Wenzako hawajali hata Kama haziwekwi kwenye fridge muhimu wao watu wachanjwe kumfurahisha mzungu ili waendelee kukopa.Nimeshangaa waziri mkuu anaongea tena kwa bashasha na kumsifu daktari mmoja anayesemekana kabeba chanjo kwenye BEGI anapita mitaani kuchanja...sijajua ni mkoa gani ila hii chanjo haiifadhiwi kama mandazi...
Brain damagedMabeberu wanakereka sana kuona Tanzania hatukutumia wanazoziita "njia za kisayansi" kupambana na corona!! Badala yake Rais wetu wa wakati huo aliitisha maombi ya kufunga ya siku 3 Kitaifa. Mwitikio wa watanzania kwa maombi hayo ulikuwa mkubwa sana. Mabeberu wameshuhudia kuwa Tanzania tuko salama kuliko mataifa yote mengine yaliyojikita kwenye lockdown, chanjo, nk. Walitabiri tutaokota miili barabarani haikuwa hivyo!! Wametushuhudia tukijazana kwenye viwanja vya mpira bila barakoa, tulijazana kumuaga JPM bila barakoa!! Wamesubiri tuugue kwa wingi wamekata tamaa!! Kinachotafutwa sasa ni kufuta rekodi sahihi kuwa ni Mungu aliyetuponya!! Viongozi wetu wanashinikizwa kutoa data za corona na kusema kweli wamelazimika hata kupika takwimu ili tu kuwafurahisha mabeberu ili waachie mkopo wa corona!! Mbaya zaidi mabeberu wanashinikiza watu wachanjwe!! Lengo ni kuwa mbele ya safari waje kusema kilichowaokoa ni chanjo na siyo Mungu!!
Lakini jibu liko wazi, kama chanjo hazikufanikiwa kuwaokoa wao zingetuokoaje sisi?? Mabeberu wamechanjana chanjo moja haikutosha, wakachanjana ya pili bado haikutosha wanaendelea kuambukizwa na kuambukiza na kuugua na kufa wengine. Hivi sasa wanapanga kuchanja ya 3!! Kisha wachanjane booster mara kwa mara!! Kila siku marekani wanakufa zaidi ya 1000 kwa corona!! Kwetu hata hiyo chanjo moja haiwezekani kuenea kwa watu wote, itatuokoaje? Hizo chanjo millioni 1 imeshindikana kuisha hadi data za kupika zinaelekea kutumika!!
Watanzania tusifanye kosa la kumpokonya Mungu utukufu kwa kushawishiwa na wapagani wa kizungu kuchanja!! Hatuchanji ng'o!! Mungu alishatuponya na REKODI itabaki hivyo!! Mwisho wa siku tutyaona ni Mungu yupi anaokoa! mungu chanjo au Mungu YEHOVA muumba wa mbingu na nchi.
Sina haja ya kujua kama amechanja au laaaKwani amekwambia amechanja?
Huna uhalali wowote wa kunishauri juu ya maisha yangu wewe kajamba naniWewe ndiye uliyerogwa! Uzima ulio nao ni Mungu amekupa, halafu unajisikia vibaya watu kushuhudia uponyaji wa Mungu!! Lazima uwe na pepo mchafu!! Hivi Tanzania wangekufa kwa maelfu kama huko ulaya wewe ungepona? Ni Mungu katuponya ukiwamo wewe pia umeponywa na Mungu!! Endelea kukataa na usishangae Mungu akiamua kukunyima pumzi uone kama hutazimika kama koroboi!!
Toka umezaliwa mpaka Leo,umepata chanjo ngapi za hao unaowaita mabeberu?Sio kwa chanjo hizi za kihuni.
Hamtaki kutumia tiba asili mnabugia matakataka ya mabeberu eti mnaita chanjo!
Hahahaa chanjoo!!!!
So baada ya kuchanjwa ndio hawafi tena? Acha uzuzu, jibu hoja za mtoa Mada.Acha ujinga boss. Watu korona iliua ndugu na jamaa zetu wengi tu.
Jibu zuri sana kwa hao mazumbukuToka umezaliwa mpaka Leo,umepata chanjo ngapi za hao unaowaita mabeberu?
Achana na mawazo ya kimasikini na kifukara,sio kila mwenye nacho unamfanya adui yako kuisafisha nafsi yako,huo ni ulimbukeni!
Wacha kuchanjwa tutakuja kukufukia tu maana huna faidaSo baada ya kuchanjwa ndio hawafi tena? Acha uzuzu, jibu hoja za mtoa Mada.
