Hili suala la wanafunzi kubaki shule lina umuhimu mkubwa kwa maisha ya baadaye ya mtoto wako

Hili suala la wanafunzi kubaki shule lina umuhimu mkubwa kwa maisha ya baadaye ya mtoto wako

Mpaka sasa wapo majumbani hao watoto kwa wazazi wanaotoka asubuhi kurudi usiku, mtoto anashinda na beki 3, sijui mtawasimamia muda gani hao watoto. Wakati tunasoma vidato vya mitihani tulibaki shule lakini sasa mnawasikikiza wanasiasa na kuwapangia elimu ya watoto wenu. MUDA UTAONGEA
Hakuna kunachofanyika zaidi ya kukaririsha hawa watoto maswali na na majibu ili tu wapate A.Kimsingi hizi A za kukaririshwa hazina maana yoyote
 
Umetawaliwa na limtaala libovu la kikoloni.. linawaza mitihani tu...

Hovyo kabisa..

Limtaala hili libadilishwe mapema.

Mi natamani hata wanangu wasije fanya mimitihani hii ya NECTA..
Pesa unayo?? Hadi k-12 ada jumla ni usd 100k+ kama ipo mlete mtoto mwezi wa 8 tunapoanza new school year
 
Ni ujinga wabkupitiza eti watato tena wadogo wanasoma muda mrefu kuliko hata meanafumzi wa Engineering pale chuo kikuu
Watoto wadogo mbona wapo mtaani wanachezea matope? Wanafunzi wanaoongelewa ni kidato Cha nne, kidato Cha mtihani siyo watoto Wacha kuchanganya mada
 
Hakuna kunachofanyika zaidi ya kukaririsha hawa watoto maswali na na majibu ili tu wapate A.Kimsingi hizi A za kukaririshwa hazina maana yoyote
Ni kweli usemacho ila mfumo wetu wa elimu ndo unataka ivyo, umebase kwnye results tu na sio mwanafunzi amepata nn
 
Hilo jina utakuwa mtu wa Kusini au pwani au Tanga ambako elimu siyo kipaumbele ndiyo maana hiyo mikoa inashika mkia kwenye mitihani
Bro umepiga mulemule, watoto wa hayo maeneo uliyotaja kwa mapenzi wana A za kutosha lakin kusoma ni mtihani mzito
 
Kijijini atakwenda shambani, mjini atazurura mitaani na mimba zitaongezeka
Kwa mtu aliye nje ya kada ya elimu hata umueleze vip utajichosha bure tu mana hajui tunayoyaona isipokua wanaskia tu wanafunzi 100 wamepata mimba na kuanza kulaumu walimu walikua wapi. LIKIZO INA MAMBO MENGI
 
Wameenda tunawasubiri July break ya kwanza ni kuwapima mimba hapo Kila mmoja atabeba mzigo wake
Wafungue macho na akili ili waweze kuona, hawajui kuna boda boda, bado wanafunzi wenzao, bado mafataki yapo mtaani asee ni changamoto
 
Swali rahisi lakujiuliza ni je hao walimu wao hawataki LIKIZO ? Wazazi mkiwa mnaendeshwa na siasa watoto wenu mtawaokota kwenye ZERO NA FOUR … mkenda hakua anarudi LIKIZO.
 
Swali rahisi lakujiuliza ni je hao walimu wao hawataki LIKIZO ? Wazazi mkiwa mnaendeshwa na siasa watoto wenu mtawaokota kwenye ZERO NA FOUR … mkenda hakua anarudi LIKIZO.
Tupo Dunia ya utandawazi. Wakati mkenda anasoma studio za kuharibu watoto hazikuwepo, vibanda vya movie havikuwepo, bodaboda hazikuwepo, ushoga na usagaji havikuwepo, simu za kucheza game na kuangalia ngono hazikuwepo, mkenda akirudi likizo anakutana kazi za shambani zinamsubiri na kukatia mifugo ili shule ikifunguliwa iuzwe apate ada ya kurudi shuleni. Unajua ninyi wanasiiasa watoto wenu hawasomi Tanzania, wanasoma mataifa ya nje na likizo kama hizi mnawapeleka tour za kujifunza hivyo hawapumzishi hizo akili mnazotaka watoto wa masikini wapumzishe ili hao watoto wenu waje wawatawale kirahisi kama akina ridhiwani na January makamba
 
