Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Hivi ukipewa pesa ya ada ya shule na mzazi wako, alaf wewe ukaenda kumuhongwa mwanamke pesa yote, siku ukifukuzwa shule nani atakuwa na kosa kati ya mzazi na wewe?

Pesa za miradi zimetolewa, baadhi ya viongozi wenye tamaa mkoani hapo wamezikwepesha na kusababisha ucheleweshaji wa ukamilifu wa miradi, hadi waziri mkuu juzi alikuja Kigoma kawasimamisha viongozi waliokwepesha mamilioni ya miradi na kuagiza viongozi hao wachunguzwe na takukuru ili kubaini unadhirifu huo wa pesa, alaf wewe bado unamlaumu raisi!!
Umesoma vizuri nilichokiandika kama umeelewa wapi nimemlaumu rais wasasa. Nilichojibu nikukuonyesha kigoma hatusjikiwi akili ilonimepinga alafu swala watendaji kuharibu sio swala lawanakigoma niswala lamamlaka sisi wanakigoma tunataka huduma pia siasa nihatari MTU mwenye akili timamu unaweza jiuliza mkuu wamkoa na wilaya wanamuakilisha nani?nawanawakilisha nini?

Ikiwa pesa hizo zinachezewa wao wapowapi? Bilakutoa taarifa mapema kwenye mamlaka ya uteuzi? Hapa inawezekana tunachezewa .hebu tusubiri kitakacho jiri lakini mpaka sasa hatujajua pesa iliyokwama au kuchezewa ni yamradi gani hajaambiwa. Je wewe unaweza kutueleza nizamradi gani? Hatupingi walasilaumu nahitaji kujuwa
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Wakuu.... wengi wetu hapa JF na nchini kwa ujumla, tunajua kwamba raisi wa JMT mh Samia S. Hassan anapambana usiku na mchana, ili kuhakikisha serikali yake inaleta maendeleo katika wilaya, mikoa na nchi yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Karibuni.
Inadhiilisha kwamba wakubwa wakaapo mezani uulizana je mkoani kwako unataka serikali ikuletee nini, Dr Mpango akajibu nataka 1,2,3, Mh. Spika je,? Nataka 1,2,3 na we mh. Waziri mkuu nataka 1,2,3 basi nitamuhimiza waziri wa fedha aanze mchakato , kwahiyo kama mkoa wako hauna mtu wa kuonana na Rais ana kwa ana miradi mikubwa utaisikia kwenye bomba.
 
Vitu hiv wapinzani hawavioni hata kidogo mbaya zaid wamewapa wananchi sumu nao wanajifanya hawaoni
Rais huyu tukimpa support nchi hii itabdlika chap
Alikuwa kusini ni mradi gani mpya alizindua au uliokamilika? Naomba jibu tafadhari.
 
Toa ujinga wako hapa,bei za magari za ku google ndio Huwa zinakufanya uwe barabarani?

Kama bei ni chee Kwa nini awamu zingine zilishindwa?
Kwahiyo hutaki kuwa ni bei ndogo wala haitaji kusifiwa au? Kuna vituo vya afya ukienda hata dawa ndogo zinazopatikana maduka binafsi nazo hawana kwahiyo zikiletwa tumsifie kuwa kafanya jambo la ajabu, Punguza ujinga, JITAMBUE
 
Ebu tupe maelezo ya kilichofanyika huku kwetu. Usituuzie mbuzi kwenye gunia hapa
Wewe uko kijijini nanjilinji huko, kamwe hauwezi kujua yanayofanyika mjini na hata ukiambiwa hautaelewa.

Subiri 2025 jamaa yenu aliekusanya michango yenu na kukimbilia Ulaya kula na familia yake ataporudi kuja kuomba michango mingine na kura za uraisi.
 
Inadhiilisha kwamba wakubwa wakaapo mezani uulizana je mkoani kwako unataka serikali ikuletee nini, Dr Mpango akajibu nataka 1,2,3, Mh. Spika je,? Nataka 1,2,3 na we mh. Waziri mkuu nataka 1,2,3 basi nitamuhimiza waziri wa fedha aanze mchakato , kwahiyo kama mkoa wako hauna mtu wa kuonana na Rais ana kwa ana miradi mikubwa utaisikia kwenye bomba.
Hata kwa wapinzani vyeo vya juu kuanzia mwenyekiti hadi katibu mkuu ni vya watu wa kaskazini tu.

Nyinyi wengine wa Mbeya, Kigoma, Songea nk mnaachwa ili mtumiwe katika maandamano na matusi ya kupinga maendeleo yanayoletwa na serikali katika mikoa yenu.
 
