Hivi kuna sehemu Tanzania bodaboda wanakimbia kama hawa wa Arusha?

Umeona pikipiki zenyewe kwanza,hazina side mirror na wengine wamevaa mayebo
Binafsi kama nna safari ya kupanda boda huwa nachagua kuanzia pikipiki mpaka appearance,
 
Bodaboda wa Arusha na Dar na kwingineko Tz...nendeni Bukoba mkajifunze kufuata Sheria...

Tazama hapa kwenye traffic lights...tazameni waanzilishi walivyo wastaarabu


NB. Usafiri wa bodaboda ulianzia Bukoba kwa Tanzania
 
Arusha sio boda boda tuu hata hao wanaoemdesha magari wengi wao hawana fair na kutukana ni jadi yao awe mzee au kijana..Arusha ndio mji nimeshangaa unakuta machalii wanatukanana bara barani watu wanaona kawaida tuu na hakuna anaeshangaa wewe ukishangaa ndio wanakuita mang'aa...
 
uhusiano kati ya Kilimanjaro na Arusha ni Nini? ama hujui tofauti kati ya hiyo mikoa miwili Tz? We jamaa bhana
 
Akili yako sawa na ujazo wa kisoda! Una-generalize watu wa Arusha kwa mambo ya kishenzi, fanya tafiti kabla ya kuropoka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa maeneo niliowahi kuishi hapa TZ sidhani kama kuna mkoa unao vunja rekedi ya vifo na ajali za bodaboda kuzidi Arusha.

Anzia kikatiti, usa,kilala mpaka ngara.
Hiyo mitaa wanapatikana vilema wengi wasio na miguu wa ajali za bodaboda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…