Tupo Dunia ya utandawazi. Wakati mkenda anasoma studio za kuharibu watoto hazikuwepo, vibanda vya movie havikuwepo, bodaboda hazikuwepo, ushoga na usagaji havikuwepo, simu za kucheza game na kuangalia ngono hazikuwepo, mkenda akirudi likizo anakutana kazi za shambani zinamsubiri na kukatia mifugo ili shule ikifunguliwa iuzwe apate ada ya kurudi shuleni. Unajua ninyi wanasiiasa watoto wenu hawasomi Tanzania, wanasoma mataifa ya nje na likizo kama hizi mnawapeleka tour za kujifunza hivyo hawapumzishi hizo akili mnazotaka watoto wa masikini wapumzishe ili hao watoto wenu waje wawatawale kirahisi kama akina ridhiwani na January makamba
Kusoma na kwrnda tour kuna fanana kumbe? Sema wazazi wana kwepa majukumu wanatamani hata watoto waishi shulieni milele wao wawe wanatuma tu Ada na Pokey money
 
Swali rahisi lakujiuliza ni je hao walimu wao hawataki LIKIZO ? Wazazi mkiwa mnaendeshwa na siasa watoto wenu mtawaokota kwenye ZERO NA FOUR … mkenda hakua anarudi LIKIZO.
Wazazi wanakwepa majukunu hakuna cha zero wala Four, Sikiliza Mtoto kama kichwani ni zero ni zero tu atapata hoo four hata aishi Darasani
 
Tupo Dunia ya utandawazi. Wakati mkenda anasoma studio za kuharibu watoto hazikuwepo, vibanda vya movie havikuwepo, bodaboda hazikuwepo, ushoga na usagaji havikuwepo, simu za kucheza game na kuangalia ngono hazikuwepo, mkenda akirudi likizo anakutana kazi za shambani zinamsubiri na kukatia mifugo ili shule ikifunguliwa iuzwe apate ada ya kurudi shuleni. Unajua ninyi wanasiiasa watoto wenu hawasomi Tanzania, wanasoma mataifa ya nje na likizo kama hizi mnawapeleka tour za kujifunza hivyo hawapumzishi hizo akili mnazotaka watoto wa masikini wapumzishe ili hao watoto wenu waje wawatawale kirahisi kama akina ridhiwani na January makamba
Kma kuna mzazi haelewi unachosema, watakuja kukumbuka haya madini unayowapa baada ya matokeo
 
Kwa mtu aliye nje ya kada ya elimu hata umueleze vip utajichosha bure tu mana hajui tunayoyaona isipokua wanaskia tu wanafunzi 100 wamepata mimba na kuanza kulaumu walimu walikua wapi. LIKIZO INA MAMBO MENGI
Ujinga haya ni majukumu ya Wazazi, Watoto w Kihindi wao mbona hawapato Mimba? Wazazi wa Kibongo ni wapuuzi sana yaani wanakwepa majukumu ya kulea familia na wamekomaa kusakazia wati wengine,
 
Kusoma na kwrnda tour kuna fanana kumbe? Sema wazazi wana kwepa majukumu wanatamani hata watoto waishi shulieni milele wao wawe wanatuma tu Ada na Pokey money
Bro study tour ni njia mojawapo ya kujifunza kwa kutembelea eneo husika, mfano hata beach unajifunza physical feature nying sana kwa kuziona
 
Watoto wadogo mbona wapo mtaani wanachezea matope? Wanafunzi wanaoongelewa ni kidato Cha nne, kidato Cha mtihani siyo watoto Wacha kuchanganya mada
Hao kidato cha nne hawapaswi kupumzika? wazazi wanakwepa majukunu ndio maana wanatamani kuwepo na Bording hata ya Watoto wachanga, Ingekuwepi ya Watoto wachanga tungewapeleka Bording kukwepa majukumu
 
Back
Top Bottom