LGE2024 Hii ya Samia kupanga foleni kujiandikisha inafikirisha kidogo

LGE2024 Hii ya Samia kupanga foleni kujiandikisha inafikirisha kidogo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tatizo hizo "sauti" ambazo uonekana ni za wengi uwa zimepatikana kwa njia ya wizi, hadaa na hata dhuluma ya maisha ya watu. Lakini kwa vile mwenyezi Mungu karidhia hilo basi sawa.
sio zile sauti za kilevi za kuchochea maandamano haramu lakin :pedroP:
 
Kuna Elimu ya Political Science kubwa sana ndani ya CCM. Hili wapinzani kwao bado sana .

Wapinzani wanashindwa uchaguzi kwa sababu Hawajasoma Sayansi ya siasa na namna ya kufanya propaganda za kuwin sio ile ya kulia lia kuwa tunahujumiwa n.k.

Wapinzani kuna mambo Mengi sana ya kujifunza toka CCM mana CCM ina muunganiko mkubwa sana na vyombo vya dola ambavyo ndani yake kuna watu waliobobea kwenye propaganda mipango ya ushindi na kila aina ya figisu . Lakini sio tu figisu lakini pia namna ya kushinda vita hata wakati wa kuwa na upinzani mkubwa na silaha chache.
Sasa wapinzani badala ya kuzunguka usiku na mchana kuwaambia watu watoke kwenda kujiandikisha hata kwa kuorodhesha wanachama wao kwenye Daftari wao wanakua wa kwanza kuwakatisha watu tamaa kuwa Kura zinaibiwa ,ooh kuna madaftari mawili ya kuandikisha moja la CCM na upuuzi mwingu . Matokeo yake watu hawaendi kupiga kura wala kujiandikisha.

Kifupi CCM wako maili nyingi sana mbele kisiasa ukilinganisha na Vyama vingine .
Wapinzani wasipoona kuwa kuwa kuna mahali wanakosea kujipanga basi hakika watapoteza sana nafsi kwenye uchaguzi.

Hapo Samia zinahamasisha Wananchi hasa wa CCM kuwa wajitokeze kwa wingi kwenda kujiandikisha na wawe wavumilivu wasione shida kupoteza muda kwa siku moja.

Sasa mtu anajiuliza kama Rais mwenyewe anapoteza muda wake kujiandikisha mimi ni nani niogope kupoteza muda.

Rais ameonyesha mfano mzuri sana wa kuthamini siku ya kujiandikisha bila kujali muda unapotea.
Tulitakiwa tumuone Mbowe ,Lisu, Mnyika n.k. Wakiwa wameongoza wanachama wao kwenye zoezi hilo
Umeongea mengi ya maana. Lakini angeenda stright bila kupanga foleni pia angekuwa amehamasisha watu wakajiandikishe.
Hakukuwa na haja ya yeye kupanga foleni wakati huko barabarani hajapanga foleni tumesimamishwa ili tumpishe. Hoja yangu ipo hapo.
 
HIi imenishangaza yaani akili yangu imegoma kuelewa.

Yaani, mtu alikuwa anaelekea kujiandiandikisha kupiga kura, huko barabarani msafara wake umesababisha watu na magari kusimamishwa ili kuruhusu “mheshimiwa awahi” aendako (hili ni la ajabu pia lakini tumeshalizoea hakuna namna ya kulibadilisha kwa sasa)

Kilichonistaajabisha hadi kufikia kuandika huu uzi ni yeye baada ya kufika huko kwenye kujiandikisha eti akapanga foleni, yaani eti aliowakuta hawakumpisha.

Naona kama vile wananchi wamekosa adabu, iweje ushindwe kumpisha mheshimiwa apite mbele wakati huko barabarani watu wamempisha na kusababisha kuchelewa kwenye shughuli zao na wengine wagonjwa wamechelewa kufika hospitali kwa wakati kupata matibabu.

View attachment 3122399
Hata Mwalimu Nyerere alipanga foleni….. Hakuna jipya hapo.
 
Samia ni drama queen! Anacheza ma-movie hatari... Kwenye Ile royal tour alicheza unyama sana, pigo za kinyamwezi zile...
 
HIi imenishangaza yaani akili yangu imegoma kuelewa.

Yaani, mtu alikuwa anaelekea kujiandiandikisha kupiga kura, huko barabarani msafara wake umesababisha watu na magari kusimamishwa ili kuruhusu “mheshimiwa awahi” aendako (hili ni la ajabu pia lakini tumeshalizoea hakuna namna ya kulibadilisha kwa sasa)

Kilichonistaajabisha hadi kufikia kuandika huu uzi ni yeye baada ya kufika huko kwenye kujiandikisha eti akapanga foleni, yaani eti aliowakuta hawakumpisha.

Naona kama vile wananchi wamekosa adabu, iweje ushindwe kumpisha mheshimiwa apite mbele wakati huko barabarani watu wamempisha na kusababisha kuchelewa kwenye shughuli zao na wengine wagonjwa wamechelewa kufika hospitali kwa wakati kupata matibabu.

View attachment 3122399
Kitengo na wastaafu wake wote ndo wapo hapo.

Hakuna raia hapo. Igizo limefana sana
 
U
HIi imenishangaza yaani akili yangu imegoma kuelewa.