Leo Mwendazake na wale watu wake Wa karibu wakifufuka,watakuwa Wa kwanza kuchanja!So baada ya kuchanjwa ndio hawafi tena? Acha uzuzu, jibu hoja za mtoa Mada.
Acha ujinga boss. Watu korona iliua ndugu na jamaa zetu wengi tu.
Mwendazake na inner cycle yake wamekufa hivi hivi kwa kukosa maarifa!
Basi nenda kafunge siku 40 bila kula ili ufe katika kristo!!!!Unajua maana ya Kufa kwa Mkristo wewe? Ref Kuishi ni Kristo kufa ni faida. Achanie huu ujinga wa mipasho mpaka kwa marehemu.
Mungu amempa binadamu maarifa ya kupambana na changamoto katika maisha!
Kupata chanjo sio kumkana Mungu bali ni kuutukuza ukuu wake!Mungu anajionesha kwa namna nyingi!Huenda Chanjo ndiyo jawabu alilolitoa Mungu kupitia mwanadamu kuwakomboa viumbe wake na Uviko!
Bidhaa ngapi ambazo unatumia zina Bar Code?Hats Soda unayokunywa INA Bar Code!Bar code ni mfumo tu wa utambuzi!Mungu ndiye alisema mpewe chanjo zenye bar codes. Kakuambia hana uwezo wa kutambua watu wake? Huyu ni shetani na maaujanja yake awawekea alama ili ajue watu wake ni wapi.
Basi nenda kafunge siku 40 bila kula ili ufe katika kristo!!!!
Bidhaa ngapi ambazo unatumia zina Bar Code?Hats Soda unayokunywa INA Bar Code!Bar code ni mfumo tu wa utambuzi!
Ujinga ni mzigo!
Acha ujingaMabeberu wanakereka sana kuona Tanzania hatukutumia wanazoziita "njia za kisayansi" kupambana na corona!! Badala yake Rais wetu wa wakati huo aliitisha maombi ya kufunga ya siku 3 Kitaifa. Mwitikio wa watanzania kwa maombi hayo ulikuwa mkubwa sana. Mabeberu wameshuhudia kuwa Tanzania tuko salama kuliko mataifa yote mengine yaliyojikita kwenye lockdown, chanjo, nk. Walitabiri tutaokota miili barabarani haikuwa hivyo!! Wametushuhudia tukijazana kwenye viwanja vya mpira bila barakoa, tulijazana kumuaga JPM bila barakoa!! Wamesubiri tuugue kwa wingi wamekata tamaa!! Kinachotafutwa sasa ni kufuta rekodi sahihi kuwa ni Mungu aliyetuponya!! Viongozi wetu wanashinikizwa kutoa data za corona na kusema kweli wamelazimika hata kupika takwimu ili tu kuwafurahisha mabeberu ili waachie mkopo wa corona!! Mbaya zaidi mabeberu wanashinikiza watu wachanjwe!! Lengo ni kuwa mbele ya safari waje kusema kilichowaokoa ni chanjo na siyo Mungu!!
Lakini jibu liko wazi, kama chanjo hazikufanikiwa kuwaokoa wao zingetuokoaje sisi?? Mabeberu wamechanjana chanjo moja haikutosha, wakachanjana ya pili bado haikutosha wanaendelea kuambukizwa na kuambukiza na kuugua na kufa wengine. Hivi sasa wanapanga kuchanja ya 3!! Kisha wachanjane booster mara kwa mara!! Kila siku marekani wanakufa zaidi ya 1000 kwa corona!! Kwetu hata hiyo chanjo moja haiwezekani kuenea kwa watu wote, itatuokoaje? Hizo chanjo millioni 1 imeshindikana kuisha hadi data za kupika zinaelekea kutumika!!
Watanzania tusifanye kosa la kumpokonya Mungu utukufu kwa kushawishiwa na wapagani wa kizungu kuchanja!! Hatuchanji ng'o!! Mungu alishatuponya na REKODI itabaki hivyo!! Mwisho wa siku tutyaona ni Mungu yupi anaokoa! mungu chanjo au Mungu YEHOVA muumba wa mbingu na nchi.
Mithali 1:7 inasema wasiochanja wanasubiria tuliochanja tugeuke mazombi..Mithali sura ya kwanza aya saba inakuhusu wewe na wa aina yako.
Toka umezaliwa mpaka Leo,umepata chanjo ngapi za hao unaowaita mabeberu?
Achana na mawazo ya kimasikini na kifukara,sio kila mwenye nacho unamfanya adui yako kuisafisha nafsi yako,huo ni ulimbukeni!