Huyo sidhani kama ameshamfuatilia Prof. Mruma alivyojiuma kwenye kesi za ICSID juu ya uvunjaji kiholela wa mikataba ya uwekezaji kwenye madini.
Rabbon
..kule ICSID Prof Mruma alikwenda kwa niaba ya Magufuli.
..ule ndio ulikuwa uwanja rasmi wa watu wa Magufuli kupambana na kuwashinda mabeberu.