Hizi mvua zote kwanini bado TANESCO wanakata umeme?

Hizi mvua zote kwanini bado TANESCO wanakata umeme?

Kilicho baki watakuja waseme Ubovu na uchakavu wa mitambo ulikua unamuogopa Magufuli ndio maana baada ya matamko yake tatizo la mgao wa umeme likakoma
 
Marehemu Rais Maghufuli alilalamika kuna watu wana hujumu Tanesco ili wauze mafuta
Huyu mzee alikua muongo sana, wahujumu maji waache kuhujumu gesi ambayo ndio gharama zaidi kuendesha na ndio inachangia 70% ya umeme wa Tanzania? Cheap popularity
 
kipara aliharibu nakupiga madili ya kifisadi
Yapi hayo mkuu? CAG hakuona? Na huyo Biteko toka amekuja amefanya nini kusaidia umeme so far?
magu angekuwepo unafikiri huu ujinga ungekuwepo mpaka sasa?
Ndio umeme ulikua unakatika mbona tofauti ni walikua hawatangazi ni mgao wa kimya kimya.
Viongozi wanachoangalia ni maslai binafsi hawana habari na mwananchi tena.
CCM ni ile ile hata JPM naye alikua anaangalia maslahi yake ndio maana kuna majizi ya makinikia kama Mwanyika hakuyafunga ila badala yake akampa ubunge!!
 
Watu wanapiga pesa kwenye mgawo kuna fedha za field/site sijui nini, nchi imejaa utapeli tupu
 
Yapi hayo mkuu? CAG hakuona? Na huyo Biteko toka amekuja amefanya nini kusaidia umeme so far?

Ndio umeme ulikua unakatika mbona tofauti ni walikua hawatangazi ni mgao wa kimya kimya.

CCM ni ile ile hata JPM naye alikua anaangalia maslahi yake ndio maana kuna majizi ya makinikia kama Mwanyika hakuyafunga ila badala yake akampa ubunge!!
Nchi imejaa matapeli tupu
 
Au ni mimi tu siyo sielewi chanzo cha huu mgao unaondelea sasa mwezi Novemba umeanza? Sasa hivi wamekata tena umeme na utarudi baada ya giza.

-
...ni HITILAFU Sio ITILAFU ,,![emoji846]...
 
Au ni mimi tu siyo sielewi chanzo cha huu mgao unaondelea sasa mwezi Novemba umeanza? Sasa hivi wamekata tena umeme na utarudi baada ya giza.

-
Majenereta, vipuli vya jenereta, dizeli na petroli atanunuwa nani babu?!
 
PLO lumumba alisema, in Africa the affirnity with people with no ideas is amazing.
Yani nyomi inavyojaa na kumuunga mkono mgombea anayetukana mwenye matusi asiyekuwa na hoja wala plan ya kieleweka ya kutataua changamoto is amazing.
Utaskia wanawake, mimi jtampgoa kura kwanza kijana wa watu handsome, mwingine jamani kwanza hana makuu kijana yule mpole. Uhandsome na upole tangu lini ukakatatua changamoto
Hii niliishuhudia kipindi cha kampeni ya kikwete nilikua mwika nyumba niliyokua naishi mama wa hapo laijiandaa siku anasikia kikwete anapita akaenda kumuona aliporudi akawa naamsifia kwa kichagga kwamba kijana mweupe mzuri anatabasamu muda wote nilicheka sana ila kweli hayo mambo hayatayui kero za wananchi. Safari hii utaskia mwanamke mama naaweza tumpeni atatusikiliza😂😂😂 akipata anaendelea kuimega nchi kama keki yake
 
Au ni mimi tu siyo sielewi chanzo cha huu mgao unaondelea sasa mwezi Novemba umeanza? Sasa hivi wamekata tena umeme na utarudi baada ya giza.

-
Mimi nilisikia wakisema kuna sababu 2 moja upungufu wa maji hivyo kuoungua kwa uzalishaji.

Sababu ya pili ongezeko la mahitaji ya umeme kuliko uzalishaji yaani haga kama maji yakiwepo bado mahitaji ni makibwa kuliko uwezo wa uzalishaji. Hivyo mpaka chanzo kipya au waweze kuonheza uwezo wa uzalishaji kwenye mitambo waliyo nayo
 
Hii niliishuhudia kipindi cha kampeni ya kikwete nilikua mwika nyumba niliyokua naishi mama wa hapo laijiandaa siku anasikia kikwete anapita akaenda kumuona aliporudi akawa naamsifia kwa kichagga kwamba kijana mweupe mzuri anatabasamu muda wote nilicheka sana ila kweli hayo mambo hayatayui kero za wananchi. Safari hii utaskia mwanamke mama naaweza tumpeni atatusikiliza😂😂😂 akipata anaendelea kuimega nchi kama keki yake
Hii hata mimi ya kikwete na uhandsome wanawake wengi nilisikia wakisema kipindi kile.
Unajua hata bungeni mtu akiongea comedy wabunge wanashangilia na kugonga meza.
 
Kwa sababu wamepewa mpaka mwezi wa march mwakani, acha wajinafasi kwa Raha zao, wakati wanavyojisikia.
 
Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
 
Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Si uliambiwa kuwa matengenezo ya miundo mbinu yanaendelea hadi miezi sita tangu August 2023, tuendelee kuvumilia.
 
Back
Top Bottom