Alikuwa kusini ni mradi gani mpya alizindua au uliokamilika? Naomba jibu tafadhari.
Basi msubirini yule jamaa enu aliekimbilia Ulaya kula bata na kuwalipia watoto wake ada kupitia michango yenu, aje tena kuchangisha na kuomba kura zenu.
 
Mbeya hawapendeki hao na ninwajuaji sio sehemu sahihi kimkakati sana sana anamsaidia Spika Tulia tuu maana bila huyo huo Mkoa wangeshautelekeza una watu jeuri wajuaji na wabishi wanaotaka Ligi mda wote ndio maana ujenzi wao ni hovyo hovyo Bora liende.

Kuna Mikoa ni ya CCM hakuna Cha Upinzani kama Ruvuma,Manyara,Tabora,Katavi,Rukwa,Njombe,Iringa, Morogoro,Pwani,Tanga ,Lake zone yote kasoro Mara.

Kiufupi Tanzania hakuna upinzani labda ccm wakosee kuchaguana
Najua kisa suala la bandari ndo maana unaropoka,vyovyote iwavyo mbeya itabakia kuwa na watu wenye msimamo kwenye haki bila kujali adhabu itakayo wapata dhidi ya huo msimamo.Binadamu anatakiwa awe hivyo na si uchawa ambao unakudhalilisha kisa tu kuna gain fulani utapata,dunia ya wanaojitambua uchawa hauna nafasi.
 
Najua kisa suala la bandari ndo maana unaropoka,vyovyote iwavyo mbeya itabakia kuwa na watu wenye msimamo kwenye haki bila kujali adhabu itakayo wapata dhidi ya huo msimamo.Binadamu anatakiwa awe hivyo na si uchawa ambao unakudhalilisha kisa tu kuna gain fulani utapata,dunia ya wanaojitambua uchawa hauna nafasi.
Acha uongo wewee!!

Hauwezi kuwa na msimamo huku akili yako umemkabidhi mwanasiasa fulani atembee nayo, na hicho ndio kinawaponza vijana wengi wa Mbeya.

Akili zao zinashikiliwa na wanasiasa fulani uchwara wa upinzani ambao wanazi control akili hizo watakavyo, mfano leo mwanasiasa huyo akiamua kuzi control akili hizo zipinge maendeleo zitapinga, akiamua kuzi control ziunge mkono zitaunga.

Tumeona jinsi washika akili hao walivyofanikiwa kuzi control akili za vijana hao wa Mbeya ili kumpiga vita Lowasa kwa ufisadi, lkn baadae waka zi control again ili zimpigie Lowasa deki barabarani na kumpigia kampeni ya uraisi na wakafanya hivyo.

So huo sio msimamo bali kuna wajanja fulani kutoka nje ya mkoa huo ndio wamekuwa wakiendesha harakati za vijana hao kupitia akili zao wenyewe. Kinachofanyika ni kuhakikisha vijana hao wanapinga kila zuri ili uchaguzi utapofika wale wasiofahamu waendelee kukichagua chama chao kinachoongozwa na viongozi wanaotokea nje ya mkoa huo.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Wakuu.... wengi wetu hapa JF na nchini kwa ujumla, tunajua kwamba raisi wa JMT mh Samia S. Hassan anapambana usiku na mchana, ili kuhakikisha serikali yake inaleta maendeleo katika wilaya, mikoa na nchi yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini kama ilivyo desturi ya sisi binadamu unapokuwa na mambo, vitu au watu zaidi ya watatu ubavuni kwako, ni wazi kuwa hautoweza kubalance upendo wako kwao yani iwe mia kwa mia kwa kila mtu au kitu. Ni lazima mtu au kitu kimoja utakipenda zaidi ya kiingine.

Hili hutokea hata kwa mzazi mwenye watoto mfano wa5 hujikuta anampenda mtoto mmoja au wawili zaidi ya awapendavyo waliobaki, japo kama mzazi huwa haoneshi moja kwa moja upendeleo wake huo kutokana na kutaka wale wengine wasijisikie kubaguliwa nk.

Hivyo basi hata raisi wetu, ni raisi wa nchi nzima, lkn ukweli ni kwamba kuna baadhi ya mikoa ambayo amekuwa akionesha kuipenda na kuijali zaidi ya mikoa mingine, na hili limekuwa likionekana kupitia miradi mbali mbali kabambe aliyoielekeza katika mikoa hiyo hata kama anajaribu kutokuonesha kuwa ana baze zaidi huko, lkn wafuatiliaji tunaona wenyewe kwa macho yetu na kusikia pia kwa masikio yetu.

