Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Miradi ya maendeleo katika hiyo mikoa siyo zawadi, wala hisani, ni pesa zetu zinazotokana na kodi, na mikopo ambayo inalipiwa na Kodi zetu.

Kwahiyo wanainchi wataunga mkono chama kutokana na sera.
Kila chama cha siasa duniani kina sera nzuri. Tatizo linakuja katika utekelezaji wa sera zenyewe. Wakenya waliompigia kura Ruto kwa sera zake nzuri ndio hao hao walioandamana na kumtaka atoke kabla hata ya miaka miwili baada ya kugundua kuwa hatekelezi kile alichoahidi kwenye sera.

Hivyo kuona serikali inaendeleza sera ya miradi ya maendeleo katika mikoa mbali mbali ni jambo la kushukuru na kuiunga mkono. Maana kuna vyama vingine unaweza kuvichagua vikatafuna kodi yako na hiyo miradi ya maendeleo ukaisikia kwenye makaratasi tu. Kama mtu ameweza kubadilisha katiba ya chama chake kihuni ili atawale milele sasa hata akiingia madarakani akatafuna kodi yako yeye na genge lake utamfanya nini?
 
Nyinyi BAWACHA kongamano la mwisho ambalo mama kizimkazi alikuwepo lilifanyika wapi kweli? Dada
 
Ungetaja hayo maendeleo au miradi aliyopeleka kwenye mikoa hiyo ni yapi/ipi?
 
Ficha upumbavu wako,mbeya Sio Wabishi ila Wana akili.wasomi ni wengi usitake kulinganisha na takataka za kigoma, Rukwa,singida,songwe nk nk nk nk
 
Ni lini Mbowe ata andaa maandamano Moshi? Au anahofia hayatopata watu? Maana hakuna mtu wa Moshi atakaekuwa tayari kufunga duka lake eti akaandamanishwe na Mbowe ambae walimpa ubunge miaka 15, akawa anaishi zake Dar bila kuwasaidia chochote.
Sijui mumeo ni wa sehemu gani Moshi? tuonyeshe pale Hai kwenye shida ya maji? kama Mbowe alikuwa Dar muda wote kwanini mlifyeka green house yake au nayo alikuwa nayo Dar? dada jitafakari
 
Sijui mumeo ni wa sehemu gani Moshi? tuonyeshe pale Hai kwenye shida ya maji? kama Mbowe alikuwa Dar muda wote kwanini mlifyeka green house yake au nayo alikuwa nayo Dar? dada jitafakari
Hili ndo tatizo lenu kina mama. Yani comment zenu huwa hazijifichi. Pengine ni kwa sababu ya kuzoea kusikiliza taarab.
 
Ficha upumbavu wako,mbeya Sio Wabishi ila Wana akili.wasomi ni wengi usitake kulinganisha na takataka za kigoma, Rukwa,singida,songwe nk nk nk nk
Wangekuwa na akili wasingetumiwa kirahisi na wajanja wachache kutoka Moshi.

Nafasi kubwa kubwa za chama wanapeana watu wa Moshi na maeneo mengine ya Kaskazini. Halafu maandamano, fujo na unaharakati uchwara ndo vipangwe kufanyikia Mbeya.. Hiyo akili au matope? Kama Mbeya ni muhimu kwao kwanini hawajaipa hata Katibu mkuu wa chama? Au umuhimu wa Mbeya ni kuandamana na kupambana na serikali kwa faida ya wakuu wa chama ambao ni wa kaskazini?
 
Hii mada ya ajabu. Rais anaamua wapi apeleke maendeleo? Hakuna mipango ya taifa?

Serikali haiwi na sera! Vyama vya siasa ndivyo huwa na sera “wanazouza” kwa wananchi ili kupewa ridhaa ya kuongoza. Sera sio miradi. Ni miongozo kuhusu mikakati ya maendeleo, matumizi ya rasilimali na ustawi wa jamii.

Chama hakitekelezi sera zake. Serikali ya chama kilicho madarakani huandaa mipango na miradi kulingana na sera za chama hicho na kuipeleka bungeni. Bunge (la vyama vyote) hujadili na kupitisha, kukataa hata kubadili baadhi ya mapendekezo ya serikali. Bunge hutoa maamuzi yake kuhusu mapendekezo ya mipango na miradi ya maendeleo iliyowasilishwa na serikali.

Serikali inatekeleza maamuzi ya Bunge kwa kuzingatia katiba na sheria za nchi. (Maamuzi ya Bunge si sawa na sera za chama tawala. Kuna input ya vyama vingine pia). Huko Marekani jinsi serikali inavyofanikiwa kupitisha mapendekezo yake bungeni (legislative mandate) ni kigezo kikubwa na muhimu sana cha utendaji wa Rais. Ni mtihani kweli kweli.

HIYO ni kwa nchi MAKINI yenye utawala bora unaozingatia katiba, sheria na kanuni za demokrasia ya vyama vingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…