Hizi mvua zote kwanini bado TANESCO wanakata umeme?

Hizi mvua zote kwanini bado TANESCO wanakata umeme?

Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
subirini kwanza tunamalizia kuuza stock yetu ya mwisho ya majenereta tanzania nzima
 
Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Mvua zinanyesha Dar hazisaidii kuijaza Mtera na Kihansi au Kidatu na Hale
 
Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !

Umeme si mahindi kwamba mvua kidogo tu tayari.
Kuna period ya kusubiri kidogo.

Japokuwa hayo matangenezo naona kama ni politics
 
Kwakuwa TANESCO walisema tatizo la umeme linasababishwa na "Kupungua" kwa kina cha maji kwenye ma Bwawa yetu, na ni baada ya kuwahadaa wananchi kwa mda mrefu wakisingizia mara kuna matengenezo mara itilafu ya mitambo na baadae kuitimisha ni kina cha maji ndio tatizo.

Watanzania tunajua tatizo la Umeme ni la kisiasa lakini hatujuwi tija yake kisiasa ni nini. Fikiria adi Marehemu Rais Maghufuli alilalamika kuna watu wana hujumu Tanesco ili wauze mafuta na vilevile bwawa limejaa matope kwa makusudi ya watu.

Kumbuka huyo ni alikuwa Rais akilalamika baada ya kutonywa na wale wa "Upande wa pili".
Naomba kuuliza ili li TANESCO ni kwamba lenyewe ni likubwa kupita taasisi ya Rais, Waziri Mkuu, Bunge hata Jeshi kwa ujumla wao.

Umeme ni uchumi wa Nchi
Umeme ni Usalama wa Nchi
Umeme ni Ulinzi wa mali za wananchi


Lakini ni Tanzania peke yake inayochukulia umeme kama Anasa ya Nchi.
Magu alikuwa anatupeleka kwenye viwanda.Viwanda vinahitaji umeme wa uhakika ndo Mana Hali ilikuwa inaridhisha.
Sasa mi sijui mama anatupeleka wapi.
Kumbuka hatembelei maofisini,yeye NI kuagiza TU.
"Mtanikumbuka sio kwa mabaya Bali mazuri"RIP MAGU,GREAT THINKER
 
Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Siyo kila mvua inayonyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Tanzania maji yake yanaelekea kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme. Mfano, mvua ikinyesha Dar maji yake hayawezi kufika Mtera Kifaru, Kihansi na Nyumba ya Mungu kuzalisha umeme. Jikumbushe jiografia ukiyosoma shuleni.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Mvua za Mbeya, Iringa na Morogoro ndiyo zina impact kwenye mabwawa ya Kihansi, Kidatu na Mtera. Hizi za Dar zinapoza hali ya hewa tu na kuharibu barabara
 
Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Maji ya mvua ya Dar tutayachota kwa ndoo kuyapeleka kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme kweli ndugu yangu, au jiografia yako uliiacha darasani ukamwachia mwalimu wako
 
Back
Top Bottom