Mikoa hiyo ambayo inabahati mno na serikali hii ni [emoji116]

1. Dodoma.
Mkoa huu pamoja na kwamba raisi aliekuwepo madarakani hayati John P. Magufuli aliupenda na kuelekeza zaidi macho yake huko, pia umeendelea kuneemeka na uongozi huu wa awamu ya 6 chini ya raisi Samia na kupelekea miradi mingi ya maendeleo kupelekwa huko.

Nafikiri haya yamesababishwa na hadhi yake kama mji wa serikali na makao makuu ya nchi.

2. Kigoma.
Mkoa wa Kigoma pia unazali na uongozi huu wa raisi Samia. Japo mkoa huu una kiongozi mmoja mkubwa wa chama cha upinzani, na historia yake ya baadhi ya vijana kushikiwa akili na kupenda kuunga mkono wapinzani mbali mbali, lkn raisi Samia hakujali hayo.

Ameelekeza nguvu na miradi katika mkoa huo kuliko kiongozi mungine yoyote aliewahi kutawala kabla yake. I hope hiyo miradi ikikamilika basi Kigoma itakuwa Small "Chicago", achilia mbali zile stori za mh Kikwete kwamba angeigeuza Kigoma kuwa Dubai kwa maneno tu matupu bila vitendo wala kutoa hela za miradi husika.

3. Mbeya.
Huu mkoa nao ni miongoni mwa mikoa inayofaidika kwa kasi kupitia uongozi huu wa awamu ya tano. Kabla ya hapo mkoa huo ni kama vile ulikuwa umesahaulika kimtindo, maana hata miundo mbinu ya mkoa huo kwa upande wa barabara, shule, hospital nk vilikuwa hovyo, ila toka raisi Samia aingie amekuwa akionesha kushirikiana na mbunge Mbeya mjini ambae pia ni spika wa bunge kuleta maendeleo ya kweli katika mkoa huo.

Kwa kuonesha kuwa anaupenda mkoa huo kwa vitendo, serikali ya raisi Samia tayari imeshatoa mamilioni ya miradi kwa ajili ya shule, barabara nk. Japo kuna baadhi ya watumishi wa serikali kutoka mkoa huo wanaonekana kutohitaji maendeleo katika mkoa huo kwa kutafuna mamilioni ya baadhi ya miradi kama alivyosema raisi Samia alipokuwa ziarani mkoani huko, lkn ni kama vile bado hajachoka kuendeleza miradi katika mkoa huo, bila kujali baadhi ya wapinzani ambao wao wanachotaka ni kuingia bungeni tu bila kujali maendeleo anayowaletea raisi Samia katika mkoa wao.

Baadhi ya wanasiasa wenye familia zao Ulaya na Marekani ambao kiasili hawatoki katika mkoa huo, wamekuwa wakiwahadaa vijana ambao wengi wao walikimbia shule mkoani hapo, wapinge miradi hiyo ya maendeleo ili uchaguzi mkuu utapofika wachaguliwe wao tu na vyama vyao.



4. Mwanza.
Mkoa wa Mwanza pia ni kama Dodoma. Ulikuwa na zali chini ya serikali ya awamu ya 5 ya hayati Magufuli, na bado umeendelea kuwa na bahati pia chini ya serikali hii ya awamu ya 6 ya raisi Samia.

5. Mtwara....

6. Lindi....

Kama kuna mikoa mingine ambayo imeneemeka na uongozi wa raisi Samia alaf sikuiandika basi ndugu msomaji unaweza kuiandika hapo chini....

Karibuni.
Kwa Mimi ninaomba kawekeza kote .
 
Huku rukwa kama kawaida yetu tulishazoea kutengwa na viongozi wa kitaifa.

Kufungua tu njia ya Namanyere-kirando kisha mizigo ivuke maji kwenda congo hawataki wanaishia kujenga bandari sehemu ambazo hazina uchangamfu walianza kipili pakafeli, saizi wako kabwe nayo itafeli.

Poor government support
Mnataka nini kifanyike?
 
Basi msubirini yule jamaa enu aliekimbilia Ulaya kula bata na kuwalipia watoto wake ada kupitia michango yenu, aje tena kuchangisha na kuomba kura zenu.
Kwani mishahara ya Samia na maposho yote si Michango yetu na wewe ukiwemo.
 
Back
Top Bottom