.
 
Toka Lowasa alivyochafuliwa mwaka 2008 na kusafishwa mwaka 2015, sina tena muda wa kuamini maneno ya vijiweni kama haya bila kuoneshwa fact.
Fact moja inatosha tu kataba la kitapeli la bandari,nikiongezea na uuzwaji wa Ngorongoro kwa waarabu kwa kutaja machache tu
 
Huyo ni mnafiki mwenye chuki na wazanzibar na waislamu mkuu achana naye.
Juhudi kubwa ya mama ipo katika mkoa iliyosahauliwa kwa maksudi na MARAIS waliopita kama vile Kigoma na mkoa ya kusini. Mama anaupiga mwingi hao wachumia tumbo achana nao.
Basi nampa pole sana, sababu chuki yake haitamsaidia kitu. Apendapo Mungu Mama yupo ikulu hadi 2030.
 
Fact moja inatosha tu kataba la kitapeli la bandari,nikiongezea na uuzwaji wa Ngorongoro kwa waarabu kwa kutaja machache tu
Ukiona unaandika kitu bila support ya chawa, juwa unachoandika hakina maana.

Mimi nakuuliza fact wewe unaleta mipasho ya kwenye kanga. Mimi sio miongoni mwa watu wanaoshikiwa akili na wanasiasa uchwara.

Ukiniambia sijui bandari au ngorongoro imeuzwa bila kuweka ushahidi wa mauziano kupitia maandishi, au saini nakuona wewe ni hadija kopa unaetumia ID fake ili usijulikane kama wewe ni muimba mipasho.
 
Huna akili wewe,rukwa ipi??mbeya ipi??wekeni tume huru kote huko muone ujinga wenu ulivyo
 
Bora nguvu kazi aelekezee Jiji la Mwanza, jiji pendwa, jiji la biashara na kuishi pia,, pamoja na Dom, Dar na Zanzibar nchi. Huko Kilimanjaro na arusha wasubiri kwanza.
Nimeshashuhudia chuki ya wazi ya watu wa kanda ya ziwa kwa watu wa kilimanjaro na arusha mnatamani hata tungepoteaga tusingekuwepo🤣🤣
 
Nimeshashuhudia chuki ya wazi ya watu wa kanda ya ziwa kwa watu wa kilimanjaro na arusha mnatamani hata tungepoteaga tusingekuwepo🤣🤣
Hapana mkuu, sina chuki hata kidogo, ila baadhi ya watu wa kaskazini hawana ustaarabu, wana wivu sana na ukatili juu.
 
Mkoa wa Mwanza maendeleo gani aliyofanya mama Samia? Mfano miundombinu ya barabara ni mibovu kupindukia hasa ndani ya Wilaya ya Nyamagana
 
Tatizo hela zinatoka Tanganyika kuendeleza nchi jirani ya Zanzibar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…