Umejibu vizuri.Vyuma havisuguani mkuu,wanatumia tech ya MAGnetic LEVitation (MAGLEV) uliza zaidi kuhusu hiyo tech, ni ya ajabu kidogo
Hiyo upo sahihi na ndiyo maana alianza kukumbatia akina Rostam Azizi baada ya kuelewa ukweli kuwa mambo si rahisi kama alivyofikiria. Na hilo kosa lilicost maisha yake.JPM hakuwa na mipango endelevu, haswa kwenye econimic development, ingefika kipindi angekata pumzi tu. Mikopo aliyokuwa anakopa bila ya kuendeleza vyanzo vipya vya makusanyo, asingetoboa mbali kabisa.
zinaeleaKwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
ward41 nilikwambia kopi OG inapatikana uchina tu hapa duniani ukabishamchina nyoko, kashampita jpan maana ya jp inaenda 600km/hr
Hapa bongo tungepata hata ya uhakika ya km 350 kwa saa, alafu tupate reli za Dar-MWZ. Dar-MBY, na Tabora-Kigoma. Nchi ingefunguka balaa. Kwa siku tuwe na ruti tatu tu asubuhi mapema, mchana na jioni na ziwe za uhakika. Hiyo ya Km 1000 ni ndoto ya mchana, wala tusiifikirie leo wala keshoHata ndege za ATC nyingi haziendi kwa cruising speed ifikayo 1000kph!
Kwa treni hii saa moja na dakika chache uko Mwanza!
Naunga mkono hojaSisi bado tunahangaika na matundu ya choo.
Maglev haigus chuma, kunakitu kinaitwa magnetic levetationsKwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Japan, India, South Korea nk. hawatumii kiingereza na wako mbali tu.Sayansi China inafundishwa kwa mandarin.
Kuhusu lugha ya kiswahili hakuna tatizo lolote.
Inategemea ni chuma cha aina gani kinachotumika pale chini.Kwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Wakati huo Wachina wao watakua wamefika wapi mkuu?Hopefully wale watakaojaaliwa kufika Mwaka 2100 huenda wakaanza kupanda hizo Treni zenye hiyo spidi ya 1,000km/h kutoka Tanzania 💪
Raisi wao aliwahi kusema biashara pekee tunayoiweza waafrika ni kujenga makanisa ya mabilioni na kuwa very superstitious. ila tumeitelekeza sayansi na teknolojia, anatushangaa sana.Wachina hawaamjni Mungu, Yesu wala shetani . Hivyo wanatumia akili zao mda wote
Waafrica tumeachwa nyuma takribani miaka 100.Kweli wenzetu wameadvance, 1000kph sio mchezo hata kidogo. Hapa na Moro ni 0.2hrs yaani 12mins..duh!
Hii itakuwa inatumia Magnetism na SIo normal Friction forceKwa kasi hiyo, hivyo vyuma si vitawaka moto. Msuguano utakaokuwapo hapo si wa kitoto.
Good analysis that's written by the GT of JF.Sisi pia tumepiga hatua kiasi chake pamoja na changamoto zetu za ufisadi na Umasikini tulionao
Miaka ya 1961 wengi wa Watanzania ilikuwa tunatembea Kwa miguu
Baadaye 1975 ndiyo baadhi wakaanza kuendesha Baiskeli Tena Kwa uchache mno
Miaka ya 1985 wachache wakaanza kuendesha pikipiki hasa wafanyakazi
Miaka ya 1995 wenye uwezo wakaanza kununua na kuendesha magari binafsi
Mwaka 2024 Kwa mara ya kwanza tukaanza kupanda treni la Mwendokasi 🙌
Hopefully wale watakaojaaliwa kufika Mwaka 2100 huenda wakaanza kupanda hizo Treni zenye hiyo spidi ya 1,000km/h kutoka Tanzania 💪
miaka 200 uongo mkuu na tukifikia hizo level wao watakua washafikia uwezo kusafiri interstellar kiufupi tuko miaka 5009 behind china development halaf mbaya zaid sisi tuna evolve backwardMtwara dar nusu saa duh aisee itachukua miaka 2000 kuwafikia china au 200 wakuu?
Tuache ndugu, Jpili ifike haraka tukapate miujiza, tukanunue na maji ya upako, chumvi na mafuta.Raisi wao aliwahi kusema biashara pekee tunayoiweza waafrika ni kujenga makanisa ya mabilioni na kuwa very superstitious. ila tumeitelekeza sayansi na teknolojia, anatushangaa sana.