Yaani, mtu alikuwa anaelekea kujiandiandikisha kupiga kura, huko barabarani msafara wake umesababisha watu na magari kusimamishwa ili kuruhusu “mheshimiwa awahi” aendako (hili ni la ajabu pia lakini tumeshalizoea hakuna namna ya kulibadilisha kwa sasa)

Kilichonistaajabisha hadi kufikia kuandika huu uzi ni yeye baada ya kufika huko kwenye kujiandikisha eti akapanga foleni, yaani eti aliowakuta hawakumpisha.

Naona kama vile wananchi wamekosa adabu, iweje ushindwe kumpisha mheshimiwa apite mbele wakati huko barabarani watu wamempisha na kusababisha kuchelewa kwenye shughuli zao na wengine wagonjwa wamechelewa kufika hospitali kwa wakati kupata matibabu.

View attachment 3122399
Ukiona inauma ichomoe kimya kimya!
Angepishwa na waliowahi bado Chadema wangelaumu kwa nini asiwahi mapema ili kuwapa nafasi wanachi.
Hamkosi cha kuandika hata kama ni pumba
 
U

Ukiona inauma ichomoe kimya kimya!
Angepishwa na waliowahi bado Chadema wangelaumu kwa nini asiwahi mapema ili kuwapa nafasi wanachi.
Hamkosi cha kuandika hata kama ni pumba
Chadema wanahusikaje hapa? Mimi sina chama
 
HIi imenishangaza yaani akili yangu imegoma kuelewa.

Yaani, mtu alikuwa anaelekea kujiandiandikisha kupiga kura, huko barabarani msafara wake umesababisha watu na magari kusimamishwa ili kuruhusu “mheshimiwa awahi” aendako (hili ni la ajabu pia lakini tumeshalizoea hakuna namna ya kulibadilisha kwa sasa)

Kilichonistaajabisha hadi kufikia kuandika huu uzi ni yeye baada ya kufika huko kwenye kujiandikisha eti akapanga foleni, yaani eti aliowakuta hawakumpisha.

Naona kama vile wananchi wamekosa adabu, iweje ushindwe kumpisha mheshimiwa apite mbele wakati huko barabarani watu wamempisha na kusababisha kuchelewa kwenye shughuli zao na wengine wagonjwa wamechelewa kufika hospitali kwa wakati kupata matibabu.

View attachment 3122399
Wanawahadaa Watanzania wasiokuwa na uelewa
 
Kuna Elimu ya Political Science kubwa sana ndani ya CCM. Hili wapinzani kwao bado sana .

Wapinzani wanashindwa uchaguzi kwa sababu Hawajasoma Sayansi ya siasa na namna ya kufanya propaganda za kuwin sio ile ya kulia lia kuwa tunahujumiwa n.k.

Wapinzani kuna mambo Mengi sana ya kujifunza toka CCM mana CCM ina muunganiko mkubwa sana na vyombo vya dola ambavyo ndani yake kuna watu waliobobea kwenye propaganda mipango ya ushindi na kila aina ya figisu . Lakini sio tu figisu lakini pia namna ya kushinda vita hata wakati wa kuwa na upinzani mkubwa na silaha chache.
Sasa wapinzani badala ya kuzunguka usiku na mchana kuwaambia watu watoke kwenda kujiandikisha hata kwa kuorodhesha wanachama wao kwenye Daftari wao wanakua wa kwanza kuwakatisha watu tamaa kuwa Kura zinaibiwa ,ooh kuna madaftari mawili ya kuandikisha moja la CCM na upuuzi mwingu . Matokeo yake watu hawaendi kupiga kura wala kujiandikisha.

Kifupi CCM wako maili nyingi sana mbele kisiasa ukilinganisha na Vyama vingine .
Wapinzani wasipoona kuwa kuwa kuna mahali wanakosea kujipanga basi hakika watapoteza sana nafsi kwenye uchaguzi.

Hapo Samia zinahamasisha Wananchi hasa wa CCM kuwa wajitokeze kwa wingi kwenda kujiandikisha na wawe wavumilivu wasione shida kupoteza muda kwa siku moja.

Sasa mtu anajiuliza kama Rais mwenyewe anapoteza muda wake kujiandikisha mimi ni nani niogope kupoteza muda.

Rais ameonyesha mfano mzuri sana wa kuthamini siku ya kujiandikisha bila kujali muda unapotea.
Tulitakiwa tumuone Mbowe ,Lisu, Mnyika n.k. Wakiwa wameongoza wanachama wao kwenye zoezi hilo
Hakuna cha political science ama political art, Ccm ndio chama Dola na hakihitaji kura kushinda uchaguzi
 
HIi imenishangaza yaani akili yangu imegoma kuelewa.

Yaani, mtu alikuwa anaelekea kujiandiandikisha kupiga kura, huko barabarani msafara wake umesababisha watu na magari kusimamishwa ili kuruhusu “mheshimiwa awahi” aendako (hili ni la ajabu pia lakini tumeshalizoea hakuna namna ya kulibadilisha kwa sasa)

Kilichonistaajabisha hadi kufikia kuandika huu uzi ni yeye baada ya kufika huko kwenye kujiandikisha eti akapanga foleni, yaani eti aliowakuta hawakumpisha.

Naona kama vile wananchi wamekosa adabu, iweje ushindwe kumpisha mheshimiwa apite mbele wakati huko barabarani watu wamempisha na kusababisha kuchelewa kwenye shughuli zao na wengine wagonjwa wamechelewa kufika hospitali kwa wakati kupata matibabu.

View attachment 3122399
Hapo ndo baadhi ya wapinzani wataambiwa hata kula moja hawajapa sababu hawakujiandikisha
 
Back
Top Bottom