Hizbulah wabomoa kamera za Israel huku washirika wake wakizidi kukasirika

hv roket elf 5 unazijua ? muwe mnatumia akili nyiny waislam , mnaish km mbuz , unajuwa matokeo ya roketi moja tu je hizo elf 5 zitaleta athar ipi ? waislam msiwe km mazombi
Christians huwa mnachekesha sana yaani wenyewe mnavyoitetea israel mnajiona kama christians wenzenu wakati hao jews hata jesus hawamtambui na wao history inasema ndio waliomsulubisha msalabani mpk wakamvua nguo akabaki na chupi kwa kitendo walichomfanyia yesu ilibidi wawe maadui wenu lakini kwa kukosa akili ndio mnawasifia eti taifa teule ,taifa tukufu limehalalisha mpk ndoa za jinsi moja yaani kufukuana mimavi pale ruksa halafu mnasema taifa teule la mungu kwahyo huyo mungu anakubaliana na ushoga.
 
Ndio nasema kinachoibeba Israel ni misaada ya USA. Ila ukisema sijui wana uwezo wa kivita mbona walichakazwa na Hitler.
Kumbe na wewe ni mbumbumbu kiasi hiki?

Enzi za Hitler Israel ilikuwaje? Ilikuwa inapigana na Hitler?

Wavaa kobaz mna akili fupi sana!
 
Problem siyo idadi tu ndio maana nikakueleza wanashikilia nyanja muhimu. Kwenye idara hata black american wapo M 30 + ila hawapo kwenye nyanja muhimu. Unaelewa?

Yaani kwa kifupi walioshikilia uchumi wa Marekani ni Jewish penda usipende.
 
Iran kwanini asimfanye Israel, kama Japan alivyofanywa na USA. Huyu Israel mbona anaonyesha kibri cha hovyo sana. Ingekuwa ni uwezo wangu ningemfuta kabisa kwenye uso huu.
Sawa shangazi dimaa jaribu tu uone !
 
hampend vita ? alshabab , hamas , taliban , hizbollah , al qaida , boko harama , is , brotherhood , adf , janja weed etc kwel hampend vita , UNAFIKI NA UONGO NDO VIMETAWALA MIONGONI MWA WAUMINI WA UISLAM
 
kwan hamas alifanya ukatili kwa wanajeshi wa israel , nyiny waislam ni watu wanafiki sana , na ndio maana popote mliopo lzm fujo zitokee , maana hampend ukwel mnapenda yale mnayoyapenda nyiny , afrika ya kati iliwakaribisha miaka ya 1980 to 90 mlipokuwa wengu mkaanza iona nchi kama yenu vile , leo mmeiharibu afrika ya kati , hiyo dini yenu na ushetan ni mapacha , dini yenu inahubir umwagaj dan tu na kwa unafiki hamjambo , hamas wameua raia wema ila nyiny mlitaka israel isijibu kwa kuwaua raia wanawahifadhi hao hamas huko Gaza maana zipo sehem nyiny ndan ya Gaza hazijaguswa kbs
 
Kumbe na wewe ni mbumbumbu kiasi hiki?

Enzi za Hitler Israel ilikuwaje? Ilikuwa inapigana na Hitler?

Wavaa kobaz mna akili fupi sana!
Mie sio muislam hata usiipeleke vita kidini.
Ndio enzi za Hitler Jews walianzisha sio tu vikundi vya kigaidi ila walikua na battalion kadhaa kwenye jeshi la US, Poland, Na UK ila walisagwa sagwa na Hitler.

Ni ajabu sana watu kukuza uwezo wao wa kivita ilihali sote tunajua ni pesa za mmarekani ndio zinamlinda
 
hampend vita ? alshabab , hamas , taliban , hizbollah , al qaida , boko harama , is , brotherhood , adf , janja weed etc kwel hampend vita , UNAFIKI NA UONGO NDO VIMETAWALA MIONGONI MWA WAUMINI WA UISLAM
Umetaja vikundi vyenye mlengo wa Kiislamu pasi na kujiuliza kiini cha haya makundi ni nn hasa...halafu Ina maana hakuna watu wa Imani zingine ambao wanaunda vikundi vya kuasi kutokana na madhila ya kitu Fulani.....inaonekana definition ya ugaidi Ina correlate na uislamu tu....si vinginevyo
 
Problem siyo idadi tu ndio maana nikakueleza wanashikilia nyanja muhimu. Kwenye idara hata black american wapo M 30 + ila hawapo kwenye nyanja muhimu. Unaelewa?

Yaani kwa kifupi walioshikilia uchumi wa Marekani ni Jewish penda usipende.
Ndio maana nikakuuliza kama Israel ndio ina control USA walikua wapi mpaka wayahudi million 6 wanachinjwa na Hitler? Kwanini USA haikuingia kwenye vita mapema kuokoa wayahudi?
 
Afu nilikuwa najuaga una akili et
Yeah nina akili ndio maana nimekataa kuwa brainwashed kama wewe. Yaani mtu na akili zako unakomaa eti Israel ina uwezo wa kivita "naturally" unasahau World War 2 walikua na brigade zao kwenye majeshi ya poland na bado walichakazwa na Hitler.

The only difference ni uwepo wa pesa za marekani ila wakikata msaada wana jeshi la kawaida tu. Mfano tuliambiwa iron dome inazuia mabomu sio? Sasa wewe nisaidie ilikuwaje rockets zaidi ya elfu 5 za Hamas zimetua ndani ya ardhi ya Israel?

Ukitaka kuwa free thinker ondoa mahaba ya dini kwanza kabla hujachangia mada.
 
Zinamlinda sababu ana mchango nazo!

Kwanini Marekani wasiilinde Gaza?
 
Asee huna akili kweli kabisa sasa hapa nimehakikisha poor Mother of urs
 
Zinamlinda sababu ana mchango nazo!

Kwanini Marekani wasiilinde Gaza?
Mbona anailinda na Saudi Arabia? Kila kitu ni maslahi, unatafuta mshirika kwenye maeneo ya kimkakati.

Huko Nyuma Israel aliwahi ivamia Misri na kukalia kimabavu eneo la Sinai. Ila kwa kuwa Egypt naye alikua mshirika wa USA na pia eneo lilikua la kimkakati maana Suez Canal inapitisha meli za wamarekani ikabidi ampe order Israel aondoe majeshi otherwise mpaka leo sinai nzima ingekua chini ya Israel.

Politics is a game of interests, hata Saudia inafadhili vikundi vya waasi maeneo mengi ila USA anamchekea sababu anamhitaji kimkakati same to Israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…