February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
- Thread starter
- #21
Ahaa wewe akili yako imeishia kufikiroa njia ya maandishi tu ambayo nimeshakuonesha mapungufu yake mengi tu.Njia bora kama ipi??
Watu wengine mna mambo ya ajabu sana
Kuna njia gani nyingine ya maana kufikisha elimu isipokuwa maandishi??
inamaana akili yako ilipoishia na ya mungu iliishia hapo?
Na yeye Mungu hana ubunifu wowote kukuzidi wewe?