Leta vielelezoSerikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Akili kubwa 👏👏Serikali ichukue hatua kwa starehe za watu wazima na akili zao timamu ambazo wewe au mimi hatulazimishwi hata kwenda huko ?
Ichukue hatua kwanza kwa mambo basic ambayo tunawalipa na wapo pale kuyatekeleza..., Nishati ya Uhakika, Kudhibiti mfumuko wa Bei, Kupunguza Rushwa, Uwajibikaji kwenye maofisi ya Umma n.k.
Hayo mengine mtajuana nyie na watoto wenu na wateja wenu kama hakuna wanaopenda hizo kumbi za starehe sidhani kama wanashikiwa bunduki ili waende au wewe sidhani kama umelazimishwa kuangalia hizo clip
Asili ya binadamu Ni kuwa uchi. Hizinguo hazina hata 70yrs tokea zianzr kutumika hapa bongo. Ngoja watu wanarudi kwa asili yao.Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Uchi wa mnyama au uchi wa mwanadamu?Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Tupe lokesheni mkuu.Serikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Wa mwanadamuUchi wa mnyama au uchi wa mwanadamu?
Hapo sawa.Wa mwanadamu
Watu tuna stress hebu acha jua kizame mbona ulaya watu wanacheza na groly hole zippSerikali kama haijaliona tatizo hili basi mm Sexless nawapeni taarifa. Hali imekuwa mbaya sana kwenye kumbi na maeneo mengi ya starehe, wasichana wanacheza wakiwa uchi wa mnyama.
Kuna muda wanafika mahala wanaonesha mambo ya ngono laivu huku watu wakishangilia. Hali ni mbaya Sana.
Ni kwasabb tu nabanwa na vigezo na masharti ya JamiiForums , ningeliweza kuweka clip za videos na picha toka maeneo mbalimbali zikioneaha wasichana wakifanya mambo machafu hadharani.
Serikali ichukue hatua haraka.
Siyo vizuri nikuingize kwenye dhambiTupe lokesheni mkuu.
Punguza umimi🤣
Hahahahahaha🤣🤣Unataka kutuharibia raha zetu sasa, fuata yako usiku mnene unatafuta nini kwenye burudani zetu.
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi kwani serikali yetu sikivu chini ya mama,
Kupitia wizara ya tamaduni,sanaa na michezo
Wanashindwa kutenga bajeti maalum ujengwe ukumbi mkubwa wa serikali kwa ajili ya Watu wazima wakacheze uchi na kujinafasi nafs zao uko?[emoji848]
Kaenda kasino na ushamba wake ,wale mabaunsa hakuwaona mlangoniSerikali ichukue hatua kwa starehe za watu wazima na akili zao timamu ambazo wewe au mimi hatulazimishwi hata kwenda huko ?
Ichukue hatua kwanza kwa mambo basic ambayo tunawalipa na wapo pale kuyatekeleza..., Nishati ya Uhakika, Kudhibiti mfumuko wa Bei, Kupunguza Rushwa, Uwajibikaji kwenye maofisi ya Umma n.k.
Hayo mengine mtajuana nyie na watoto wenu na wateja wenu kama hakuna wanaopenda hizo kumbi za starehe sidhani kama wanashikiwa bunduki ili waende au wewe sidhani kama umelazimishwa kuangalia hizo clip
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeomba connection kijanjaMwongo wewwe. Kama kweli taja walau sehem mbili za hapa dar niende wkend hii
wengine wanafanyia mitaani na wanapita na magari yao barabarani.Unadhani utaona ukiwa unashindwa nyumbani?
Hakuwa tayari kupata products aliyoinunua mwenyeweUshasema kumbi ya starehe alafu unamuuliza alienda kufanya nini tena!🤣🤣
Wahuni? Hapo mzee mkubwa wa ms..0.. Gger hakosi. Mnyamwezi kinoma yule dingiMkuu inasemekana wengine wanacheza hadharani na watoto wadogo wanaona ndio maana mtoa mada amelalamika,kuhusu kwenye club na casino hayo yalifanyika tangu zamani wahuni walikuwa wanaenda huko kuangalia kimya kimya hiyo haikuwa shida kwa sababu ilikuwa ni siri yao.
Umesikia wachina wameunda Binti huko anaweza kila kitu na bado hakuna keleleTunataka taifa lenye maadiili mema. Tusifudahie huu ushubwada
Ni uchi kabisa, baadhi ya maeneo..na mambo hayo huanzia saa kumi au tisa usiku..Miili yao! uchi au nusu uchi? sidhani kama ni uchi....