Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
[emoji23] Ebu shangaa dear na uvumilivu wote tulionao eti hatumo"waja leo, waondoka pesa zikiisha"
[emoji23]
Mm in amke toka NJOMBE Nampa maua yakeMama yangu wa iringa,mtoa mada kunywa pepsi
Huko ndiko kuna single maza kama wote.Bila kuweka mkoa wa Kilimanjaro list hii Ni BATILI😁😅🤪
1 ndimgalya sida 5 awe wa kibondo 10 asipige ugimbiWakuu, za siku nyingi?
Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania
yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.
1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Ila asiwe mnywajiShinyanga na Mwanza no 1 kwa kweli.
Asiwe amejaziaunawajua wagogo kweli au umemaanisha mkoa siyo kabila
Asiwe machameMnatusahauje sie wa Kilimanjaro? List ni batili
Toa mwanza maana wanawake kibao wa mwaza wapo Dar wamewakimbia wanaume zao na watotoWakuu, za siku nyingi?
Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania
yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.
1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma
Inaitwa kula mjebeleWanavumilia nini! Maana wanaweza wakawa wanavumilia shida ila kuchapiwa kuko palepale
Siri ya ndaniSisi hatuhitaji wanawake wavumilivu halafu tunachapiwa
Baba yako hakika yupo anaishi nusu ya peponi. Pata Pepsi baridi kamandaMama yangu wa iringa,mtoa mada kunywa pepsi
Hivi utapataje tabi za watu Kwa mipaka ya Kisiasa na kiutawala! Kuna Mikoa Ina mchanganyiko wa watu,kidini ,kikabila,utamaduni,kiuchumi nk!Wakuu, za siku nyingi?
Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania
yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu.
1. Iringa
2. Mara
3. Shinyqnga
4. Mwanza
5. Kigoma
6. Simiyu
7. Geita.
8. Mbeya
9. Ruvuma
10. Njombe
11. Tabora
12. Dodoma