Hizi mvua zote kwanini bado TANESCO wanakata umeme?

Hizi mvua zote kwanini bado TANESCO wanakata umeme?

Mvua ikinyesha ni kawaida Tanesco kukata umeme nani anayependa kunyeshewa na mvua akiwa kazini hata mkulima akiona mvua inanyesha huwa anaacha kulima anakimbilia ndani sembuse Tanesco? Wanakata umeme kabisa mvua ikinyesha ili wasipate usumbufu wa ohh huku umeme umekata ohh kuna short njooni .Wanazima wanakimbilia ndani maofisini hadi mvua itakapoisha

Habari ndio hiyo
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Salamu wakuu. Walisema mvua ni pungufu mabwawa hayajai maji ndio maana umeme unakatwa sana.

Kwa Sasa mvua ni nyingi Hadi zinaua watu Yani.

Hili linahusha sana CV ya nchi yetu pendwa.
 
nafikiri ni itilafu na uzuri mafundi mitambo walalimulika hilo kwa ustadi
 
Salamu wakuu. Walisema mvua ni pungufu mabwawa hayajai maji ndio maana umeme unakatwa sana.
Kwa Sasa mvua ni nyingi Hadi zinaua watu Yani.Hili linahusha sana CV ya nchi yetu pendwa.
Don't trust an African politician mkuu, tena achilia mbali hawa wa nyumbani wanatuona sisi manyumbu
 
wanatoa zile zingine na kuweka za zege
Kwa nn wasisubiri mabwawa yaishe maji ili wawe na sababu ya kukata. Wanakata sas wakati maji yapo, kiangaz watasingizia maji kuoungua. Kiufupi mama samia ana hujumiwa mno.


Magufuli aliwaambiaga taifa star kama wanashindwa kushinda mechi aingize jeshi. Ila ilimaanisha kama hawataki kazi jeshi liko tayari
 
Salamu wakuu. Walisema mvua ni pungufu mabwawa hayajai maji ndio maana umeme unakatwa sana.
Kwa Sasa mvua ni nyingi Hadi zinaua watu Yani.Hili linahusha sana CV ya nchi yetu pendwa.
Hapa mwenye kosa ni rais wetu kuteua viongozi wa shirika la umeme walio incompetent kila kukicha, alianza na Makamba ambaye yuko incompetent kama Waziri Kairuki. Kila kiongozi anayechaguliwa na rais kuendesha hili shirika anakuwa mpuuzi, wanakuwa na visingizio vya kijinga hata mtoto mdogo anakuwa hana. Walitudanganya weee kuhusu kutokuwa na mvua, sijuwi nini.....Mungu kawapiga laana, kwa sasa tuna mvua ya kutisha na bado tatizo la umeme liko pale pale na Mama hafanyi lolote, kana kwamba naye karidhika kwa ujinga huu au anaona ni bora tu liende. Namlaumu Mama moja kwa moja kwa sababu angekuwa mtendaji kweli angefanya kitu hapa, mbona wakati wa Magufuli kulikuwa hakuna huu ujinga, kwanini Mama ashindwe?
 
Leo mwanza wame ona Rais ana kuja wame acha kukata ..kenge hawa
 
Back
Top Bottom