Hivi mtu unawezaje kujenga nyumba yako kwenye ardhi ya wazazi na ukaishi na familia yako hii akili au matope

Ushasema wazazi.
Hio bangi imechanganywa na mavi kabisa hili povu acha niliteme tu tpweeh...
 
Hamna mkuu Kuna uhuru Fulani hivi unaukosa tofauti na mkeo yaani hata kubadilisha mademu ubadilishi Kwa kuhofia wazee watakuonaje huu ni mfano tu
Ambapo huo mfano wako, hata ungejenga umbali wa 1000km na uishi na mkeo tu, bado usingeweza kubadili mademu hapo nyumbani kwenu.
 
Hamna mkuu Kuna uhuru Fulani hivi unaukosa tofauti na mkeo yaani hata kubadilisha mademu ubadilishi Kwa kuhofia wazee watakuonaje huu ni mfano tu
Kwa andiko hili inaonyesha we bado akili haijakomaa, kama ndo unawaza kubadili mademu eti wazazi wataluonaje
 
Kwa andiko hili inaonyesha we bado akili haijakomaa, kama ndo unawaza kubadili mademu eti wazazi wataluonaje
Kwahiyo mkuu we unaweza fanya umalaya mbele ya wazee wako yaani Kila siku demu mpya
 
Duuh sawa ila Mimi siwezi
vizuri sasa usilazimishe kila mtu awe kama wewe...wengine ukoo mzima upo kijiji kimoja kitongoji kimoja unaambiwa huu mtaa wote wa ukoo wa kina mzee ole sabai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…