pOle sana ila kuna kusahau huwez baki hivyo lazima utatafuta mwenza wa kubadilishana mawazo ndani nyumba siunajua upweke sio na uzee ndio unapiga hodi🤣🤣🤣🤣Ndio , mpaka nikimwambia mama yangu kwa sasa sitaoa kwanza ,akikumbuka huwa hana la kusema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo mambo ya wahindi labda ulikosea sehemu badala ya hizo kuch kuch kufanyia kwenye miti yenye mauwa na harufu nzuri wew ukafanyia migombaniNilijifanya sharuku Khan na kuchkuch Hotae nyingi lakini wap 🤣🤣🤣
Umenichekesha vibaya sana mpka nimepaliwa na Tonge la ugali🤣🤣🤣Hayo mambo ya wahindi labda ulikosea sehemu badala ya hizo kuch kuch kufanyia kwenye miti yenye mauwa na harufu nzuri wew ukafanyia migombani
Kama ulizaa na huyo aliyekuwa mkeo hamna ulazima wa kuoa tenaHahaha unakumbukumbu , nilioa kimakosa bila kujipanga kimaisha eti tutafute wote🤣🤣🤣 simshauri kijana hilo .
Kwahiyo ukifa kwa namna nyingine na mali zako nazo utakufa nazo? The fact kwwamba umeacha mali, ulishwe sumu, ufe kwa ukimwi, ajali au kwa namna yoyote ilr, zitaliwa tuFrsh ila sio kwa Sumu alaf mali zangu anakuja kula Mwanaume mwingine.
Nina watoto wawili mkuuKama ulizaa na huyo aliyekuwa mkeo hamna ulazima wa kuoa tena
Hii dhana ya kuoa na kuja kusaidiana uzee from my experience kwa msure wangu mama alifariki kitambo miaka ya 90 hadi leo msure yupo hajaoa wala nini na mzee na yupo freshpOle sana ila kuna kusahau huwez baki hivyo lazima utatafuta mwenza wa kubadilishana mawazo ndani nyumba siunajua upweke sio na uzee ndio unapiga hodi🤣🤣🤣🤣
Mkuu nakushauri achana na hilo dudu linaloitwa ndoa .Nina watoto wawili mkuu
acha kumlisha mwenzako ujingaMkuu nakushauri achana na hilo dudu linaloitwa ndoa .
Mimi pia nina watoto 2 kwa wamama 2 tofauti maisha yapo fresh sitegemei kuoa kabisa.
Washkaji zangu walioa wote wanalalamikalalamika tu.
Jana tu tumeenda kumdhamini mshkaji mmoja aliyeoa Polisi aliwekwa ndani na mke wake just imagine kisa tu alimchapa kibao mke wake kwa kumkosea heshima
Ngoja nione itakavyo kua mkuu, haya mambo hayanaga mwongozo😅😅Mkuu nakushauri achana na hilo dudu linaloitwa ndoa .
Mimi pia nina watoto 2 kwa wamama 2 tofauti maisha yapo fresh sitegemei kuoa kabisa.
Washkaji zangu walioa wote wanalalamikalalamika tu jana tu tumeenda kumdhamini mshkaji Polisi aliwekwa ndani na mke wake just imagine kisa tu alimchapa kibao mke wake kwa kumkosea heshima
Mkuu embu chunguza hata matajiri wengi hapa duniani hawana wake, watoto tu inatosha elon musk mwenyewe ana watoto zaidi ya 10 ila hana mkeacha kumlisha mwenzako ujinga
hujui tamadani zao..wewe tamaduni yako inakutaka uoe baada ya kufikia umri sahihi na sio ukizeeka.Mkuu embu chunguza hata matajiri wengi hapa duniani hawana wake, watoto tu inatosha elon musk mwenyewe ana watoto zaidi ya 10 ila hana mke
Mkuu tamaduni zinabadilika acha uhafidhina wakohujui tamadani zao..wewe tamaduni yako inakutaka uoe baada ya kufikia umri sahihi na sio ukizeeka.
Kinachotaka mtu aoe ni malengo yake wala hakuna sheria wala kulazimishana kwenye hilohujui tamadani zao..wewe tamaduni yako inakutaka uoe baada ya kufikia umri sahihi na sio ukizeeka.
hakuna malengo ya kipuuzi kama hayo,kwani ukioa huku ukiendelea na mambo zako unapungukiwa nin?Kinataka mtu aoe ni malengo yake wala hakuna sheria wala kulazimishana kwenye hilo