sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Mimi hata wazazi hawana nyumba mkuuNijibu tu we bado upo kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hata wazazi hawana nyumba mkuuNijibu tu we bado upo kwenu
Uzinzi sio uhuru , umeshaoa tulia na mkeoHamna mkuu Kuna uhuru Fulani hivi unaukosa tofauti na mkeo yaani hata kubadilisha mademu ubadilishi Kwa kuhofia wazee watakuonaje huu ni mfano tu
Huu mfanowako umeonyesha ulivyokua na akili za kitoto,kikawaida wazazi ndio inapaswa kumuandalia mtoto maisha.Hamna mkuu Kuna uhuru Fulani hivi unaukosa tofauti na mkeo yaani hata kubadilisha mademu ubadilishi Kwa kuhofia wazee watakuonaje huu ni mfano tu
muhammad dewji pamoja ela alizo nazo lakini anaishi pamoja na wazazi wakeHuwa nashangaa mtu anapata wapi ujasiri wa kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka
Dogo akili yake inawaza mademu tu ni anafanya vitu kwa ajili ya mademu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wew bado unawaza kama wale watoto wanao balehe…kuhofia kubadili mademu!! Pole sana dogo.
ni ujinga kabisaHuwa nashangaa mtu anapata wapi ujasiri wa kujenga nyumba kwenye ardhi aliyopewa na wazazi wake Ili aishi na familia yake yaani Kila siku ukiamka unamuona mzee wako na mama Yako hata uhuru hamna aisee nashangaaga sana watu wa aina hii halafu unakuta ukifa familia yako inaporwa nyumba na ndugu Kwa kisingizio umejengea nyumbani watoto wako wanateseka
Mzee unajengaje ardhi waliyokupa wazazi na kuishi hapo ukiwa na umri mkubwa hiyo ni akili au topeI
Huu mfanowako umeonyesha ulivyokua na akili za kitoto,kikawaida wazazi ndio inapaswa kumuandalia mtoto maisha.
Waliokulia vijijini watanielewa ukifikia umri wa balehe hukai nyumba moja na wazazi utakatiwa kipande chako cha ardhi ili ujenge,hayo mengine ni umaskini wa ardhi tu.
Kabisa aiseeHiko kitu hakiko sawa labda kama hiko kiwanja kiwe mbali kabisa na kwenu
Kabisa aiseeni ujinga kabisa
Huna akili na bado hujakuaHamna mkuu Kuna uhuru Fulani hivi unaukosa tofauti na mkeo yaani hata kubadilisha mademu ubadilishi Kwa kuhofia wazee watakuonaje huu ni mfano tu
Hivi kukua ni kuishi Kwa wazazi?Huna akili na bado hujakua
Utaishije na mzazi karibu yaani Kila unachofanya anajiona si Bora uishi nae nyumba mojaPole sana, wakati wazee wetu wananunua ardhi kubwa kwa ajili ya watoto, baba yako alikuwa busy kubadilisha mademu. Ona sasa unakuja kuwaonea wivu waliopewa viwanja
Ishi maisha yako mkuu, kwahyo unataka upotee maishani mwao wasikuone, si ujinyonge sasaUtaishije na mzazi karibu yaani Kila unachofanya anajiona si Bora uishi nae nyumba moja