subirini kwanza tunamalizia kuuza stock yetu ya mwisho ya majenereta tanzania nzimaHivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Unatetea ujingaMvua za dar zinahusika vipi na mabwawa ya mtera?
Iringa inanyesha?
Mvua zinanyesha Dar hazisaidii kuijaza Mtera na Kihansi au Kidatu na HaleHivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Magu alikuwa anatupeleka kwenye viwanda.Viwanda vinahitaji umeme wa uhakika ndo Mana Hali ilikuwa inaridhisha.Kwakuwa TANESCO walisema tatizo la umeme linasababishwa na "Kupungua" kwa kina cha maji kwenye ma Bwawa yetu, na ni baada ya kuwahadaa wananchi kwa mda mrefu wakisingizia mara kuna matengenezo mara itilafu ya mitambo na baadae kuitimisha ni kina cha maji ndio tatizo.
Watanzania tunajua tatizo la Umeme ni la kisiasa lakini hatujuwi tija yake kisiasa ni nini. Fikiria adi Marehemu Rais Maghufuli alilalamika kuna watu wana hujumu Tanesco ili wauze mafuta na vilevile bwawa limejaa matope kwa makusudi ya watu.
Kumbuka huyo ni alikuwa Rais akilalamika baada ya kutonywa na wale wa "Upande wa pili".
Naomba kuuliza ili li TANESCO ni kwamba lenyewe ni likubwa kupita taasisi ya Rais, Waziri Mkuu, Bunge hata Jeshi kwa ujumla wao.
Umeme ni uchumi wa Nchi
Umeme ni Usalama wa Nchi
Umeme ni Ulinzi wa mali za wananchi
Lakini ni Tanzania peke yake inayochukulia umeme kama Anasa ya Nchi.
Siyo kila mvua inayonyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi ya Tanzania maji yake yanaelekea kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme. Mfano, mvua ikinyesha Dar maji yake hayawezi kufika Mtera Kifaru, Kihansi na Nyumba ya Mungu kuzalisha umeme. Jikumbushe jiografia ukiyosoma shuleni.Hivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
we ndiyo mjinga, Dsm kuna bwawa la kuzalisha umeme?Unatetea ujinga
Kweli kabisa, yaani wengine wanabwabwaja tu hata hawakumbuki kwa nini walisoma jiografia.Mvua za dar zinahusika vipi na mabwawa ya mtera?
Iringa inanyesha?
Mvua za Mbeya, Iringa na Morogoro ndiyo zina impact kwenye mabwawa ya Kihansi, Kidatu na Mtera. Hizi za Dar zinapoza hali ya hewa tu na kuharibu barabaraHivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !
Mtera nimepita Jana kumekauka Iringa hainyeshi kukavuMvua za dar zinahusika vipi na mabwawa ya mtera?
Iringa inanyesha?
Naunga mkono hoja 👍👏Baada ya sababu kuwa ukame Sasa tujiandae na sababu ya nguzo kuanguka na transformer kuungua
Tanesco haiwezi kazi hili liko wazi
Ilitakiwa ueleze uhusiano wa mvua za dar na zenji na mabwawa ya umeme mtera,kidatu na nyumba ya MunguUnatetea ujinga
Maji ya mvua ya Dar tutayachota kwa ndoo kuyapeleka kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme kweli ndugu yangu, au jiografia yako uliiacha darasani ukamwachia mwalimu wakoHivi sasa nazungumza kwa uchungu sana tokea jana saa 5 usiku hadi mda huu saa 7 mchana umeme hamna shida ni nini TANESCO na mvua ndo hizi zinanyesha sana baadae mje kusema umeme wa shida maji yamekauka mda ndo huu kusanyeni maji ili tuwe na umeme wa kutosha hizi sio zama za kukaa gizani !