Hivi mtu unawezaje kujenga nyumba yako kwenye ardhi ya wazazi na ukaishi na familia yako hii akili au matope

Hivi mtu unawezaje kujenga nyumba yako kwenye ardhi ya wazazi na ukaishi na familia yako hii akili au matope

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Huwa nashangaa mtu anapata wapi ujasiri wa kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka
 
Huwa nashangaa mtu anapata wapi mtu anaujasiri Gani kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na maa Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka
Waarabu ndo zao hizo
 
Mkuu mi naona wewe kama sio 27 kushuka chini au ni basi tu una utoto mwingi kama wewe ni mtu mzima.

Ardhi ya wazazi ni kama ardhi ya wwngine

Unaweza kuwa offered kiwanja na baba yako, utakaataa?

Kunaweza kutokea ipo nafasi kubwa , na wazazi wako hawapo, hautajennga?

Maisha hayana formula, inapotokea fursa unapaswa kuitumia ila ukileta uzungu sana, utabeba mabox sanaa
 
Huwa nashangaa mtu anapata wapi ujasiri wa kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka
Bora huyu wa kwa wazazi wake,Ukweni!
 
Mkuu mi naona wewe kama sio 27 kushuka chini au ni basi tu una utoto mwingi kama wewe ni mtu mzima.

Ardhi ya wazazi ni kama ardhi ya wwngine

Unaweza kuwa offered kiwanja na baba yako, utakaataa?

Kunaweza kutokea ipo nafasi kubwa , na wazazi wako hawapo, hautajennga?

Maisha hayana formula, inapotokea fursa unapaswa kuitumia ila ukileta uzungu sana, utabeba mabox sanaa
Kwahiyo we miaka Yako yote unaamka wazazi unawaona si Bora ukae nao nyumba Moja ijulikane upo Kwa wazazi tu
 
Kwahiyo we miaka Yako yote unaamka wazazi unawaona si Bora ukae nao nyumba Moja ijulikane upo Kwa wazazi tu
Kuna shida gani kama ukiamka na wazazi wako ?

Mbona zamani mababu waliishi kwenye boma na vijana wao wakiwa wameoa? Ndio hao hadi leo wamefanyika hadi na wewe umezaliwa.

Mi naona hauna life experiences za kutosha, una utoto mwingi

BYE, FELICIA.
 
Sisi tunaosubiri wazazi watangulie turithi nyumba au tunaoolea kwenye nyumba moja na wazazi wetu hatutakiwi katika uzi huu
 
Kwahiyo we miaka Yako yote unaamka wazazi unawaona si Bora ukae nao nyumba Moja ijulikane upo Kwa wazazi tu
Na ndio maisha yanapaswa kuwa hivyo. Hakuna haja ya kujenga jenga nyumba kila mtu ilhali mngeweza kujenga mjengo mmoja mkali na familia zote zikaishi hapo, kama alivyosema Covax kuwa waarabu ndio zao.

Kaa na wazazi wako ufurahie maisha mpaka mwisho, nyumba mnaiboresha tu na ndio inakuwa home sio a mere house.
 
Kuna shida gani kama ukiamka na wazazi wako ?

Mbona zamani mababu waliishi kwenye boma na vijana wao wakiwa wameoa? Ndio hao hadi leo wamefanyika hadi na wewe umezaliwa.

Mi naona hauna life experiences za kutosha, una utoto mwingi

BYE, FELICIA.
Utoto unao wewe unaekaa na wazazi miaka yote ndio nyie mnavizia mkikosa hela ya msosi mnaingia ndani Kwa wazazi kuangalia msosi wakati mshakua mijitu mizima
 
Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna
Mkuu unaposema unakosa uhuru, ni uhuru gani unaoweza kuukosa nyumbani kwenu?? Isije ikawa mkeo ndio anasema anakosa uhuru, na wewe unaunga mkono hoja yake pasipo kujua uhuru anaoutaka yeye ni kukutawala wewe kwa kukupanda kichwani, na ambapo ameshindwa kwa kuwa upo around watu wako wa karibu watakaonotisi kuwa unaendeshwa
 
Utoto unao wewe unaekaa na wazazi miaka yote ndio nyie mnavizia mkikosa hela ya msosi mnaingia ndani Kwa wazazi kuangalia msosi wakati mshakua mijitu mizima
Mtoto kwa mzazi hakui

Yaani leo hii Riz Wani akipambaniwa na baba yake (JK) ili awe Waziri, unaibuka na kuanza kumshangaa Riz kuwa ni mkubwa hivyo ajipambanie, wewe ndio utaushangaza umma.
 
Na ndio maisha yanapaswa kuwa hivyo. Hakuna haja ya kujenga jenga nyumba kila mtu ilhali mngeweza kujenga mjengo mmoja mkali na familia zote zikaishi hapo, kama alivyosema Covax kuwa waarabu ndio zao.

Kaa na wazazi wako ufurahie maisha mpaka mwisho, nyumba mnaiboresha tu na ndio inakuwa home sio a mere house.
Yaani uishi nyumba na wazazi pamoja na familia yako
 
Mkuu unaposema unakosa uhuru, ni uhuru gani unaoweza kuukosa nyumbani kwenu?? Isije ikawa mkeo ndio anasema anakosa uhuru, na wewe unaunga mkono hoja yake pasipo kujua uhuru anaoutaka yeye ni kukutawala wewe kwa kukupanda kichwani, na ambapo ameshindwa kwa kuwa upo around watu wako wa karibu watakaonotisi kuwa unaendeshwa
Hamna mkuu Kuna uhuru Fulani hivi unaukosa tofauti na mkeo yaani hata kubadilisha mademu ubadilishi Kwa kuhofia wazee watakuonaje huu ni mfano tu
 
Back
Top Bottom