Kiufupi hizo ndio zile wanaita bullet trains , na no nchi chache wamefanikiwa kuwa nazo , Germany napo hii project ilikuwa kwa majaribio ,sijajua wamefikia wapi sasa hivi , Japan , Southern Korea na huyu China Kwa sasaBalaa tupu πππ
Ila naamini lazima ndani kitakuwa na Cabin Pressurization System kama kwenye ndege ili kupunguza madhila ya nje. Hapo sasa itakuwa hakuna kifungua vioo mpaka safari iishe.
Hawajui tofauti ya maglev na Electrical motors driven trains kama hizi za TRC.Wakuu mnajiaibisha!
maglev hazigusi reli,kwanini mchangia kitu msichokielewa?
Kiufupi hizo ndio zile wanaita bullet trains , na no nchi chache wamefanikiwa kuwa nazo , Germany napo hii project ilikuwa kwa majaribio ,sijajua wamefikia wapi sasa hivi , Japan , Southern Korea na huyu China Kwa sasa
Hapa wapi mkuuKweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!
Yeah ,! Pioneers WA hii technology ni wajerumani hasa makampuni kama Siemens nk , wamefanya sana hizi research and development kuhusu maglev na hata China huko hata hiyo project ya Shanghai ile project imekuwa designed na kampuni za kijerumani na hata equipments na machineries za huo mradi ni za mjerumani kwa kiasi kikubwa , wao wachina makampuni yao wameshiriki kwenye implementations .Na hiyo tech muasisi na German
Kwani miaka 150 ni mingi jaman tutafika tuDah! Tanzania kufika huko sijui inahitaji miongo mingapi?
Hongera kwao, hawa sasa ndio wameupiga mwingi.!!
Hivi miundo mbinu ya treni hiyo si itakuwa ghali sana?China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
View attachment 3064287
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana kaskazini mwa China.
Hili lilikuwa jaribio la kwanza na kubwa lililokamilika kwa mfumo wa usafirishaji kwa kutumia umeme wa bomba pana lililo wazi (utupu) UHS.
Mojawapo ya mafanikio makubwa yaliyopatikana wakati wa jaribio hilo ni kwamba ilithibitisha kuwa mazingira ya uwazi uliopo kwenye bomba hilo kwa umbali mrefu yanaweza kufanya spidi kuwa kubwa zaidi na kudumisha kwa kiwango kikubwa.
China ilianza kujenga mfumo wa usafiri wa UHS maglev katika Kaunti ya Yanggao mwaka wa 2022, mfumo huo unalenga kuunganisha teknolojia ya anga na mfumo wa usafiri wa reli kwa lengo la kuendesha treni kwa kasi ya maili 621 kwa saa.
Marekani ile nchi deep state Ndio wanaiharibu , wanaotafuna pesa za federal government kwenye mambo ya kipuuzi kama vita , racket za kusomba pesa za umma na kunufaisha wazalishaji wa silaha .So China has simply won the so called Metro Race. Wakati Ulaya na Marekani wanawekeza kwenye vita na lgbtq, macho madogo wanawekeza kwenye tafiti za kisayansi, elimu na miundombinu.
Marekani angekuwa anajiheshimu angekuwa nazo hizi across the entire Western Hemisphere, ila ndiyo hivyo tena, kipaumbele chake ni vita na wanaume kwa wanaume kuoana.
DaslamHapa wapi mkuu
unafikiri wao hawaendi choo nduguSisi bado tunahangaika na matundu ya choo.
Tutafikia huko siku tukianza kujenga utamaduni wa kuwa serious na mambo na kuuchukia upumbavu .sijui itatuchukua watanzania miaka mingapi ili kufikia hatua hii?
No ,hii ni super expensive .Magnetic Levitation. Bonge la technology na nadhani ni cost efficient kuliko ya mataruma na SGR
Kumbe ndio maana sielewiπ€Wakuu mnajiaibisha!
maglev hazigusi reli,kwanini mchangia kitu msichokielewa?
USicream bossy maisha utahuzunikaDah! Nanenane kwa upande wangu nimeisherehekea shamba! Nikivuna nitakuja mjini kutumia na watoto wqzuri kama wewe. Ila tu wakati huo huo ephen_ asijue!! Maana hachelewi kunisemelea kwa bibi.
Yesu atakuwa hajarudi?Mtwara dar nusu saa duh aisee itachukua miaka 2000 kuwafikia china au 200 wakuu?
Amini kwamba π€£ makada ni full of shitNo ,hii ni super expensive .
Na uendeshaji let alone implementation ya mradi inahitaji watu walio serious na kazi na wenye maarifa ya hali ya juu na si ukanjanja huu wa kuteua Makada kuwa wakurugenzi wa mashirika , si vilaza hawa wa TRC ,
Tunahitaji overhaul na kutengeneza shirika upya na mifumo mipya kama tuna ndoto ya kuwa na hii kitu siku moja .
Kama upo Dom nitakuja mkuuNikualike basi tukapate msosi Dom urudi kwko?π€£
Vyuma havigusani, wanatumia levitation technology ( google hiyo technology uelewe zaidi)Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Mkuu mbona unatudanganya. Hili jaribio limefanyika lini aise?China imekamilisha jaribio la usafiri wa treni aina ya maglev yenye kasi ya juu (UHS), kuashiria hatua nyingine muhimu kwa aina hiyo ya usafiri inayoweza kusafiri kwa kasi ya hadi maili 621 kwa saa sawa na kilometer 1,000 kwa saa.
View attachment 3064287
Jaribio hilo lilifanyika katika mkoa wa Shanxi unaopatikana kaskazini mwa China.
Hili lilikuwa jaribio la kwanza na kubwa lililokamilika kwa mfumo wa usafirishaji kwa kutumia umeme wa bomba pana lililo wazi (utupu) UHS.
Mojawapo ya mafanikio makubwa yaliyopatikana wakati wa jaribio hilo ni kwamba ilithibitisha kuwa mazingira ya uwazi uliopo kwenye bomba hilo kwa umbali mrefu yanaweza kufanya spidi kuwa kubwa zaidi na kudumisha kwa kiwango kikubwa.
China ilianza kujenga mfumo wa usafiri wa UHS maglev katika Kaunti ya Yanggao mwaka wa 2022, mfumo huo unalenga kuunganisha teknolojia ya anga na mfumo wa usafiri wa reli kwa lengo la kuendesha treni kwa kasi ya maili 621 kwa saa.