hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Nikujulishe kwamba mimi sipo upande wowote wa chama chochote. Sijaandika hapa kiupinzani bali kizalendo.
Umeongea mengi kuhusu CHADEMA, wapo hapa watasoma hoja yako.
Kama kumpisha barabarani ni suala la kiusalama nakubalia na wewe. Lakini pia ni ningeshauri kwamba kama ni usalama basi uwepo sehemu zote.. kumpanga hivyo foleni ya kujiandikisha usalama ukwapi? Kama ni maadui wanaweza kuwepo popote pale.
Angefika akaenda moja kwa moja kujiandikisha ingetosha kuhamasisha wana CCM wenzake kwenda kujiandikisha. Tunafahamu kwamba yeye ni kiongozi wa nchi, hizi kero za foleni sio size yake tuache kudanganyana.
Hiyo foleni ya kuzuga kwa mtu yotote mwenye akili timamu ataona ni kichekesho.
Iko hivi:
Ukisikia Rais Ameenda kufungua shamba la miti basi na yeye lazima atapanda mti
Ukisikia Rais Ameenda kufungua chumba cha Darasa lazima na yeye ataingia na atakaa kwenye meza au dawati
Yani lazima atafata utaratibu wa sehemu anayokwenda kufungua Hilo tukio
Sasa Kwa tukio la juzi ilitakiwa apange foleni,
Na pale usalama wake ni mkubwa Sana, kwanza Yule mdada wa mbele Yake ni mlinzi wake, hapo bado watu wa nyuma yake na pembeni
Kwa tukio la kuandikisha haikutakiwa watu wampishe ilitakiwa kuwa vile
Hayo ndio mambo ya inchi za demokrasia
Unakumbuka usajiri wa simu?
Hata magu alipanga folen kwenda Kwa wakala