Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Soon mtanyookaVyombo vya Dola vinajulikana vilipo ni vyema kupeleka huko tuhuma zako huko. Huku ni kama unamchafua. Tuchape kazi majungu hayalipi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon mtanyookaVyombo vya Dola vinajulikana vilipo ni vyema kupeleka huko tuhuma zako huko. Huku ni kama unamchafua. Tuchape kazi majungu hayalipi.
Hujajibu kuhusu MC fokafokaKila mahala kuna mafedhuli..... hebu chunguza hata kwenye ukoo wako kama wanakosekana?
Washenzi sana hawa watu, magu alikuwa jangili kiasi hiki dahSoon mtanyooka
Halafu akifa anataka eti Mungu Mkuu ampe aongoze malaika.Silly!Kama ilifikia mahali kiongozi anatoka eneo la himaya yake yake ya kazi anakwenda kuvamia maduka ya watu, kwanini kiongozi kama huyu asiitwe jambazi?
Huu unyang'anyi au uporaji wa mali za watu usiku unatumwa na nani? Halafu mpuuzi moja akitoka hapo anamtaja hadi Mungu.
Kwa mujibu wa gazeti andiko toka gazeti kiuchunguzi la Sauti huru hizi ni video zilizonaswa na CCTV zikionesha jinsi DC wa Hai alivyovamia maduka ya watu Usiku mjini Arusha akinyang'anya pesa za wafanyabiashara kwa nguvu.
Hawa ndio viongozi wa umma wa serikali ya mwendazake.
View attachment 1746084
View attachment 1746085
He was such a freak 😈Halafu akifa anataka eti Mungu Mkuu ampe aongoze malaika.Silly!
Duh..Duh huyu ndio Ole Sabaya mbona, imekuwaje anafanya uhalifu huu?
Shocking hakyamungu 😭😭
Lazima ahame otherwise mtakuta makende zinaning'inia kwenye mti pale arumeru, au tumlambe fimbo sabini kama babake na alipe faini ya ng'ombe 300 shenzi huyu ng'utunyi, shieee. Minyii kinyaitrai ngayoni huyuKwa namna anavyosagiwa kunguni... hawezi kutoboa
View attachment 1746217
Haya machozi hayakuwa bure.... watu wa kaskazini watamfanyia tohara nyingine 😁 😁 😁
Huyu ndo yule aliokua akilia msibani na machozi yalikua yanatoka kwenye jicho moja tu?
Ahahahha bwana ngutunyiLazima ahame otherwise mtakuta makende zinaning'inia kwenye mti pale arumeru, au tumlambe fimbo sabini kama babake na alipe faini ya ng'ombe 300 shenzi huyu ng'utunyi, shieee. Minyii kinyaitrai ngayoni huyu
Bwana ng'utunyi ni mshenzi sana 😄 lazima alambe sabini, huyu anajua vijana wa kimasai watakachomfanya.Ahahahha bwana ngutunyi
Wewe nani "Jingalao"?
Ngoja niwe upande wako leo.
Hii ni video ya kipropaganda.
Haionyeshi hapo ni wapi, na ni nani huyo mwarabu na hao jamaa ni akina nani.
Mleta mada kaiweka hapa kwa sababu anazojua mwenyewe.
Huyu hana tofauti kubwa na misimamo yeny akina 'Jingalao' mnayoifanya hapa jukwaani.
JF inaharibiwa na mada za aina hii zisizokuwa na maelezo yanayojitosheleza.
Acha blah blah jamvini. Kick off your shoes turn off the lights love me tonight.Wewe wa jinsia gani kwanza