Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

WATANGAZAJI WA KISASA NI MBUMBUMBU.

Akina Adam mchomvu.
Zembwela, swebe, seki, JUMA lokole, Dida,

AMA KWELI KAMA NCHI TUNAZIDI KUPOTEA, TAIFA LINAELEKEA KIFO.
Tanzania kuna uhaba mkubwa wa waandishi wa habari na watangazaji wengi ni failure waliookotezwa hapa na pale. Na wachache wenye ufahamu tamaa imetangulia mbele
 
Huyu Mama angekuwa kwenye nchi ya watu wanaojielewa,angekuwa amerudi Zanzibar na Waziri wake.Serikali na Bunge wanadharau sana Wananchi!
kama hujielewi acha wanaolewa wakuletee maendeleao
 
Sijui ni nini kifanyike. Lakini Picha hii hapa. Hawa watu wameenda Dubai kula maisha na Wakarudi hapa kuja kupigia chapuo DP world. Hii ni hujuma zidi ya Watanzania.


View attachment 2666193
Kushabikia au kuunga mkono Mkataba wa DPW kama ulivyo hivi sasa bila ya kufanyia kwanza marekebisho muhimu yanayopendekezwa na watu wengi ni kufanya USALITI DHIDI YA WATANZANIA, hasa Watanganyika.
 
Hata mmi ishu yangu cyo ufanisi wa kazi yao hiyo sina shaka nao kabisa hofu yangu ni mikataba je? Hizo mikataba ni rafiki hata bungeni nlitamani wazungumzie ishu ya mkataba ngoja niseme ivi sisi tuna watu wanaojiita viongozi ma mbumbumbu cjapata kuona waganga njaa wa kiwango cha lami
 
Ndio kwani ni wakina nani huko daslam...🤔🤔
 
Eti huyu ndiye msemaji wa DP world
Yani huyu ndiye ameenda kuhojiwa na kujibu maswali ya watanzani!

Leo ndio nimeamini hawa watangazaji ni wapumbavu sana na ukitaka kujua ni wapumbavu kaangalie maswali wanayo muhoji sasa hahahH
 

Attachments

  • IMG_0718.jpeg
    53.3 KB · Views: 2
Sijui ni nini kifanyike. Lakini Picha hii hapa. Hawa watu wameenda Dubai kula maisha na Wakarudi hapa kuja kupigia chapuo DP world. Hii ni hujuma zidi ya Watanzania.


View attachment 2666193
This Scandal is like the STATE CAPTURE SCANDAL that happened in South Africa during the leadership of Jacob Zuma.
Sad enough, our State here in this country has been already Captured.
 
Sijui ni nini kifanyike. Lakini Picha hii hapa. Hawa watu wameenda Dubai kula maisha na Wakarudi hapa kuja kupigia chapuo DP world. Hii ni hujuma zidi ya Watanzania.

View attachment 2666193
Acheni akina kitenge wapige hela. Kitenge Mungu akutangulie. Msimsahau tu zembwela kwenye kundi lenu la ulaji.
 
Hizo ndio dadili nzuri za mkataba mbovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…