Anthony horowitz
JF-Expert Member
- May 4, 2024
- 421
- 1,042
Focus Ina pungua mzee, Kuna risk nyingine ukiwa single wala huzi ogopi.hakuna malengo ya kipuuzi kama hayo,kwani ukioa huku ukiendelea na mambo zako unapungukiwa nin?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Focus Ina pungua mzee, Kuna risk nyingine ukiwa single wala huzi ogopi.hakuna malengo ya kipuuzi kama hayo,kwani ukioa huku ukiendelea na mambo zako unapungukiwa nin?
Nyumba zao zina waka moto 🤣😃😃Kabisa , hawa wenye ndoa kuna namna wana msongo mkali.
Nahisi hivyo🤣Nyumba zao zina waka moto 🤣😃😃
Hapana huo ni umama kama hujaoaMkuu kila mtu aishi anavyoona ni vyema , binafsi kwa malengo yangu bado sijafikia umri wa kuoa.
Sijaoa kwelHapana huo ni umama kama hujaoa
We mwenyewe huja olewa, sijui huo ni unini Sasa!Hapana huo ni umama kama hujaoa
Ogopa kuwa na independent radio nyumbani 😃Nahisi hivyo🤣
Kwani mashoga hawaoni?Ukweli hauwezi kuukwepa mashoga wanakimbia majukumu ya uanaume,tamaa ya maisha mazuri na kutaka fedha za haraka,mkumbo wa marafiki n.k
ushoga ni kuescape majukumu
Mie sipo single sasa nipo double au unataka nikuonyeshe darling wangu yupooWe mwenyewe huja olewa, sijui huo ni unini Sasa!
Stop Generalization...Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.
Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
OA
hoja yangu ni kwamba vijana oeni msilete uzembe..hata yesu hakuwa hivi.Mhafidhina07 mpaka sasa sijaona hoja yako
Sio kila mtu ana amini hayo mambo ya yesu na mtume , kiufupi sitaoa kwa mihemko ya watu kama nyie.hoja yangu ni kwamba vijana oeni msilete uzembe..hata yesu hakuwa hivi.
KAMA SIO BIKRA USIOEMwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.
Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
OA
sawa,hakuna kufata mihemko ila kuna mambo ukiwa hujayafanya wakat fulani akf ukaja kuyafanya au kutokufanya kabisaa lazima tutie mushkeli na tutaona huyu jamaa hazipo sawa.Sio kila mtu ana amini hayo mambo ya yesu na mtume , kiufupi sitaoa kwa mihemko ya watu kama nyie.
Huko uswahilini ,kajamba nani lazima watie shaka wengi hawana cha kufanya zaidi ya kuwaza wengine 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sawa,hakuna kufata mihemko ila kuna mambo ukiwa hujayafanya wakat fulani akf ukaja kuyafanya au kutokufanya kabisaa lazima tutie mushkeli na tutaona huyu jamaa hazipo sawa.
KAMA SIO BIKRA USIOEoa unayempenda
msikimbie majukumu kwani bikra hana kidali??
Kwann mkuuHahaha unakumbukumbu , nilioa kimakosa bila kujipanga kimaisha eti tutafute wote🤣🤣🤣 simshauri kijana hilo .