Huyo sidhani kama ameshamfuatilia Prof. Mruma alivyojiuma kwenye kesi za ICSID juu ya uvunjaji kiholela wa mikataba ya uwekezaji kwenye madini.
Rabbon
Huwa unafuatilia siasa kweli wewe? Umemsikiliza Lissu akiwa Chato na Geita? Kama hujafanya hivyo, endelea tu kusoma comments za watu usikomenti hivi vitu vya ajabu.Haji tena kutubu.
Wasiifatilia nchi yao waliingizwa chaka wengiMfuatilie vizuri utamuelewa tu. Inaonesha hujawa na imani naye. Propaganda nyingi zilifanywa na mwendazake na kundi lake kuwaaminisha watu wasiofuatilia mambo kwamba Lissu siyo mzalendo. Hizo zama zimeshapita, tufuatilie hoja zinazotolewa na tujaji wenyewe.
SahihiHuwa unafuatilia siasa kweli wewe? Umemsikiliza Lissu akiwa Chato na Geita? Kama hujafanya hivyo, endelea tu kusoma comments za watu usikomenti hivi vitu vya ajabu.
Sasa waliangukia pua. Wamuombe msamaha TL..kule ICSID Prof Mruma alikwenda kwa niaba ya Magufuli.
..ule ndio ulikuwa uwanja rasmi wa watu wa Magufuli kupambana na kuwashinda mabeberu.
Hukusikia hizi habari hapo nyuma?Tatizo ni pale anapoingiza mambo ambayo hayahusiani na wala hayana ushahidi. Kwa mfano kusema nyumbani kwa marehemu Magufuli kulikutwa mamilioni ya Dola. Kitu kama hiki kwa nini kijulikane sasa tu miaka yote hii baadaya kifo? Jee, anao ushahidi? Kauli hii inalenga nini? Kauli hizi zinampunguzia sapoti badala ya kumuinua.
Udini utakumaliza wewe. Ccm kila mkishindwa hoja mnaleta udini na haujawahi kuwasaidia tangu 2005Chadema mshapoteza wapiga kura kibao kwa kuutukana uisilamu ,waislamu watakaoiunga mkono chadema wanahesabika ni wanafiki hawana tofauti na murtadi.(Waliotoka Uislamu).
Kibao kimebadilika.Hiyo ndio kanda inaongoza kuipa kura CCM...
Bila Kumsifia Magufuli. Hupati kuraMazee hii sasa ishakuwa noma. Tulitegemea kanda ya ziwa watamsusia Tundu Lissu sasa hali imekuwa ya tofauti.
Sisi Chawa wa Mama saitakuwaje?
HeheheeeBila Kumsifia Magufuli. Hupati kura
Hatari snMazee hii sasa ishakuwa noma. Tulitegemea kanda ya ziwa watamsusia Tundu Lissu sasa hali imekuwa ya tofauti.
Sisi Chawa wa Mama saitakuwaje?
Hapa mwiba/mfupa wa samaki umewakwama kooni, kutema hawawezi kumeza hawawezi. Hii imewakalia vibaya sana.Labda muutengue mkataba wa DPW. Hivihivi hatuwaelewi, tuko na Lissu kwa sasa.
Ukikimbia nchale ukisimama nchaleHapa mwiba/mfupa wa samaki umewakwama kooni, kutema hawawezi kumeza hawawezi. Hii imewakalia vibaya sana.
Hata yeye anajuaKwani unadhani hatujui kuwa matokeo yanayotangazwa sio halisia?
Mkuu pole sana, kumbe bado huko na maombolezo, kubali tu kuwa mungu wako kafa, ila ni ushauri tu siyo lazima uupokeeNamsubiria huku kaburini aje kutubu bado hatujasahau atanikuta nimuhoji maswali yangu muhimu.
Hata hivyo nilijuwa siku itafika wanao mchafua jpm ndo watamsafisha wenyewe.
We jamaa umehama chama chako cha mbogamboga baada ya jiwe kufa?Nikwambie Kweli,
Vijana wakijitokeza wahuni huiba kura lakini wanashindwa,
Uchaguzi wa 2015 vijana wakijitokeza kuhakikisha Nchi inapata mabadiliko bila kujali ufisadi wa Lowwaaa bt mshindi akawaangusha wapiga kura Kwa kutotoka kudai HAKI ya ushindi,
Tulishuhudia wakichoma kadi za kura na kuapa kutoshiriki tena chaguzi,
So Lissu kama Makamo ajue kuwa vijana kura za Siri hawaziamini tena,
Mkutanoni watakuja, kuja kupiga kura hawaji!!!!
Hilo linahitaji Mbinu za haraka,
2024 Iko mlangoni!!!
Mwambie huyo luckyline..Na siku za karibuni waliokuwa wakimchafua Lissu watamsafisha wenyewe.
..wananchi wameshaanza kumsafisha Lissu, bado lile genge lililokuwa likilipwa kumchafua.
..Lissu amefika Chato na kuhutubia. Aliwapa wananchi nafasi ya kumzomea, lakini wao wakaamua kumpigia makofi.
Ni kwa sababu tu ya kwenda kuhiji kwenye kaburi la magufuli.Aiaee abarikiwe sana. Kumbe watu wa kanda ya Ziwa wanamjua tangu kitambo sana.
Huko vijiji vya mtakuja Geita wanamwelewa.