Hii video ina-trend ya namna kijana Ali alivyonyanyaswa na kubaguliwa Zanzibar

Huku mkija mnatuletea ushoga tu mbwa nyinyi.
 
pwani ipi sasa, kwahiyo na mimi niliyezaliwa Dar es salaam na nina nyumba dsm, ni mzanzibari? mimi ni raia wa zanzibar? nije basi mnipe kitambulisho.
 
pwani ipi sasa, kwahiyo na mimi niliyezaliwa Dar es salaam na nina nyumba dsm, ni mzanzibari? mimi ni raia wa zanzibar? nije basi mnipe kitambulisho.
Hatutaki urafiki na nyie wajinga, shobo za nn wachafu?
 
Shangazi Fatuma ameiona hii?

Mfahamisheni aweze kutetea ili jambo
 
Mnapowaua albino na kuuza mifupa yao hamlioni?A pot calling a kettle black.
Bara mnawaweka walemavu darini nalo ni kosa la Muungano.Mpo kwenye nyumba ya vioo halafu mnarusha mawe.
 
Ivi kwann nyie dini ya kuruhusu ushoga mnapenda sana kulia lia
 
Unaongea nn? yaani zanzibar inakuhusu nn ? Acha unafiki nchii hapa watu wanauliwa daily na serikali wewe unafautilia ya zanzibar kama sio tabia za kike.

Mtu ana kosa anahojiwa nyie mnaingia udini na ubara, hamuwezi kufanya chochote kile.
Acha usengelema wako mkileta pigo zenu za kikuda nasisi wabara tutawakolimba maana sasa mmevuka led line dadeki zenu
 
Hii mijitu ianze kulipa Bili za umeme, mibinafsi halafu inapenda kubebebwa, walipe umeme kuanzia leo..
 
Kufanya nini sasa huko lafudhi yenyewe watu wanaongea kama wamebugia jiwe la moto siipendi Zanzibar na waliomo
 
Sasa hapo kanyanyaswa nini kwaiyo aendelee kuwa ombaomba?
 
Unaongea nn? yaani zanzibar inakuhusu nn ? Acha unafiki nchii hapa watu wanauliwa daily na serikali wewe unafautilia ya zanzibar kama sio tabia za kike.

Mtu ana kosa anahojiwa nyie mnaingia udini na ubara, hamuwezi kufanya chochote kile.
Dhambi ya ubaguzi huwa haiishi kamwe, mtabagauana hata kwa sauti basi tu ili ubaguzi uwepo.
Ndivyo ilivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…