Hivi mtu unawezaje kujenga nyumba yako kwenye ardhi ya wazazi na ukaishi na familia yako hii akili au matope

Hivi mtu unawezaje kujenga nyumba yako kwenye ardhi ya wazazi na ukaishi na familia yako hii akili au matope

Kuna shida gani kama ukiamka na wazazi wako ?

Mbona zamani mababu waliishi kwenye boma na vijana wao wakiwa wameoa? Ndio hao hadi leo wamefanyika hadi na wewe umezaliwa.

Mi naona hauna life experiences za kutosha, una utoto mwingi

BYE, FELICIA.
Sana mkuu na Kwa namuna nyingne nimegundua huyu anamtizamo mbaya (negative)
 
Unajenga tu unakaa mbona ni mji unaukuza tunasema kitovuni
 
Mzee unajengaje ardhi waliyokupa wazazi na kuishi hapo ukiwa na umri mkubwa hiyo ni akili au
U
I

Huu mfanowako umeonyesha ulivyokua na akili za kitoto,kikawaida wazazi ndio inapaswa kumuandalia mtoto maisha.
Waliokulia vijijini watanielewa ukifikia umri wa balehe hukai nyumba moja na wazazi utakatiwa kipande chako cha ardhi ili ujenge,hayo mengine ni umaskini wa ardhi tu.
Usiangalie alipojenga babayako hapo alipohesabiwa hatua 17 ×17 hawezi kukugawia ardhi wakati hana nyingine zaidi ya hiyo tembea dogo uone familia zinamiliki hadi heka 100,mzazi kukupa heka 10 haoni hatari kuna ubaya gani ukijenga na kuanzisha familia hapo?
Huku mjini tunaishi ki selfish ndio maana we unaona ajabu mtu kujenga kwenye ardhi ya wazaziwake.
Kuna waziri mmoja professor mstaafu karudi kwenye mji aliopewa na baba yake na anaendeleza shughuli zake hapo hana noma wala nini,sasa wewe umetoka familia ya kimaskini wa ardhi unashangaa mtu kujenga kwenye ardhi ya wazazi wake,wewe huwezi kujenga kwa wazaziwako sababu walininua ardhi kwa kuhesabiwa hatua wakaishia kujenga nyumba ya vyumba vitatu.
 
Huwa nashangaa mtu anapata wapi ujasiri wa kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka

Suala la kwanza ni kutambua kwamba maisha yetu yanaendeshwa kwa mila, tamaduni na desturi za watu wa eneo husika.

Mila, desturi na tamaduni huweza kuendelezwa na jamii husika richa ya mabadiliko ya elimu na nyakati.

Mfano: kuna makabila ambayo watoto wote wa kiume hutakiwa kuoa na kujenga nyumba zao kuzunguka nyumba ya mzazi. Hii ilieweza kudumisha umoja, amani na upendo bali pia nidhamu miongoni mwa familia moja na nyingine na miongoni mwa familia moja. Baba alibaki kama kiongozi mkuu wa familia.

Vyanzo vya mapatoviliweza kulindwa kwa pamoja dhidi ya uvamizi kama ulinzi wa mazao na mifugo. Pia shughuli za kilimo zilifanyika kwa umoja.

Matatizo ndani ya familia husika yalitatuliwa na wahusika ndani ya familia kabla ya kwenda kwenye ukoo au uongozi wa nje au watu wengine.

Hii ni moja ya mifano ambayo kwa waliokulia kwenye mfumo husika hawaizhi ns umimi zaidi bali umoja kati yao.

Mtazamo huu utabadilika kwa familia ambayo, mtoto wa kiume akibarehe/kukua anatakiwa kujitafutia marisho yake yeye binafsi bila kudai chochote kwa baba.

Kea mktadha huu ni vyrma kujifunza kwa tofauti tunazokutana nazo kati yetu au jinsi tunavyoishi ili kuona kama inatusaidia au la. Kama ni cha msaada tujifunze kati yetu na kama si cha msaada tujitahidi kurekebisha na si kushangaa tu na kubeza.
 
Huwa nashangaa mtu anapata wapi ujasiri wa kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka
Tatizo ni kwamba wewe huwajui wazazi wako na hauna, hivyo huwezi kuelewa
 
Sidhani kama ataelewa hili,huyu nahisi kazaliwa mjini kakulia mjini hata mila na desturi hazijui ndio maana anashangaa,koo nyingi za kiafrika zilikua hivi kabla ya kuja kuvurugwa na wavamizi.
 
Waarabu ndo zao hizo
Na wanaishi fresh tuu...shida sie ngozi nyeusi....wee leo mbunge wetu abood yupo tuu pale ghorofani aliporithi toka kwa baba yake na maisha yanenda fresh tuu.
 
U

Usiangalie alipojenga babayako hapo alipohesabiwa hatua 17 ×17 hawezi kukugawia ardhi wakati hana nyingine zaidi ya hiyo tembea dogo uone familia zinamiliki hadi heka 100,mzazi kukupa heka 10 haoni hatari kuna ubaya gani ukijenga na kuanzisha familia hapo?
Huku mjini tunaishi ki selfish ndio maana we unaona ajabu mtu kujenga kwenye ardhi ya wazaziwake.
Kuna waziri mmoja professor mstaafu karudi kwenye mji aliopewa na baba yake na anaendeleza shughuli zake hapo hana noma wala nini,sasa wewe umetoka familia ya kimaskini wa ardhi unashangaa mtu kujenga kwenye ardhi ya wazazi wake,wewe huwezi kujenga kwa wazaziwako sababu walininua ardhi kwa kuhesabiwa hatua wakaishia kujenga nyumba ya vyumba vitatu.
Sio kweli Mimi mzee ana hela 5 ila sitaki kujenga na anasema tujenge siwezi kukaa Kila siku mzee ananiona
 
Sio kweli Mimi mzee ana hela 5 ila sitaki kujenga na anasema tujenge siwezi kukaa Kila siku mzee ananiona
Sema hutaki akuone ukibadirisha pisi kali,hata hizo heka 5 anazomiliki baba yako (kama ni kweli lakini) akija kufariki utaziuza afu utaendelea kupanga ili uendelee kubadirisha madem.
 
Sema hutaki akuone ukibadirisha pisi kali,hata hizo heka 5 anazomiliki baba yako (kama ni kweli lakini) akija kufariki utaziuza afu utaendelea kupanga ili uendelee kubadirisha madem.
Hamna mkuu yaani kukaa jiranu na wazazi yaani uhuru hamna
 
Huwa nashangaa mtu anapata wapi ujasiri wa kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka
Mkuu kwanza wazazi wako wana Ardhi?Isijekuwa unaongelea Ardhi ambayo haipo
 
Huwa nashangaa mtu anapata wapi ujasiri wa kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka
Hakuna tatizo familia nyingi zinaishi kwenye ardhi za kurithi toka kizazi na kizazi na kadri miji inavyoendelea maeneo hayo ambayo ni mashamba hupimwa na mamlaka za miji wahusika kupewa hatimiliki.
 
Back
Top Bottom