February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
- Thread starter
- #41
Hii umetoa wapi?Njia bora unayoifikiria wewe ni ipi??--- ubora wa kitu unalinganishwa na kitu kingine la sivyo kitu kikiwa kimoja bila mbadala hicho kitabaki incomparable milele.
Ingekuwa hivi watu mpaka leo tungekuwa tunaishi misituni uchi tukiwinda wanyama na kuokota matunda maana kulikuwa hamna kitu bora kulinganisha na yale maisha..
Lakini Watu walikuwa porini ila wakafikiria kuwa hii haitoshi wakatengeneza vitu bora zaidi na kuendelea kuviboresha mpaka leo wewe upo Namtumbo unaongea namimi nipo Nanjilinji kupitia kakifaa ulikoshikilia mkononi.